Lisu anahongea Kama kiongozi anayeelewa siasa na maisha...Lumumba Kwanza anashindwa kuelewa anawalenga akina Nani, lakini pia he is not real at all, haongei kilichopo moyoni anaongea kufikirika....Lumumba it's kind of Kabudi anapozungumza.

Nimependa kwamba wamerespect kazi ya Mungu, wamejadili hoja na si mtu, wamejadili mfumo ambao kwa mfumo huo binadamu mzuri anaweza kugeuka mbaya, wamejadili Africa ambayo bado demokrasia nikitendawili...lakini pia maendeleo ya vitu na ustawi wa watu vyafaa kwenda sambamba
 
Lisu anahongea Kama kiongozi anayeelewa siasa na maisha...Lumumba Kwanza anashindwa kuelewa anawalenga akina Nani, lakini pia he is not real at all, haongei kilichopo moyoni anaongea kufikirika....Lumumba it's kind of Kabudi anapozungumza.

Nimependa kwamba wamerespect kazi ya Mungu, wamejadili hoja na si mtu, wamejadili mfumo ambao kwa mfumo huo binadamu mzuri anaweza kugeuka mbaya, wamejadili Africa ambayo bado demokrasia nikitendawili...lakini pia maendeleo ya vitu na ustawi wa watu vyafaa kwenda sambamba
Lisu kachanganyikiwa.

Kwanza Lisu kaharibu maongezi kusema Bodyguard wa raisi yule mweusi sana nae kafa kwa CORONA.

Pia kaulizwa mazuri na mabaya ya jiwe,kataja mabaya tupu.

Lisu alipania mjadala mwisho kaharibu,hana utulivu.

Lumumba ni mtu na nusu
 
Lisu kachanganyikiwa.

Kwanza Lisu kaharibu maongezi kusema Bodyguard wa raisi yule mweusi sana nae kafa kwa CORONA.

Pia kaulizwa mazuri na mabaya ya jiwe,kataja mabaya tupu.

Lisu alipania mjadala mwisho kaharibu,hana utulivu.

Lumumba ni mtu na nusu

Lissu ana ongelea body guard gani hahahahahahahaha
 
Mwigulu wizara ya fedha tumepigwa.
Jafo kumtoa TAMISEMI tumepigwa.
Kabudi kumtoa kimataifa tumepigwa.

Ondoa Gwajima weka Ummy mwalimu ingelikuwa supersub moja hatari Sana.
Ummy ni mchapa Kazi Mzuri lakini hiyo wizara aliyopewa ataonekana Kama hafanyi Kazi kutokana na uzito wa wizara ulivyo.


Inshort nauona mpasuko ukitokea ndani ya Chama Cha kijani hivi karibuni na Taifa litavurugana kwa Muda.


Lumumba vs Lissu
Yaani acha tu
Ummy hayawezi majambazi ya Tamisemi
Jafo ni nafuu kubwa sana.
Mwigulu jambazi tu hilo
 
Lisu anatamani hata aende akachape viboko kaburia hayati

Yule jamaa ipo siku atakufa kwa hasira
Shida ya Lisu NI ntu anaependa kuonekana mzuri
Na anafanya mazuri
Watu w namna hyo wAnapenda kutafuta huruma kwA kuchafua wengine na kutupia lawama wengine
Hata Katika umri wao mdogo ni wale watoto ambao mudanwote wanawasingizia wenzao makosa ili wao waonekane wema

Tabia hi isipokemewa utoton inazalisha wskina Lissu
 
Mwigulu wizara ya fedha tumepigwa.
Jafo kumtoa TAMISEMI tumepigwa.
Kabudi kumtoa kimataifa tumepigwa.

Ondoa Gwajima weka Ummy mwalimu ingelikuwa supersub moja hatari Sana.
Ummy ni mchapa Kazi Mzuri lakini hiyo wizara aliyopewa ataonekana Kama hafanyi Kazi kutokana na uzito wa wizara ulivyo.


Inshort nauona mpasuko ukitokea ndani ya Chama Cha kijani hivi karibuni na Taifa litavurugana kwa Muda.


Lumumba vs Lissu
Usiwadundishe viongozi wako kazi
 
Back
Top Bottom