Rais Samia muombe Tundu Lissu akusaidie kwenye Sheria zenye utata, Wana CCM bado tuna Safari ndefu

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Members, Kila wakati huwa nasema tatizo la watanzania ni English, English au kiingereza.

Kama hakuna mtu anakuongelesha kiingereza kwa ufasaha kila siku lazima usahau

Ofisi nyingi za Serikali Tanzania wanaongea kiswahili, Wafanyakazi wengi wa serikali tena graduate walishasahau kuongea kiingereza kwani ofisini wanaongea kiswahili masaa yote.

Ni sekta binafsi tu ndizo nyingi zinatumia kiingereza kwani zina muingiliano sana na wataalamu wa kizungu, Kihindi na kiarabu, Kuna ofisi za private sector hapa Tanzania watu wanagonga english masaa ishirini na nne

Tuwatumie watu wenye akili kubwa kama Taifa,Watu wanaosifia tu na kumpeti peti Mama yatatugharimu zaidi.

Tunakusanya tozo mabilioni lakini zote zinakwenda kulipa faini za kijinga kwa ushauri wa wajinga wachache walioshauri mamlaka ivunje mikataba ovyo.

Declaratiob of Interest,Mimi ni mwana ccm lakini linapokuja hoja za Tundu Lissu hakuna mwana ccm mwenye uwezo wa kuzijibu zaidi ya watu kuporomosha matusi tu.

Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2020 nilipandisha nyuzi hapa kuhusu hoja za Tundu lissu zilizoelezea uhuru na maendeleo ya watu. Alipingwa sana kwa matusi na wana ccm lakini Rais Samia alipopokea nchi akakiri kuna tatizo la demokrasia na uhuru wa watu.

Tundu Lissu kila siku anaonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na katiba yetu. Suala la mikataba ya madini alishauri hapa kuwa tutakuja kushtakiwa kwa sheria za kimataifa lakini wana ccm tuliishia kumuita sio mzalendo anatumwa na mabeberu.

Tundu Lissu alishauri kabla ya kubadili sheria zetu lazima kwanza Serikali ya Tanzania ijiondoe MIGA au Serikali ya Tanzania iiambie Dunia kuwa sasa inajitoa kwenye mambo yote ya kimataifa ndio ianze mambo ya kujitoa kwenye mikataba midogo midogo.

Cha kushangaza Serikali inapenda pesa za kimataifa toka IMF na World Bank na hawajavunja mikataba yao na IMF na WB bali wanataka kuzichezea kampuni zinazotaka kwenye nchi zinazoshikilia mpini wa Fedha wa dunia.

Tuache mambo ya upinzani pembeni ifike mahari tuwatumie watu wenye powerfully brain kama Tundu Lissu,Kama Taifa sioni tatizo la kuwatumia watu wenye akili watusaidie kuliko kuendelea kukumbatia machawa wanaofikiria kujaza matumbo yao.

Tundu Lissu ameonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na ni moja ya watu hata Mimi Mwana CCM alinifanya nianze kupenda kusoma Sheria na historia ya nchi hii.

Tundu Lissu amewapa mwanga maelfu ya Watanzania akiwa bungeni na kuwafanya Raia wengi watambue haki zao na muundo wa serikali yao.

Hakuna ubishi, moja ya watu waliolifanya Bunge la Anna Makinda na Spika Sitta lipate heshima na kugoma Bunge litumike kama rubber stamp ya serikali ni Tundu Lissu.

Mama Rais Samia muite Tundu Lissu ongea nae akueleze sheria zenye utata kuanzia sheria zinazohusu Jeshi la Polisi, Takukuru na hata muundo wa katiba yetu.

Wanachotuzidi wazungu ni kuwatumia watu ambao ni powerfully brain bila kuangalia status zao.

Newton Isac na Einstein Albert hawakuwa na ushawishi kwenye tawala za enzi hizo lakini akili zao na uwezo wao wazungu wanautumia uvumbuzi wao mpaka sasa kuitawala dunia, Lakini bado Afrika tunahangaika kukariri darasani kazi zao

Kwenye hizi kesi za madini, Tundu Lissu ameibuka mshindi na sio mshindi tu ametuonyesha kuwa yale anayoongea ndiyo yanafanyika huko Dunia ya kwanza.

