ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 732
Lissu hafanyi kampeni, anatangaza nia, nyie mnaotaka aongelee maswala yote yanayowakumba watanzania hivi matatizo yenu ni mangapi? mnadhani yatamchukua nusu saa tu kusummarize matatizo yote? Hakutakiwa hata kuongelea matatizo yoyote jana zaidi ya kutangaza nia tu na kuondoka.