Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Na ndo man mtazamaji mmoja wa uchaguzi kutoka nje alisema anashangaa kuona CCM hushinda kwa kishindo -- wakati nchi inadidimia umasikini. Ushindi wa aina hiyo unakaa vipi?
baba yangu amelia baada ya kumuonyesha barua hii
niko home mwanza na nimeomba rikizo kwa ajili ya octoba 31
Mkuu Invsible na wengine kama mtaweza kunisaidia
asante sana....... Majina mbona yamekosewa? pili JK alikuwa mwanza tarahe hizi?
Mkuu Invisible,
Kweli una uhakika hiyo barua imeandikwa na huyo anayesemekana ameandika?
Kama ni kweli, pelekeni kwenye vyombo vyote ili ukweli ujulikane. Hatuko hapa kutetea maovu kama ni kweli lazima kitendo hicho kilaaniwe na wahusika kuchukuliwa hatua. Ila my first instinct ni kwamba hiyo barua ni forgery; mtu anapanga mipango kama hiyo na ataweka kwenye maandishi
Kwa Tanzania lolote linawezekana na wacha tusubiri ukweli.
Bahati mbaya tumekumbana na barua hizi ikabidi tuwashirikishe!
Mkuu Invisible, with due respect; Hivi, uliona wapi wafanya magendo au wala rushwa wakapeana risiti? nadhani hiyo barua ndio uchakachuaji wenyewe na aliyeitoa anakusudia kujenga hofu na kuwababaisha watu.
Uzoefu wangu wa rafu za uchaguzi huwa hakuna maandishi labda pale mnapotaka kujenga mazingira ya kufungua kesi kupinga matokeo.
totally agree with you. Siamini hiyo barua kama imetoka halmashauri ni ya kwelimkuu invisible, with due respect; hivi, uliona wapi wafanya magendo au wala rushwa wakapeana risiti? Nadhani hiyo barua ndio uchakachuaji wenyewe na aliyeitoa anakusudia kujenga hofu na kuwababaisha watu.
Uzoefu wangu wa rafu za uchaguzi huwa hakuna maandishi labda pale mnapotaka kujenga mazingira ya kufungua kesi kupinga matokeo.
Hizi zipelekwe "The Hague" au wapigwe mawe mpaka wafe. Wahudhuriaji wa mkutano huu wanatakiwa wawe ndani muda wowote kuanzia sasa hivi.
baba yangu amelia baada ya kumuonyesha barua hii
niko home mwanza na nimeomba rikizo kwa ajili ya octoba 31