Aisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Aisee hao vifaranga wa miezi miwili ukiwalisha vizuri wanaanza kutaga baada ya muda gani mkuu?
 
Aisee hao vifaranga wa miezi miwili ukiwalisha vizuri wanaanza kutaga baada ya muda gani mkuu?
Miezi 6 ndo umri wa Kuku kuanza kutaga!. Hao sio vifaranga tena nimeweka picha ya kipindi vifaranga,kwa sasa ni wakubwa na wote wameatamia saizi
 
Idea ya mkuu Kajole ni nzuri, ila inachukua muda kuanza uzalishaji, kwa pesa aliyo nayo anaweza kununua tetea 8 na jogoo 1,ndani ya mwezi mmoja na nusu anaweza kuzalisha vifaranga 80 ambapo vifaranga hivi vitahudumiwa na mama zao kwa muda wa wiki 2 anawanyang'anya mama wanakaa kidogo wanaanza kutaga tena, kwa kuku hao ndani ya miezi 4 anaweza kuwa na kuku zaidi ya 100 na akawa ameuza mayai mengine.
 
Aisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
mkuu upo makao makuu nini? mazingira tu yamenipa majibu
 
Nunua matetea wanne na jogoo mmoja. Jenga banda dogo hapo nyumbani na uwaweke, mcheki dogo asiyekuwa na kazi hapo nyumbani. Mwachie awe anawaangalia afu we tafuta kazi nyingine ufanye......

Umetishaa Mkuu...Vp Lkn Kuhus Magonjw
 
Aisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Dah..Asante Sana Mkuu..Umenipa Hamasa kubwa saana
 
Aisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Kuna Madawa yoyot uliokuw unawap km chanjo vile...
 
1534849251233.jpeg


Wakuu wa JF, Tunauza vifaranga chotara aina ya Sasso; vinapatikana zaidi ya 1,000 kwa wiki.

Sifa za Kuku Sasso
1. Wanavumilia magonjwa;
2. Wanataga mayai mengi
3. Wanaweza kufugwa closed ama open range ( kama kuku wa kienyeji)

Kifaranga kimoja ni Tshs 1,800/= (day 1 old chic)

Tuwasiliane kwa 0682 231053.
 
View attachment 843125

Wakuu wa JF, Tunauza vifaranga chotara aina ya Sasso; vinapatikana zaidi ya 1,000 kwa wiki.

Sifa za Kuku Sasso
1. Wanavumilia magonjwa;
2. Wanataga mayai mengi
3. Wanaweza kufugwa closed ama open range ( kama kuku wa kienyeji)

Kifaranga kimoja ni Tshs 1,800/= (day 1 old chic)

Tuwasiliane kwa 0682 231053.
Mkuu hizo bei mbona expensive sana????Je wanakuwa na chanjo gani ambayo mnakuwa mmewapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 843125

Wakuu wa JF, Tunauza vifaranga chotara aina ya Sasso; vinapatikana zaidi ya 1,000 kwa wiki.

Sifa za Kuku Sasso
1. Wanavumilia magonjwa;
2. Wanataga mayai mengi
3. Wanaweza kufugwa closed ama open range ( kama kuku wa kienyeji)

Kifaranga kimoja ni Tshs 1,800/= (day 1 old chic)

Tuwasiliane kwa 0682 231053.
Mkuu hizo bei mbona expensive sana????Je wanakuwa na chanjo gani ambayo mnakuwa mmewapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom