UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,558
- 7,763
Kwa hili nakubaliana na huu unabii. Na hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kujiunga kwenye chadema hii ya sasa ili agombee urais!4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..