Uchaguzi mkuu kiti cha Rais 2025 (video): Unabii waweka wazi kuwa ni Samia S. Hassan (CCM) vs Bishop Josephat Gwajima (CHADEMA)...

Hadi hapa nishaelewa kwa nini umeleta huu uzi, asante...

Jimbo limemshindaje Josephat Gwajima ndugu Watu8?

Kama serikali haitaki au haipeleki fedha za kujenga barabara au maji au huduma yote ya kijamii jimboni kwake, hilo litakuwaje tatizo la Gwajima?

Kama huduma za jamii kwa ujumla wake i .e maji, umeme, barabara, makazi, mipango miji, usafiri na usafirishaji, kupanda kwa gharama za maisha kwa wananchi nk nk. Ni kwa vipi hii imuhusu Josephat Gwajima?

Hebu nieleze bwana labda nitakuelewa....

Nani mwenye jukumu la kukusanya kodi na kupanga matumizi yake? Gwajima au serikali?

Gwajima ni mbunge na kazi ya mbunge generally ni kusema kwa niaba ya wananchi anaowakilisha bungeni. Kusema juu ya mahitaji yao ya kimaendeleo kijamii na kiuchumi ili serikali kupitia mifumo yake ifanye. Kama serikali haijafanya nani alaumiwe?

Mimi nadhani hapa wa kulaumiwa ni Rais Hayati John P. Magufuli na sasa Samia Suluhu Hassan na chama chenye dhamana ya serikali yaani CCM kuwa wamefeli kuleta maendeleo jimboni Kawe kwa Gwajima...!;
 
NB:
Naomba moderators tafadhali ruhusuni mada hii ijadiliwe. Msiogope, haina madhara yoyote kwenu na JF kwa sbb hii ni kitu halisi na mtu aliyetoa unabii huu yupo na anaweza kuulizwa na kuthibitisha haya


==============================================

Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇
View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
Duuh, ni unabii complicated sana huu kwa pande zote mbili yaani CCM na CHADEMA.

Yaani unawapa faida CHADEMA zaidi (ushindi mwaka 2025) lakini wakati uohuo unawachanganya (contradict) kwa kuwataka kucheza mchezo hatari wa pata potea wa mwaka 2015 dhidi ya Edward Lowassa aliyetoka CCM pia dakika za mwisho.

Kwa CCM kwao ni kama kawa tu kwa tuwajuavyo. Ni kiburi cha madaraka na kushika dola. Watadharau na kupuuza. Wanadhani kila siku ni Jumapili. Hawajui kuwa nyakati na majira hubadilika.

Hawa, wataendelea na dhana yao ileile ya "BAO LA MKONO" kwa sababu ndio wanadhibiti mifumo ya kiserikali inayosimamia uchaguzi. Wanadhani hata wakiweka jiwe watalishindisha tu na litakuwa Rais wa nchi hii.

Japo huu unabii si justification ya moja kwa moja, na nabii huyu katika deliverance ya message yake anaonekana kutokuwa straight kwa kutumia maneno "nadhani" au "hapa naomba nisiseme" ambao ni ushahidi wa uncertainty kwa kile akisemacho. Ujumbe wa Mungu huwa hauna konakona. Huwa uko straight forward ukiwa na authority..

Hata hivyo kuna elements za uhalisia wa jambo hili kwa kuangalia mambo yanavyokwenda sasa ktk taifa letu. Kama CCM wana akili wasije wakathubutu kumweka huyu mama kama mgombea wao mwakani
 
Propaganda za siasa bana ukijichanganya unajikuta kwwnye mtego watu wqnakujaza tu upepo
 
NB:
Naomba moderators tafadhali ruhusuni mada hii ijadiliwe. Msiogope, haina madhara yoyote kwenu na JF kwa sbb hii ni kitu halisi na mtu aliyetoa unabii huu yupo na anaweza kuulizwa na kuthibitisha haya


==============================================

Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇
View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...

