Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,840
Watanzania kwanza lazima mjue hii nchi Ina walanguzi kila sehemu, viongozi wa serikali ndowamumini sana wa utengenezwaji wa pombe feki, jezi feki, vyakula feki,yaki kila kitu fake mpaka miili yetu ukienda mlonganzira wanakuchonga unakuwa kama agness masogange
Kwahiyo Kwa sisi watumiaji wa vilevi tumekumbana sana na vinywaji feki na hatuna mtetezi Kwa kuwa watengenezaji nihawahawa nzi wa kijani ni bora Sasa tuchukue tahadhari wenyewe
Kwa upande wangu afya ni bora kuliko kitu chochote kile. Nilivyoona pombe feki ni nyingi niliamua kuacha kabisa pombe lakini Nilivyoona kuacha pombe siwezi saizi Nina maeneo maalum ya kunywa pombe. Naenda zangu seacliff Masaki mwisho naagiza Windhoek zangu za baridi unapata kitu original kabisa kutoka Namibia sio hizo za kitambaa cheupe zinafyatuliwa rombo.
Siend tena maeneo ya hovyo kunywa pombe mm. Naenda sehemu ambazo naamini sio wahuni.. Ukitaka original lazima ugaramike.
Kwahiyo Kwa sisi watumiaji wa vilevi tumekumbana sana na vinywaji feki na hatuna mtetezi Kwa kuwa watengenezaji nihawahawa nzi wa kijani ni bora Sasa tuchukue tahadhari wenyewe
Kwa upande wangu afya ni bora kuliko kitu chochote kile. Nilivyoona pombe feki ni nyingi niliamua kuacha kabisa pombe lakini Nilivyoona kuacha pombe siwezi saizi Nina maeneo maalum ya kunywa pombe. Naenda zangu seacliff Masaki mwisho naagiza Windhoek zangu za baridi unapata kitu original kabisa kutoka Namibia sio hizo za kitambaa cheupe zinafyatuliwa rombo.
Siend tena maeneo ya hovyo kunywa pombe mm. Naenda sehemu ambazo naamini sio wahuni.. Ukitaka original lazima ugaramike.