Hivi ukiua unauwawa?
Watz ni rahisi sana kumuamini mtu kisa tu ni mtu wa maneno mengi na mkali mbele ya cameras! Ujinga huu ndio ukasababisha tupate mtawala kama Magu! Kipi kimekufanya utamke hayo uliyotamka? Unamfahamu Lissu personally?Lissu angekuwa Rais hii nchi ingekuwa na Utu sana na utawala wa sheria
Ila naona kama tunafanyiwa maigizoDah kweli Dunia inazunguka,eti leo hii Sabaya yupo mikononi mwa Kamanda Hamduni,aiseee kweli kabla hujafa hujaumbika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu wewe Ni chawa wa NYAHUNI Ole SabayaKwa leo nasimama na Lissu
Sidhani kama lisu anamaanisha sabaya anaonewa kuwekwa sana mahabusu ila ni kuwahadaa wananchi tu kwamba Sabaya yupo kikaangoniIfike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Hujui unacho kinena. Ushahidi dhidi ya Sabaya umesimama wima bila mashaka na unaambiwa kuna watu zaidi ya 200 wako tayari kusimama mahakamani na kutoa ushahidi kwa KIAPO juu ya unyama wa Sabaya.niliweka uzi jana kuhusiana na hili swala lakini Moderator Paw JamiiForums wakaunganisha.... ukweli ni kwamba Ole sabaya hatendewi haki ni kwa sababu Samia aliagiza na TAKUKURU hawana ushahidi hivyo hawana jinsi ni kumshikiria tuuu...
Ukweli ni kwamba Sabaya atawashinda
Matusi hayo!Anamvuta bwanamdogo cdm.
Naweza kuwa raisi, lakini hapa namzungumzia mtu ambaye tayari alishakuwa mgombea uraisi na uwezekano wa kuupata upo karibu kwakuwa anaungwa mkono na watu wengiwewe huwezi kuwa Rais mkuu? Kwanini usiseme wewe?
humjui tal wewe, akipata Madalaka ni dikteta kamili .Lissu angekuwa Rais hii nchi ingekuwa na Utu sana na utawala wa sheria
Anachotaka Lissu huyo jamaa ashitakiwe huku upelelezi ukiendelea kama ilivyo kwa uamsho.Alivyoshikiliwa na TAKUKURU ataachiwa kinyemelaWe Lisu Acha karma ifanye Kazi,wiki tu kidogo hivyo,mbona wazee wa uhamsho mwaka wa 8 huu wazee wa escrow mwaka wa sita huu.
Alivyokuwa akiwalaza ndani wenzake je.
Wazee wa escrow waachiwe nafasi yao wakae sabaya na bashite.