Huyu huyu Gwajima aliyezunguka nchi nzima anasema Samia Hoye ndio agombee 2025?

Yamkini Gwajima anataka kugombea kweli; ila siamini kuwa atagombea 2025. Kuna kitu cha kukiangalia sana kwenye hili; Gwajima na Samia lao ni moja!
 
Wewe nawe acha ujinga kuleta vitu vya kutengenezwa (photoshoping) kwa nia ya kudhalilisha na kutweza utu wa wengine..

Hii haikuwa halisi. Ni vitu vya kutengeneza na kubumba tu na ilifanywa na huyuhuyu ndugu yenu Paul Makonda..

Lilishafafanuliwa hili na Paul Makonda kutubu na kuomba radhi kwa ujinga wake huu..
Umeandika kwa uchungu sana ila kuliko Gwajima, bora Hangaya aendelee tu.

Ukute Gwaji Boy, katuma watu wapime upepo.
Huo ubunge wa Kawe tu amshukuru Magufuli.
 
NB:
Naomba moderators tafadhali ruhusuni mada hii ijadiliwe. Msiogope, haina madhara yoyote kwenu na JF kwa sbb hii ni kitu halisi na mtu aliyetoa unabii huu yupo na anaweza kuulizwa na kuthibitisha haya


==============================================

Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇
View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
Mimi nilishamkataa zamani Sana Samia. Hawezi na ni dhaifu mno . Ashindwe na ashindwe Tena
 
Duuh, ni unabii complicated sana huu kwa pande zote mbili yaani CCM na CHADEMA.

Yaani unawapa faida CHADEMA zaidi (ushindi mwaka 2025) lakini wakati uohuo unawachanganya (contradict) kwa kuwataka kucheza mchezo hatari wa pata potea wa mwaka 2015 dhidi ya Edward Lowassa aliyetoka CCM pia dakika za mwisho.

Kwa CCM kwao ni kama kawa tu kwa tuwajuavyo. Ni kiburi cha madaraka na kushika dola. Watadharau na kupuuza. Wanadhani kila siku ni Jumapili. Hawajui kuwa nyakati na majira hubadilika.

Hawa, wataendelea na dhana yao ileile ya "BAO LA MKONO" kwa sababu ndio wanadhibiti mifumo ya kiserikali inayosimamia uchaguzi. Wanadhani hata wakiweka jiwe watalishindisha tu na litakuwa Rais wa nchi hii.

Japo huu unabii si justification ya moja kwa moja, na nabii huyu katika deliverance ya message yake anaonekana kutokuwa straight kwa kutumia maneno "nadhani" au "hapa naomba nisiseme" ambao ni ushahidi wa uncertainty kwa kile akisemacho. Ujumbe wa Mungu huwa hauna konakona. Huwa uko straight forward ukiwa na authority..

Hata hivyo kuna elements za uhalisia wa jambo hili kwa kuangalia mambo yanavyokwenda sasa ktk taifa letu. Kama CCM wana akili wasije wakathubutu kumweka huyu mama kama mgombea wao mwakani
Kwa jicho jingine... Je Kama ni watu wa CCM wasiomtaka mama, wanamtisha ili asigombee, ili wao wachukue hio nafasi Wala sio Gwajima, kwamba hapa wanatumia jina la Gwaji Kama skape goat ya timu flani ndani ya chama?
 
Kwa jicho jingine... Je Kama ni watu wa CCM wasiomtaka mama, wanamtisha ili asigombee, ili wao wachukue hio nafasi Wala sio Gwajima, kwamba hapa wanatumia jina la Gwaji Kama skape goat ya timu flani ndani ya chama?
Sidhani,

CCM inaambiwa wazi kuwa,

Ili ishinde Kwa HAKI na Nchi itulie na kupiga hatua,

Imteue Gwajima.

Nionavyo, ni ushauri mzuri kuliko kumwacha aende upinzani.
 
Amina. Tatizo la Dkt Samia ni kukosa msimamo wa kwake. Yaani kumkana Dkt Magufuli kumemletea aina fulani ya laana. Ukweli kama akipatikana mgombea wa Chama mfu chadema akauza sera vizuri aisee atashindwa, nadhani this is not 1995, wananchi wanaelewa na vyombo vya ulinzi na usalama na wasimamizi wa kura wana makovu ya 2020 ya kuambiwa walivuruga uchaguzi na viongozi waandamizi wa CCM, hivyo wataacha haki itendeke na ninadhani wameshaanza vetting ya who will be the next president apart from Dkt Samia. Ila inasikitisha sana maana CCM hatuoni kabisa kuwa we have lost legitimacy ya kutawala na kibaya watu kama Makonda eti wanaonekana hawafai
Makonda gwajiboy awe rais!!!????
My foot yaan appearance yao tuu hawa sifa
Wakafanye kazi zingine

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo nyie wachaga mnadhani mnaweza kutawala nchi bila sapoti ya kanda ya ziwa, yaani msahau kabisa kwa kuwatukania watu wa kanda ya ziwa Dkt Magufuli, yaani hawawezi kusahau jinsi mlivyoshangilia kifo chake, never never never nyie watu wa kazikazini kushika patamu pa Tanzania and you will all eventually die na upinzani mpya utaibuka. Unabii wa Gwajima naweza sema labda ni kukipa neema chadema ambayo ilitenda dhambi 2015 kwa kula rushwa ya kumpokea lowasa ambaye alishaondolewa kwenye urais na Mungu kwa matendo yake mabaye ambayo ni mengi including kudhulumu ardhi ya kanisa n.k.
We kijana unaangaika sana magu maguful
Huyo ni mmeo?
Kama unampenda sana kunywa sumu ukazikwe pembeni yake

Kwa taarifa yako hiyo Kanda ya ziwa haitegemewe kura zake ili mtu awe rais
System ikiamua nan awe rais hakuna kiumbe atapinga mpigekura msipige

Msifikir wingi wenu ndiyo unaamua

Kazi tuu kupiga kelele hapa magu magu magu magu nenda kazikwe nae

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huwa simukubali na mambo yake ya misikule lakini Gwajima ni bira mara 1000 kuliko Samia. Gwajima ni mtu Moja mwenye akili sana na mwenye upeo Mkubwa sana linapokija suala la Maendeleo ya nchi. But nafsi kama kweli atakuja kuwa mgombea nitampa kura yangu na nitampigia Kampeni
 
Hii video niliiona juzi.
Huyu anasema alimuuliza Mungu ana mpango gani kuhusu hawa walimwengu ambao hawaishi kwa kufuata maadili?
Mungu akamwambia,"Wewe niambie. Unataka nifanye nini? Utakalosema,nitafanya."
Kwa hiyo anayesema Gwajima atakuwa rais ni huyu nabii,siyo Mungu.
Na hapa Mungu anaposema nataka mapadre wangu na masheikh wangu wanieleze,nini kifanyike:hapa ndipo unataka kuona kama binadamu anao uwezo wa kufikiri au ana akili tegemezi.
Hii ndio inaitwa kumuingiza nyoka katika bustani,huku kutaka kujua kama binadamu ana uwezo wa kufikiri bila Divine help. Hii ndio kwa utani inaitwa "dini ya shetani."
Kwa sababu shetani ndie anamwambia Mungu,"Mpe binadamu akili ya kufikiri.
Akishindwa kufikiri,niachie mimi nitamnyoosha."
 