Prof aliyemdanganya JPM leo anaabishwa na kudharirishwa kwenye mahakama za kimataifa, Prof hajui sheria za kimataifa na kiingereza chake kama cha Mimi Gussie wa Makete

Long live Tundu Lisu
 
Members ,Kila wakati huwa nasema tatizo la watanzania ni English,English au kiingereza .
tunahangaika kukariri darasani kazi zao
Hakuna cha Lissu wala mama samia.

Umeisikiliza kesi yote?

Unaelewa mlalamikaji analalamikia nini?
 
Huwezi kuukubali ukweli kwakuwa unaamini katika uuzwaji wa bandari zote za Tanganyika kwa waarabu ndio suluhisho la kupata maendeleo
Hii kesi ya madini inahusiana nini na bandari?

Umeziona video clips za hii kesi? Unakijuwa kinacholalamikiwa? Na nani mlalamikaji?
 
Hii kesi ya madini inahusiana nini na bandari?

Umeziona video clips za hii kesi? Unakijuwa kinacholalamikiwa? Na nani mlalamikaji?
Kwanini unatetea uuzwaji wa bandari zote za Tanganyika kwa Waarabu?

Ni shetani tu ndio aweza kuwa mtetezi wa shetani!
 
Hakuna cha Lissu wala mama samia.

Umeisikiliza kesi yote?

Unaelewa mlalamikaji analalamikia nini?
Sio tu kusikiliza kesi yote bali kuna kesi nyingi ambazo TRA inahangaika nazo za hawa wawekezaji hazijafika huko mahakama ya kimataifa na kuna kikosi maalum cha TRA kila siku kinahangaika na hizi kesi ndani kwanza ili zisifike huko

Kuna kesi nyingi tunalipa kimya kimya ndani tunamalizana na hao wawekezaji wazungu, Zinazofika huko kimataifa ujue wazungu wamegoma makubaliano

Mara ya kwanza wakati wa JPM nakupa siri hii ilionekana Prof Luoga ndie mwanasheria kikwazo cha serikali kushinda kesi zilizohusisha makampuni ya simu, Prof luoga alikuwa anayatetea sana mahakamani makampuni ya simu na yanashinda kesi dhidi ya serikali, JPM akaamua kumpa U Gavana BOT ili makampuni ya simu ayabane vizuri na akafanikiwa kuyabana

Zile faini zaidi ya bilioni 200 atalipa huyo Mrumo na genge lake kwa hao wazungu?
Kamati ile ya kumshauri JPM ikiongozwa na Prof Ossoro ndio inatugharimu sasa

Huyo Prof Ossoro ,Ashakumu si matusi kiswahili tu anaongea kwa shida na wale waliofundishwa nae Economics hapo UDSM sijui kama alikuwa anaeleweka maana naona yupo yupo tu

Prof Ossoro alisoma report ya madini mbele ya JPM kama mtoto wa chekechea. Na leo tunapigwa faini kwa ushauri wao kuwa serikali wavunje mikataba ya kimataifa na kubadili sheria

Dollar zenyewe mtaani kwa sisi wafanyabiashara hakuna. Tunatafuta dollar ili kuagiza bidhaa na hata ukienda Bank hakuna.

Kumbuka hizo pesa zinalipwa nje kwa dollar sio kwa pesa za madafu.

Je, hizo dollar Serikali si ingeweza kuboost tatizo tunalokabiliana nalo kwa sasa

Tuweke uwana ccm pembeni, Makosa yamefanyika makubwa sana na yalifanywa awamu ya Tano. Ni muda wa Rais Samia kukubali ushauri wa watu wenye akili kama Tundu Lissu

Kwa ufupi, Mimi hao watu wa UDSM hasa walimu wana uwezo mdogo sana na wanafundisha watoto wa kitanzania mambo outdated.

Katika watu ambao ni powerfully brain ambae mpaka leo sielewi kwanini makosa yalifanyika kwa katiba yetu ni Prof Musa Juma Assad ambae alikuwa CAG

Powerfully Brain kama Musa Assad na Tundu lisu wanaonekana maadui kwa watawala
 
Sio tu kusikiliza kesi yote bali kuna kesi nyingi ambazo TRA inahangaika nazo za hawa wawekezaji hazijafika huko mahakama ya kimataifa na kuna kikosi maalum cha TRA kila siku kinahangaika na hizi kesi ndani kwanza

Mara ya kwanza wakati wa JPM nakupa siri hii ilionekana Prof Luoga ndie mwanasheria kikwazo cha serikali kushinda kesi zilizohusisha makampuni ya simu,Prof luoga alikuwa anayatetea sana mahakamani makampuni ya simu na yanashinda kesi dhidi ya serikali,JPM akaamua kumpa U Gavana BOT ili makampuni ya simu ayabane vizuri na akafanikiwa kuyabana

