Naomba leo JK akanushe hii taarifa wakati anazungumza na vyombo vya habari, kwa wale wenye signature za Kabwe tunaomba watuwekee hapa ili tuweze kulinganisha kama ni kweli au ni uchakachuaji. otherwise uchaguzi inabidi uairishwe.
]hivi mnakumbuka siku ile kikwtw kabla ya kumtanganza mgombea mwenza alisema nini[/COLOR]?
huyu jamaa ni mwizi mkubwa sana na mtu mbaya sana
huwezi kuamini kwasababu una post 68 tu, na si ajabu wewe ni malaria sugu
MBONA barua ya CHADEMA mmetoa ghafla?
Imekuwaje tena?
buckreef dunia ni kama kijiji mtu anapata breakfast Cape town SA na lunch anapata Dar TZ sembuse Mwanza.
totally agree with you. Siamini hiyo barua kama imetoka halmashauri ni ya kweli
Hivi wewe unaweza kufumbia macho hujuma kama hii? Hili ni kosa si la jinai tu bali uhaini wa demokrasia.ni siasa tu jaman, msiogope!
kwako na wengine. hiii barua inafunguka taratibu inaonesha invisible aliiscan kwenye high resolution akaipaste hapa. ila akirudi atatusoma na kuiweka sawa.Invisible mbona wengine hatuwezi ona hizo barua. kuna level tofauti za access humu au. tutazionaje . tuambieni basi.
Ngoja ni save hii barua haikawii kupotea na JF
wakuu, mimi naenda kwenye naelekea kwenye mkutano wa kampeni wa CHADEMA hapa arusha...Mbunge G LEMA anamwaga cheche zake....naprint hii barua then nitagawa copy kama sina akili timamu pale mwenye mkutano!!!JK, anatakiwa funguliwa mashtaka.