NB:
Naomba moderators tafadhali ruhusuni mada hii ijadiliwe. Msiogope, haina madhara yoyote kwenu na JF kwa sbb hii ni kitu halisi na mtu aliyetoa unabii huu yupo na anaweza kuulizwa na kuthibitisha haya


==============================================

Ukiitazama na kuisikiliza hii video ya unabii huu toka kwa Mwl. Steven Jacob, toka Arusha, inafikirisha na kutafakarisha kiasi chake. Tazama na sikiliza👇🏻👇🏻👇
View attachment 2969906

Kwa ufupi sana kwa wale wasio na vifurushi:

1. Mama Samia Suluhu Hassan (Rais wa sasa wa JMT) amekataliwa na Mungu - Jehovah, hatakiwi kugombea kiti cha Urais mwaka 2025. Si chaguo la Mungu - Jehova kuiongoza Tanzania mwaka 2025 - 2030..

2. Pamoja na kuwa ameshakataliwa, kitakachokuwa ni ajabu ni kuwa yeye na watu wake watalazimisha agombee. Na kwa mujibu wa unabii huu, ni kuwa atapitishwa kwa hila, atagombea lakini habari njema kwa wanamageuzi wote ni kuwa HATASHINDA UCHAGUZI HUO..!

3. Wakati huohuo ndani ya CCM yupo mtu ambaye Mungu keshamweka kuwa ndiye agombee na awe Rais ajaye wa Tanzania na jina lake katajwa kwa uwazi kabisa kuwa ni Bishop Josephat Gwajima. Ila wenzake ndani ya CCM watamkataa na hawatampa nafasi hiyo..

4. Kwa mujibu wa unabii huu, CHADEMA hawana mtu ambaye ana kibali cha Mungu - Yehova kugombea kiti cha u - Rais mwaka 2025 aliye ndani ya chama chao..

5. Na kwa kuwa Mungu tayari ameshampaka mafuta ya u - Rais wa nchi hii ndugu Josephat Gwajima, na kwa CCM watakuwa wamemkataa, basi Mungu atatengeneza mazingira ya kumtoa CCM na mara moja Freeman Mbowe au CHADEMA watampa nafasi ya ugombea u - Rais na CHADEMA kupitia kwa Ndugu Josephat Gwajima, watashinda na kuitawala nchi kwa mara ya kwanza..

6. Kwa Mama Samia Suluhu Hassan na CCM , unabii unasema, systematically Mungu ataachilia aibu iliyo kuu kwake na CCM itachinjwa kidogo kidogo mpaka ife kabisa..

============================================

MAONI YANGU

1. Pamoja na kuwa sisi wakristo Biblia - Neno la Mungu linatuonya kuwa;

‭1 Wathesalonike 5:20-22 SUV‬​

".....msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema; jitengeni na ubaya wa kila namna.."

Lakini wakati huohuo Biblia hiyo hiyo inatuhadharisha kuwa ni lazima kila unabii (kila roho isemayo yatoka kwa Mungu) ipimwe katika vigezo vya Neno la Mungu (Biblia) kama ilivyoandikwa;

‭1 Yohana 4:1-2 SUV‬

"...Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.."

Ukipimwa na ukaenda sambamba na Neno la Mungu, huo unabii au hiyo roho iliyoleta neno hilo itakuwa inatoka kwa Mungu na kwa hiyo hapaswi mtu kuubeza (kuutweza au kuudharau)..

2. Unabii wa huyu ndugu ni mzito sana. Unahusu hatima ya nchi na taifa letu na watu wa nchi hii kwa ujumla. Natoa wito kwa wajuzi wa maandiko (Neno la Mungu) waje hapa na kutoa uchambuzi usio - base katika hisia na maarifa ya kibinadamu bali ule unaozingatia Neno la Mungu (Biblia...)

3. Je, wewe unasemaje? Toa maoni yako...
CHADEMA NA MAUJINGA YAO!.......
Ushuzi huu.
 
Wagalatia ni chama au ni watu Gani!?

Msichana wa miaka 17 huwa anakuwaje au anahusiana vipi na mada hii!?
Msikilize Nabii feki, utapata majibu yote ya maswali yako.
Kama huna GB za kutosha, siwezi kukusaidia, kwani ukitaka kuifaidi hii mada ni lazima usikilize video hiyo. Vinginevyo utakuwa umekurupuka tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom