Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,624
- 2,880
Mimi ninayo sasaHakuna yai asili la kuku wa kienyeji dar! Yai asili linatokana na kuku huria, hao wa dar ni zero glaze, formula meal, mayai ndani kiini cha njano hakuna.
Mimi ninayo sasaHakuna yai asili la kuku wa kienyeji dar! Yai asili linatokana na kuku huria, hao wa dar ni zero glaze, formula meal, mayai ndani kiini cha njano hakuna.
15 treyTaja bei.
Kuna mambo yanafanana sana duniani,,Mm pia npo kweny hatua nimeanza na kuku sita Mitetea watano na jogoo moja naomba mungu anisaidie
Hapo namba 8 ngando ndogondogo ndiyo kitu gani?FORMULA 100Kgs za Chakula cha Kuku
- Mahindi yaliyoparazwa 25Kgs.
- Pumba za Mahindi 25Kgs.
- Dagaa/Uduvi 10Kgs.
- Unga wa Mifupa/Bionemeal 5Kgs.
- Chokaa/Limestone 5Kgs.
- Mashudu ya Alizeti 5kgs.
- Mashudu ya Pamba 10kgs.
- Ngando ndogondogo 5kgs.
- Machicha ya ngano/Wheat Brand 10kgs.
Pole sana. Bila shaka yatakuwa yameshaharibika kama kuku kalalia siku zote hizo. Inawezekana hayakuwa na jogoo ndio maana wanashauri kuku akilalia au ukitumia mashine uwe unayafuatilia kwa ile torch ili kujua kama yaendelee kuhatamiwa au yageuzwe chakula. Wataalamu wanasema siku ya 7 au 8 utakuwa ushajua kama ule au yahatamiwe.Wakuu habari Nina Kuku wangu wawili Yani imewachukua miezi 2 na nusu hawajaangua vifaranga na mayai kwa ndani ukiyatikisa yanaonekana yana maji kwa ndani na yapo mayai 35 Ni nn kinasababisha kuku kutoangua hayo mayai na imebidi niwatoe hayo mayai ili waanze upya kutaga.
Unapimaje kwa mwanga?Pole sana. Bila shaka yatakuwa yameshaharibika kama kuku kalalia siku zote hizo. Inawezekana hayakuwa na jogoo ndio maana wanashauri kuku akilalia au ukitumia mashine uwe unayafuatilia kwa ile torch ili kujua kama yaendelee kuhatamiwa au yageuzwe chakula. Wataalamu wanasema siku ya 7 au 8 utakuwa ushajua kama ule au yahatamiwe.
Test kupasua hata 1 uone kama yashakuwa takataka.
Jogoo kijanaJamani jogoo ambaye hajaanza kuwika anaitwaje?
Ni marajio yangu na mimi pia nitafaidikaView attachment 1489822
Nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji, bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje.
Kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri, pros and cons etc.
By the way, nimeanza na Jogoo mmoja, ila natarajia kuongeza kuku within a week, projections ni kuwa na kuku 1,000, hapo ndio nianze kuuza, matarajio yangu ni kuuza via interent - hapa nalenga watu wa DAR, ambao wako bize, I can do delivery maofisini within city center, na baadae kuweka vituo vya kufanya pickup wakati watu wanarudi home jioni, e.g Mwenge Junction, Morocco Petrol Station, etc. Malipo via M-Pesa, SMS banking pia na mahoteli.
Sitarajii faida ya haraka, naomba ushauri kwa wale walifanya biashara hii, au wanajua mtu wa karibu aliyeifanya.
MICHANGO YA BAADHI YA WADAU
PIA SOMA MADA HIZI
1. Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko
2. Ufugaji kuku sio mwanzo wa utajiri pekee, unaweza ukawa mwanzo wa umaskini wa uhakika. Zingatia yafuatayo ili upate mema kupitia kuku
Wapatie chakula kilichonganywa na madini ya calcium na phosphorus kama ungaa wa chokaa au mifupa na hakikisha bata wako wanapata chakula cha kutoshaJamani nina Bata wangu 2 majike wanataga mayai mengi lakini bado akilalia wanayala yote Kama yakibaki basi mayai 3au 2.
Swali langu Kwanini wanakula mayai?
Na niwafanyaje ili wasiyale?
Azingatie huu ushauri, na ndiyo tiba kwa kuku au bata anayekula mayaiWapatie chakula kilichonganywa na madini ya calcium na phosphorus kama ungaa wa chokaa au mifupa na hakikisha bata wako wanapata chakula cha kutosha
Jogoo asiewikaJamani jogoo ambaye hajaanza kuwika anaitwaje?
Nunua majike 20 na jogoo 3, hao vifaranga 5,000 utawapata chini ya mwaka mmoja.Naomba kupatiwa sehemu nayoweza kupata kuku wakienyeji 5000 vifaranga wakubwa
Sidhani kama kuna project kubwa kiasi cha kukupatia hicho unachotaka kwa hapa Tz.Naomba kupatiwa sehemu nayoweza kupata kuku wakienyeji 5000 vifaranga wakubwa
Kiini cha njano hakina uhusiano wa moja kwa moja na uzururaji wa kuku bali hutokana na majani au mbogamboga (za kijani) anazokula kuku. Unaweza kumfuga kuku "zero grazing" na akawa na mayai ya njano na matamu kuliko huyo anayezurura.Hakuna yai asili la kuku wa kienyeji dar! Yai asili linatokana na kuku huria, hao wa dar ni zero glaze, formula meal, mayai ndani kiini cha njano hakuna.