Zile faini zaidi ya bilioni 200 atalipa huyo Mrumo na genge lake kwa hao wazungu,
Kamati ile ya kumshauri JPM ikiongozwa na Prof Ossoro ndio inatugharimu sasa

Huyo Prof Ossoro ,Ashakumu si matusi kiswahili tu anaongea kwa shida na wale waliofundishwa nae Economics hapo UDSM sijui kama alikuwa anaeleweka maana naona yupo yupo tu

Prof Ossoro alisoma report ya madini mbele ya JPM kama mtoto wa chekechea,Na leo tunapigwa faini kwa ushauri wao kuwa serikali wavunje mikataba ya kimataifa na kubadili sheria

Dollar zenyewe mtaani kwa sisi wafanyabiashara hakuna,Tunatafuta dollar ili kuagiza bidhaa na hata ukienda Bank hakuna ,

Kumbuka hizo pesa zinalipwa nje kwa dollar sio kwa pesa za madafu

Je hizo dollar Serikali si ingeweza kuboost tatizo tunalokabiliana nalo kwa sasa

Tuweke uwana ccm pembeni ,Makosa yamefanyika makubwa sana na yalifanywa awamu ya Tano ,Ni muda wa Rais Samia kukubali ushauri wa watu wenye akili kama Tundu Lissu

Kwa ufupi ,Mimi hao watu wa UDSM hasa walimu wana uwezo mdogo sana na wanafundisha watoto wa kitanzania mambo

Katika watu ambao ni powerfully brain ambae mpaka leo sielewi kwanini makosa yalifanyika kwa katiba yetu ni Prof Musa Juma Assad ambae alikuwa CAG

Powerfully Brain kama Musa Assad na Tundu lisu wanaonekana maadui kwa watawala
Hii mikopo tunayoichukua kwa mbwembwe huko IMF na World bank si itaishia kulipa mikopo ya hawa wanaotudai?
 
Sio tu kusikiliza kesi yote bali kuna kesi nyingi ambazo TRA inahangaika nazo za hawa wawekezaji hazijafika huko mahakama ya kimataifa na kuna kikosi maalum cha TRA kila siku kinahangaika na hizi kesi ndani kwanza ili zisifike huko
Hizo zote porojo. Ukweli ni kuwa , Mwendazake alilikoroga, video ya kwanza tu anasasambuliwa yeye na Kabudi.

Tumelikoroga tulinywe.

Dunia hii haitakiwi kujimwabafai. Aliwaona wajinga kina Kikwete waliosema ikitaka kula uliwe.

Alifanya mapapara bila kukaa chini na wanasheria wabobezi, alimtegemea sana kabudi.
Mawakili wa wote ni wapigaji. Hilo wala siyo kwa Tannia tu, dunia nzima.

Wazungu unapowanyimamikataba na kujimwabafai ujuwe wanakupikia dawa yako. Sifahamu kama unaelewa anachokiongea Andrew Tate siku zote jjuhusu "Matrix".

kama hikifahamu, ukijimwabafai, hakuna sheria itayokulinda dunia hii. Sana sana utaishia kama Ghaddafi, Saddam, Mugabe na hata Nyerere, kwa kujimwambafai kwake akatutesa kwa umasikini Watanzania kwa miaka zaidi ya 20.

Tuwache ujinga. Tujimwabafai pale tutakapojitosheleza kwanza, kujitosheleza hatujajitosheleza tunataka kujimwabaai?

Ni ujinga tu.
 
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako.


Hii kesi ya madini inahusiana nini na bandari?


Umeziona video clips za hii kesi? Unakijuwa kinacholalamikiwa? Na nani mlalamikaji?
Zinahusiana ndio, zote zinahusu rasilimali za nchi
Wewe ushakuwa kijakazi wa mwarabu huwezi elewa kitu bibi
 
Members ,Kila wakati huwa nasema tatizo la watanzania ni English,English au kiingereza.

Kama hakuna mtu anakuongelesha kiingereza kwa ufasaha kila siku lazima usahau

Ofisi nyingi za Serikali Tanzania wanaongea kiswahili, Wafanyakazi wengi wa serikali tena graduate walishasahau kuongea kiingereza kwani ofisini wanaongea kiswahili masaa yote.

