Lakini unayajua maumivu aliyapitia Lisu ni makubwa kiasi gani?
 
Naangalia VOA LIVE, LISSU amemaliza kila kitu.

Update : Lissu anasema, aliandikiwa Whathap na watu wa Nairobi hospital kuwa wana Magufuli yupo taabani na Corona na hawaoni kama atopona. Akawambia mwekeni kwenye chumba nilicholazwa mimi,
kinabaraka kile atapata nafuu.

Lissu unapepo yako Mbinguni
 
CCM Bila Police Ni Wepesi
Msechu Kawaambia
Mwamba Wetu Imara Ona Amelala πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜‚
Bashiru Anakwenda Kemondo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…