Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
MbeyaHawa kuku unafugia mkoa gani ndugu?
MbeyaHawa kuku unafugia mkoa gani ndugu?
Aisee hao vifaranga wa miezi miwili ukiwalisha vizuri wanaanza kutaga baada ya muda gani mkuu?Aisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Miezi 6 ndo umri wa Kuku kuanza kutaga!. Hao sio vifaranga tena nimeweka picha ya kipindi vifaranga,kwa sasa ni wakubwa na wote wameatamia saiziAisee hao vifaranga wa miezi miwili ukiwalisha vizuri wanaanza kutaga baada ya muda gani mkuu?
mkuu upo makao makuu nini? mazingira tu yamenipa majibuAisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Upo wapi?
Nunua matetea wanne na jogoo mmoja. Jenga banda dogo hapo nyumbani na uwaweke, mcheki dogo asiyekuwa na kazi hapo nyumbani. Mwachie awe anawaangalia afu we tafuta kazi nyingine ufanye......
Dah..Asante Sana Mkuu..Umenipa Hamasa kubwa saanaAisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Kuna Madawa yoyot uliokuw unawap km chanjo vile...Aisee laki moja ni kubwa sana kama una eneo tayari. Mi nilikuwa na laki na ishirini nikanunia vifaranga 20 wa kienyeji wa miezi 2 kwa 100000.
Nilipamba nao sana hasa kwenye chakula,nilikuwa nazurura mashamban kuokota mahindi,mbogamboga,nyanya na chochote kinacholiwa na kuku,sometimes nilikuwa nawapa chakula nachokula mimi yaan nasonga ugali mkubwa nawapa maisha yanaenda!. Walipoanza kutaga kiukweli walitaga sana na sasa wameatamia jumla ya mayai 150 hivyo tarehe 21/8 natarajia kupata vifaranga 150 then nitawauza wakubwa wote ili kupata pesa ya kulelea vifaranga hao!
Nashauri anza na vifaranga usianze na kuku wakubwa wewe nunua vifaranga wa miezi 2 hawana changamoto sanaView attachment 836996View attachment 836998
Kuna haja ya kuzngatia aina(breed) ya hao kuku..Au Kuku Yeyote atafaaKama upo Mwanza agiza kuku toka Tarime uanze kufuga.
Utaangalia ukubwa wa kuku na umri wao.Kuna haja ya kuzngatia aina(breed) ya hao kuku..Au Kuku Yeyote atafaa
acha uoga kwanzaaa!Uzi mtamu huu yan ukisoma unaona njia rahic ya kulegeza vyuma lkn mkuu kila jambo hua na changamoto tueleze na changamoto za kufuga haswa ktk magongwa wadudu n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo bei mbona expensive sana????Je wanakuwa na chanjo gani ambayo mnakuwa mmewapa?View attachment 843125
Wakuu wa JF, Tunauza vifaranga chotara aina ya Sasso; vinapatikana zaidi ya 1,000 kwa wiki.
Sifa za Kuku Sasso
1. Wanavumilia magonjwa;
2. Wanataga mayai mengi
3. Wanaweza kufugwa closed ama open range ( kama kuku wa kienyeji)
Kifaranga kimoja ni Tshs 1,800/= (day 1 old chic)
Tuwasiliane kwa 0682 231053.
Mkuu hizo bei mbona expensive sana????Je wanakuwa na chanjo gani ambayo mnakuwa mmewapa?View attachment 843125
Wakuu wa JF, Tunauza vifaranga chotara aina ya Sasso; vinapatikana zaidi ya 1,000 kwa wiki.
Sifa za Kuku Sasso
1. Wanavumilia magonjwa;
2. Wanataga mayai mengi
3. Wanaweza kufugwa closed ama open range ( kama kuku wa kienyeji)
Kifaranga kimoja ni Tshs 1,800/= (day 1 old chic)
Tuwasiliane kwa 0682 231053.
One day Chic sisi tutawapa malex, wewe utawapa siku ya 7, 14, 21 na 28 - Tutakuelekeza. Kuhusu bei we tutafute tutaona namna ya kusaidiana hasa kama unachukua wengi.Mkuu hizo bei mbona expensive sana????Je wanakuwa na chanjo gani ambayo mnakuwa mmewapa?
Sent using Jamii Forums mobile app