Ni sekta binafsi tu ndizo nyingi zinatumia kiingereza kwani zina muingiliano sana na wataalamu wa kizungu, Kihindi na kiarabu, Kuna ofisi za private sector hapa Tanzania watu wanagonga english masaa ishirini na nne

Tuwatumie watu wenye akili kubwa kama Taifa,Watu wanaosifia tu na kumpeti peti Mama yatatugharimu zaidi.

Tunakusanya tozo mabilioni lakini zote zinakwenda kulipa faini za kijinga kwa ushauri wa wajinga wachache walioshauri mamlaka ivunje mikataba ovyo.

Declaratiob of Interest,Mimi ni mwana ccm lakini linapokuja hoja za Tundu Lissu hakuna mwana ccm mwenye uwezo wa kuzijibu zaidi ya watu kuporomosha matusi tu.

Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2020 nilipandisha nyuzi hapa kuhusu hoja za Tundu lissu zilizoelezea uhuru na maendeleo ya watu. Alipingwa sana kwa matusi na wana ccm lakini Rais Samia alipopokea nchi akakiri kuna tatizo la demokrasia na uhuru wa watu.

Tundu Lissu kila siku anaonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na katiba yetu. Suala la mikataba ya madini alishauri hapa kuwa tutakuja kushtakiwa kwa sheria za kimataifa lakini wana ccm tuliishia kumuita sio mzalendo anatumwa na mabeberu.

Tundu Lissu alishauri kabla ya kubadili sheria zetu lazima kwanza Serikali ya Tanzania ijiondoe MIGA au Serikali ya Tanzania iiambie Dunia kuwa sasa inajitoa kwenye mambo yote ya kimataifa ndio ianze mambo ya kujitoa kwenye mikataba midogo midogo.

Cha kushangaza Serikali inapenda pesa za kimataifa toka IMF na World Bank na hawajavunja mikataba yao na IMF na WB bali wanataka kuzichezea kampuni zinazotaka kwenye nchi zinazoshikilia mpini wa Fedha wa dunia.

Tuache mambo ya upinzani pembeni ifike mahari tuwatumie watu wenye powerfully brain kama Tundu Lissu,Kama Taifa sioni tatizo la kuwatumia watu wenye akili watusaidie kuliko kuendelea kukumbatia machawa wanaofikiria kujaza matumbo yao.

Tundu Lissu ameonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na ni moja ya watu hata Mimi Mwana CCM alinifanya nianze kupenda kusoma Sheria na historia ya nchi hii.

Tundu Lissu amewapa mwanga maelfu ya Watanzania akiwa bungeni na kuwafanya Raia wengi watambue haki zao na muundo wa serikali yao.

Hakuna ubishi, moja ya watu waliolifanya Bunge la Anna Makinda na Spika Sitta lipate heshima na kugoma Bunge litumike kama rubber stamp ya serikali ni Tundu Lissu.

Mama Rais Samia muite Tundu Lissu ongea nae akueleze sheria zenye utata kuanzia sheria zinazohusu Jeshi la Polisi, Takukuru na hata muundo wa katiba yetu.

Wanachotuzidi wazungu ni kuwatumia watu ambao ni powerfully brain bila kuangalia status zao.

Newton Isac na Einstein Albert hawakuwa na ushawishi kwenye tawala za enzi hizo lakini akili zao na uwezo wao wazungu wanautumia uvumbuzi wao mpaka sasa kuitawala dunia, Lakini bado Afrika tunahangaika kukariri darasani kazi zao

Kwenye hizi kesi za madini, Tundu Lissu ameibuka mshindi na sio mshindi tu ametuonyesha kuwa yale anayoongea ndiyo yanafanyika huko Dunia ya kwanza.

Prof aliyemdanganya JPM leo anaabishwa na kudharirishwa kwenye mahakama za kimataifa, Prof hajui sheria za kimataifa na kiingereza chake kama cha Mimi Gussie wa Makete

Long live Tundu Lisu
Yaani mama amuombe kichwa kibovu kinachoyumbayumba?;wewe unaona Lissu ni mtu wa kukaa naye mkaongea jambo lenye maslahi na nchi?
 
Members ,Kila wakati huwa nasema tatizo la watanzania ni English,English au kiingereza.

Kama hakuna mtu anakuongelesha kiingereza kwa ufasaha kila siku lazima usahau

Ofisi nyingi za Serikali Tanzania wanaongea kiswahili, Wafanyakazi wengi wa serikali tena graduate walishasahau kuongea kiingereza kwani ofisini wanaongea kiswahili masaa yote.

