Tundu Lissu KAFUNDWA LEO
Akiyafanyia kazi atadumu kwenye ndoa
Sent from my STK-L22 using JamiiForums mobile app
Akiyafanyia kazi atadumu kwenye ndoa
Sent from my STK-L22 using JamiiForums mobile app
Lumumbu amemwambia Shaka Sali mwendesha kipindi kwamba shida ya Lisu ni hasira alizo nazo na ukiwa na hasira sana huwezi kuongea positve yeyote zaidi ya negativeAhaa kumbe ni yaleyale,Lisu hanaga jipya.
Ni akili fupi tu za Nyumbu wake wanao mpaisha huyu mtu.
Lisu anatamani hata aende akachape viboko kaburia hayatiSijui kwanini Startv waliogopa kurusha but it was so eye opening,
PLO alijiandaa vizur, Lissu bado anamsulubu Hayati..
Haya mambo haya
Lisu kachanganyikiwa.Lisu anahongea Kama kiongozi anayeelewa siasa na maisha...Lumumba Kwanza anashindwa kuelewa anawalenga akina Nani, lakini pia he is not real at all, haongei kilichopo moyoni anaongea kufikirika....Lumumba it's kind of Kabudi anapozungumza.
Nimependa kwamba wamerespect kazi ya Mungu, wamejadili hoja na si mtu, wamejadili mfumo ambao kwa mfumo huo binadamu mzuri anaweza kugeuka mbaya, wamejadili Africa ambayo bado demokrasia nikitendawili...lakini pia maendeleo ya vitu na ustawi wa watu vyafaa kwenda sambamba
Lisu kachanganyikiwa.
Kwanza Lisu kaharibu maongezi kusema Bodyguard wa raisi yule mweusi sana nae kafa kwa CORONA.
Pia kaulizwa mazuri na mabaya ya jiwe,kataja mabaya tupu.
Lisu alipania mjadala mwisho kaharibu,hana utulivu.
Lumumba ni mtu na nusu
English inakuchanganya????Lumumba ana akili nyingi sana kulinganisha na Lissu
KTN zipo nyingi, itakayorusha ni KTN News saa 00:00 kwenye DSTV inapatikana channel 274Ktn ni saa tano usiku
Lissu amesema bodyguard wa Magufuli alishakufa kwa corona. Nafikiri Lissu anashida fulani kichwani
Yaani acha tuMwigulu wizara ya fedha tumepigwa.
Jafo kumtoa TAMISEMI tumepigwa.
Kabudi kumtoa kimataifa tumepigwa.
Ondoa Gwajima weka Ummy mwalimu ingelikuwa supersub moja hatari Sana.
Ummy ni mchapa Kazi Mzuri lakini hiyo wizara aliyopewa ataonekana Kama hafanyi Kazi kutokana na uzito wa wizara ulivyo.
Inshort nauona mpasuko ukitokea ndani ya Chama Cha kijani hivi karibuni na Taifa litavurugana kwa Muda.
Lumumba vs Lissu
Nilifikiri nimesikia vibaya kuna mtu pembeni yangu nae akauliza hivi huyu jamaa ni mzima kweli.Hahahahaha leo ndio nimeamni Lissu ni mgonjwa wa akili kabisa au atakuwa anaongelea jambo lingine nimecheka sana hahahaha
Hatutaki mapya tunataka ukweli, maana hata Bible na Qoran hamna mapya ni yale yale, lakini waumini kibao.Mkuu mahojiano yalikuwa live facebook, kifupi Lisu hanaga jipya ni yale yale nadhani unayajua
Shida ya Lisu NI ntu anaependa kuonekana mzuriLisu anatamani hata aende akachape viboko kaburia hayati
Yule jamaa ipo siku atakufa kwa hasira
Ehe tupeni taarifa Lisu karopoka uharo gani uko?
Usiwadundishe viongozi wako kaziMwigulu wizara ya fedha tumepigwa.
Jafo kumtoa TAMISEMI tumepigwa.
Kabudi kumtoa kimataifa tumepigwa.
Ondoa Gwajima weka Ummy mwalimu ingelikuwa supersub moja hatari Sana.
Ummy ni mchapa Kazi Mzuri lakini hiyo wizara aliyopewa ataonekana Kama hafanyi Kazi kutokana na uzito wa wizara ulivyo.
Inshort nauona mpasuko ukitokea ndani ya Chama Cha kijani hivi karibuni na Taifa litavurugana kwa Muda.
Lumumba vs Lissu