Aaah thubutuu!ulisikia wapi dola ikatenda haki asilimia 100? Marekan yenyewe inauwa watu ,rejea kiongoz wa kijeshi wa IranLissu angekuwa Rais hii nchi ingekuwa na Utu sana na utawala wa sheria
Aaah thubutuu!ulisikia wapi dola ikatenda haki asilimia 100? Marekan yenyewe inauwa watu ,rejea kiongoz wa kijeshi wa IranLissu angekuwa Rais hii nchi ingekuwa na Utu sana na utawala wa sheria
Sasa ataenda wapi wakati Hao Hao Akina Pompeo Waliwahi Kumpiga BAN...Hivi makomda hajatafuta upenyo wa kuchikichia ughaibuni? Maana huwezi jua ya kesho yatakuwaje.
Fikiria sharti namba moja la mabilioni ya shilingi kutoka kwa wahisani liwe.. Afikishwe ktk vyombo vya sheria aliyedhulumu haki ya kuishi wenzake.
Kipi kitakuwa rahisi kukubali sharti hilo na kumtosa makonda au kukataa sharti hilo ili kumlinda makonda?
Dhamana kwa Sabaya ni sawa na kufungulia nyuki kwenye imkutano mkubwa.Ijapokuwa Ole Sabaya anatuhumiwa kufanya uovu mkubwa wakati akiwa DC Hai, alipaswa kufunguliwa mashtaka ya jinai kortini. Kwa TAKUKURU kumweka mahabusu kwa wiki nzima ni kukiuka sheria za nchi yetu & kuendeleza tabia ya ukiukaji wa haki za binadamu ya vyombo vyetu vya usalama!
Unaposema una uhakika mtuhumiwa katenda kosa hapo kosa sio la sheria bali wahusika wanaotakiwa kuthibitisha ilo kosa.kwasababu jukumu la kuthibitisha sio jukumu la mtuhumiwa wala wanaotafsiri sheria bali walioshtaki kama ni jamhuri au kinyume chake.Sheria is not always right. Akipelekwa mahakamani akipata mwanasheria mzuri anachomoa. Si kila wakati sheria zinatenda haki hata kama una uhakika mtuhumiwa katenda kosa!
Thubutu!! Lisu wakala wa mabeberu au humjui?Lissu angekuwa Rais hii nchi ingekuwa na Utu sana na utawala wa sheria
Leo kuna clip niliiona jioni ya sabaya akilalamika na kusema anaonewa sijui ni ya lini hiyo?Sasa ataenda wapi wakati Hao Hao Akina Pompeo Waliwahi Kumpiga BAN...
Wakati mwingine hii Dunia Hugeuka hata Usiaminin....Watesi wao ndoo wanateseka..Jifunzeni
Tundu Lissu kaliona hilo ndio maana kasema haki itendeke amejua kuwa kesho inaweza tokea kwa CDM.TAL ni mjanja sanaTuzingatie Sheria
Sio kufanya Mambo kwa utashi wenu
Leo sabaya akikaa mwezi mzima mahabusu
Kesho mkiwakamata chadema mtataka justification kwa kutumia Jambo la sabaya
Apelekwe mahakamani period
Kwa hiyo utawala wa sheria haupaswi kuwepo?Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
HahahahaaHivi ukiua unauwawa?
mkuu ulienda shule lakini? unajua kitu tunaita katika sheria---INNOCENT TILL PROVED GUILTY?????? jaribu kumuelewa mhe lissuu, kila anasema ni sheria na haki itendeke, period, haijarisi ni tuhuma aina gani huyu ole saa baya anatuhumiwa, lakini afikiswe mahakamani, hilo ndilo issue hapa, kumbuka only a court of law can find him guilty, amefanya mengi kateka, kaua , kachukua rushwa, lakini ana haki mbele ya sheria, take him to court charge him, prove him guilty, send him to segerea for not less than 70 yearsIfike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!
Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?
Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Ilitakiwa awe kazikwa juu juu karibu na ardhi ili iwe rahisi kwetu kwenda kunya kwenye mwili wake kila tukisikia maviHivi jiwe alifukiwa umbali gani ardhini.? Aaaaarrrfghhhhh kumbe hakufukiwa, aliwekwa.