Ni sekta binafsi tu ndizo nyingi zinatumia kiingereza kwani zina muingiliano sana na wataalamu wa kizungu, Kihindi na kiarabu, Kuna ofisi za private sector hapa Tanzania watu wanagonga english masaa ishirini na nne

Tuwatumie watu wenye akili kubwa kama Taifa,Watu wanaosifia tu na kumpeti peti Mama yatatugharimu zaidi.

Tunakusanya tozo mabilioni lakini zote zinakwenda kulipa faini za kijinga kwa ushauri wa wajinga wachache walioshauri mamlaka ivunje mikataba ovyo.

Declaratiob of Interest,Mimi ni mwana ccm lakini linapokuja hoja za Tundu Lissu hakuna mwana ccm mwenye uwezo wa kuzijibu zaidi ya watu kuporomosha matusi tu.

Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2020 nilipandisha nyuzi hapa kuhusu hoja za Tundu lissu zilizoelezea uhuru na maendeleo ya watu. Alipingwa sana kwa matusi na wana ccm lakini Rais Samia alipopokea nchi akakiri kuna tatizo la demokrasia na uhuru wa watu.

Tundu Lissu kila siku anaonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na katiba yetu. Suala la mikataba ya madini alishauri hapa kuwa tutakuja kushtakiwa kwa sheria za kimataifa lakini wana ccm tuliishia kumuita sio mzalendo anatumwa na mabeberu.

Tundu Lissu alishauri kabla ya kubadili sheria zetu lazima kwanza Serikali ya Tanzania ijiondoe MIGA au Serikali ya Tanzania iiambie Dunia kuwa sasa inajitoa kwenye mambo yote ya kimataifa ndio ianze mambo ya kujitoa kwenye mikataba midogo midogo.

Cha kushangaza Serikali inapenda pesa za kimataifa toka IMF na World Bank na hawajavunja mikataba yao na IMF na WB bali wanataka kuzichezea kampuni zinazotaka kwenye nchi zinazoshikilia mpini wa Fedha wa dunia.

Tuache mambo ya upinzani pembeni ifike mahari tuwatumie watu wenye powerfully brain kama Tundu Lissu,Kama Taifa sioni tatizo la kuwatumia watu wenye akili watusaidie kuliko kuendelea kukumbatia machawa wanaofikiria kujaza matumbo yao.

Tundu Lissu ameonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na ni moja ya watu hata Mimi Mwana CCM alinifanya nianze kupenda kusoma Sheria na historia ya nchi hii.

Tundu Lissu amewapa mwanga maelfu ya Watanzania akiwa bungeni na kuwafanya Raia wengi watambue haki zao na muundo wa serikali yao.

Hakuna ubishi, moja ya watu waliolifanya Bunge la Anna Makinda na Spika Sitta lipate heshima na kugoma Bunge litumike kama rubber stamp ya serikali ni Tundu Lissu.

Mama Rais Samia muite Tundu Lissu ongea nae akueleze sheria zenye utata kuanzia sheria zinazohusu Jeshi la Polisi, Takukuru na hata muundo wa katiba yetu.

Wanachotuzidi wazungu ni kuwatumia watu ambao ni powerfully brain bila kuangalia status zao.

Newton Isac na Einstein Albert hawakuwa na ushawishi kwenye tawala za enzi hizo lakini akili zao na uwezo wao wazungu wanautumia uvumbuzi wao mpaka sasa kuitawala dunia, Lakini bado Afrika tunahangaika kukariri darasani kazi zao

Kwenye hizi kesi za madini, Tundu Lissu ameibuka mshindi na sio mshindi tu ametuonyesha kuwa yale anayoongea ndiyo yanafanyika huko Dunia ya kwanza.

Prof aliyemdanganya JPM leo anaabishwa na kudharirishwa kwenye mahakama za kimataifa, Prof hajui sheria za kimataifa na kiingereza chake kama cha Mimi Gussie wa Makete

Long live Tundu Lisu
Sijui tuliteleza wapi nchi yetu inaongozwa na wajinga wengi sana!
 
CCM wanaona bora nchi iteketee kuliko kumtumia Lissu. After all, naona wao (CCM) ni sehemu ya upigaji.
 
Members ,Kila wakati huwa nasema tatizo la watanzania ni English,English au kiingereza.

