Hata Hamduni anaweza akawa mikononi mwa mwingine. Nani ajuaye ya kesho?Dah kweli Dunia inazunguka,eti leo hii Sabaya yupo mikononi mwa Kamanda Hamduni,aiseee kweli kabla hujafa hujaumbika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema sabaya atendewe haki ananyanyaswa na jamhuri jamhuri ifuate sheria.View attachment 1805137
View attachment 1805139
Unaota weweHapo lazima kuna ugomvi na mwenyekiti wake.
Mchimba mashimo, kaingia mwenyewe.... Leo sharia kandamizi zinawaadhibu wao wenyeweMtu wa haki na mtu wa Mungu Lissu hana kinyongo pamoja na marisas yote yale.Na huyu Sabaya aliandaa kundi la vijana kumpiga mawe wakati wa kampeni.
Somo kubwa kwa shetani Sabaya na shetani mkuu wake aliyeenda
Mliyemuita shoga??Kwa leo nasimama na Lissu
Kuna Wapuuzi hawamjui Lissu, huyu sasa ndio mzalendo! Sio mtu anajiita mzalendo halafu anawanyang'anya haki ya kuishi wengineHii inaitwa practice what you preach.
niliweka uzi jana kuhusiana na hili swala lakini Moderator Paw JamiiForums wakaunganisha.... ukweli ni kwamba Ole sabaya hatendewi haki ni kwa sababu Samia aliagiza na TAKUKURU hawana ushahidi hivyo hawana jinsi ni kumshikiria tuuu...Anasema sabaya atendewe haki ananyanyaswa na jamhuri jamhuri ifuate sheria.View attachment 1805137
View attachment 1805139
Shetani ndivyo alivyoLissu mjanja sana.
Anamvuta bwanamdogo cdm.Lissu mjanja sana.
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
wewe huwezi kuwa Rais mkuu? Kwanini usiseme wewe?Lissu angekuwa Rais hii nchi ingekuwa na Utu sana na utawala wa sheria
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Lissu anachokitaka Sabaya atolewe hadharani apandishwe Kortini kila mtu aone.Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.