Hapo ujumbe Si mashindano.Hiyo kesi haina uhusiano. Samweli alienda direct kwenye matokeo na na kumsema muhusika ( Mfalme ajae).
Sio kupendekeza wagombea ufalme.
Serikali zote ziko chini ya Mungu ni kweli hata kama zinaingia kwa wizi maana yeye ndiye mmiliki wa pumzi za za wezi hao. Ila kesi ya siasa hizi za vyama vingi na mashindano hiyo kesi haipo kwenue biblia.
Ujumbe ni kuwa,
Ajaye ni Gwajima,
CCM wakimteua, anakuwa Rais.
CHADEMA wakimteua, anakuwa Rais.