CCM kugawanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,518
34,322
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mmojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Ni 2015 au 2025? Rekebisha heading
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Nafikiri ungejikita kumtabiria Mbowe kuingia ikulu maana ndiko kwenye makundi yeye na lissu wanapambana kila mmoja kusimama umejikita ccm nikukumbushe ufikapo uchaguzi ccm huwa kitu kimoja na ramli yako bila malipo!
 
Nafikiri ungejikita kumtabiria Mbowe kuingia ikulu maana ndiko kwenye makundi yeye na lissu wanapambana kila mmoja kusimama umejikita ccm nikukumbushe ufikapo uchaguzi ccm huwa kitu kimoja na ramli yako bila malipo!
Siyo kweli kwamba kila uchaguz ukikaribia ccm hua kitu kimoja kama utakumbuka vizur uchaguz 2015 makundi yalikipasua chama vibaya sana hadi kufikia kulishana sumu na wengine kukimbilia upinzani eg Lowassa na Sumaye, mumshukuru mkapa who was mentally giant aliokoa jahz kibabe baada ya mwenyekiti KUSANDA tatizo sasa hivi hakuna anaeheshimika ccm labda anaeonekana kwa sasa ni JK ambae haheshimiki kutokana na kuwa na kundi mojawapo na anajulikana kama muasisi wa makundi ya hovyohovyo ndani ya ccm hivyo 2025 ccm haiponi
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
labda unazungumzia CCM ile ya Kenya ya Isac Ruto, Chama Cha Mashinani 🐒
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
CCM imeshaexpire
 
Siyo kweli kwamba kila uchaguz ukikaribia ccm hua kitu kimoja kama utakumbuka vizur uchaguz 2015 makundi yalikipasua chama vibaya sana hadi kufikia kulishana sumu na wengine kukimbilia upinzani eg Lowassa na Sumaye, mumshukuru mkapa who was mentally giant aliokoa jahz kibabe baada ya mwenyekiti KUSANDA tatizo sasa hivi hakuna anaeheshimika ccm labda anaeonekana kwa sasa ni JK ambae haheshimiki kutokana na kuwa na kundi mojawapo na anajulikana kama muasisi wa makundi ya hovyohovyo ndani ya ccm hivyo 2025 ccm haiponi
95 aliondoka mrema ,2015 aliondoka Lowassa bado goma linayoyoma tu migawanyiko hiyo inachukuliwa kawaida sio ya kuathiri chama!
 
Mbona tuko wengi na Vuguvugu Limeshaanza la Kumkumnuka Rais Wetu hayati Magu Mkuu..
Tupo CCM wengi tunaomlilia
kulia mnaweza kulia, lakini mkawa na vilio tofauti na kichaka cha kutoa machozi kikawa ni hicho. Mkadhani ati wote mnalia kwasabb moja, kumbe mwingine analilia madeni yake makubwa, mwingine kachapwa makofi na mkewe home n.k

na zaidi sana, mnaweza lilia apa tu mtandaoni, lakini field mkaona aibu 🐒
 
kulia mnaweza kulia, lakini mkawa na vilio tofauti na kichaka cha kutoa machozi kikawa ni hicho. Mkadhani ati wote mnalia kwasabb moja, kumbe mwingine analilia madeni yake makubwa, mwingine kachapwa makofi na mkewe home n.k

na zaidi sana, mnaweza lilia apa tu mtandaoni, lakini field mkaona aibu 🐒
Hapana tumeanza kwa kuwatuma Mpina na Joseph kasheku ila kabla ya Uchaguzi wa Mtaaa Watatumwa wengi na watawasilisha Hoja zao..
 
makundi hayo matatu ndani ya ccm yaliyoji brand ni friends of samia maarufu kama chawa wa mama, team msoga na sukuma gang. Kama haya makundi yana combination na collaboration itajulikana kadri uchaguzi mkuu unavyokaribia na baada ya kumalizika utasikia uchaguzi umepita makundi yavunjwe chama kiwe na umoja kazi iendelee ya kulijenga taifa
 
Hapana tumeanza kwa kuwatuma Mpina na Joseph kasheku ila kabla ya Uchaguzi wa Mtaaa Watatumwa wengi na watawasilisha Hoja zao..
Dr.kasheku ni mjanja hawezi kamatika kwenye hako kamtego....

ila huyo mwingine,
kisesa kwenyewe haeleweki, hasira za kutemwa baraza la mawaziri zinampoteza kwenye game kabisa, na at the end atajikuta kama vile hajawahi kua mbunge kabisa, kama mamliki wengine wakivyo hivi sasa mathalani wa huko tarime arusha iringa au mbeya...... :pedroP:

tunaposema siasa ni sayansi hiyo ndio maana yake:whatBlink:
 
Back
Top Bottom