Kama hakuna mtu anakuongelesha kiingereza kwa ufasaha kila siku lazima usahau

Ofisi nyingi za Serikali Tanzania wanaongea kiswahili, Wafanyakazi wengi wa serikali tena graduate walishasahau kuongea kiingereza kwani ofisini wanaongea kiswahili masaa yote.

Ni sekta binafsi tu ndizo nyingi zinatumia kiingereza kwani zina muingiliano sana na wataalamu wa kizungu, Kihindi na kiarabu, Kuna ofisi za private sector hapa Tanzania watu wanagonga english masaa ishirini na nne

Tuwatumie watu wenye akili kubwa kama Taifa,Watu wanaosifia tu na kumpeti peti Mama yatatugharimu zaidi.

Tunakusanya tozo mabilioni lakini zote zinakwenda kulipa faini za kijinga kwa ushauri wa wajinga wachache walioshauri mamlaka ivunje mikataba ovyo.

Declaratiob of Interest,Mimi ni mwana ccm lakini linapokuja hoja za Tundu Lissu hakuna mwana ccm mwenye uwezo wa kuzijibu zaidi ya watu kuporomosha matusi tu.

Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2020 nilipandisha nyuzi hapa kuhusu hoja za Tundu lissu zilizoelezea uhuru na maendeleo ya watu. Alipingwa sana kwa matusi na wana ccm lakini Rais Samia alipopokea nchi akakiri kuna tatizo la demokrasia na uhuru wa watu.

Tundu Lissu kila siku anaonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na katiba yetu. Suala la mikataba ya madini alishauri hapa kuwa tutakuja kushtakiwa kwa sheria za kimataifa lakini wana ccm tuliishia kumuita sio mzalendo anatumwa na mabeberu.

Tundu Lissu alishauri kabla ya kubadili sheria zetu lazima kwanza Serikali ya Tanzania ijiondoe MIGA au Serikali ya Tanzania iiambie Dunia kuwa sasa inajitoa kwenye mambo yote ya kimataifa ndio ianze mambo ya kujitoa kwenye mikataba midogo midogo.

Cha kushangaza Serikali inapenda pesa za kimataifa toka IMF na World Bank na hawajavunja mikataba yao na IMF na WB bali wanataka kuzichezea kampuni zinazotaka kwenye nchi zinazoshikilia mpini wa Fedha wa dunia.

Tuache mambo ya upinzani pembeni ifike mahari tuwatumie watu wenye powerfully brain kama Tundu Lissu,Kama Taifa sioni tatizo la kuwatumia watu wenye akili watusaidie kuliko kuendelea kukumbatia machawa wanaofikiria kujaza matumbo yao.

Tundu Lissu ameonyesha matobo makubwa kwenye sheria zetu na ni moja ya watu hata Mimi Mwana CCM alinifanya nianze kupenda kusoma Sheria na historia ya nchi hii.

Tundu Lissu amewapa mwanga maelfu ya Watanzania akiwa bungeni na kuwafanya Raia wengi watambue haki zao na muundo wa serikali yao.

Hakuna ubishi, moja ya watu waliolifanya Bunge la Anna Makinda na Spika Sitta lipate heshima na kugoma Bunge litumike kama rubber stamp ya serikali ni Tundu Lissu.

Mama Rais Samia muite Tundu Lissu ongea nae akueleze sheria zenye utata kuanzia sheria zinazohusu Jeshi la Polisi, Takukuru na hata muundo wa katiba yetu.

Wanachotuzidi wazungu ni kuwatumia watu ambao ni powerfully brain bila kuangalia status zao.

Newton Isac na Einstein Albert hawakuwa na ushawishi kwenye tawala za enzi hizo lakini akili zao na uwezo wao wazungu wanautumia uvumbuzi wao mpaka sasa kuitawala dunia, Lakini bado Afrika tunahangaika kukariri darasani kazi zao

Kwenye hizi kesi za madini, Tundu Lissu ameibuka mshindi na sio mshindi tu ametuonyesha kuwa yale anayoongea ndiyo yanafanyika huko Dunia ya kwanza.

Prof aliyemdanganya JPM leo anaabishwa na kudharirishwa kwenye mahakama za kimataifa, Prof hajui sheria za kimataifa na kiingereza chake kama cha Mimi Gussie wa Makete

Long live Tundu Lisu
Lisu ana kiburi hawezi na pia ni mwanasiasa.

Naamini wapo wanasheria Waziri wa private huko ila sharti wawe wazalendo tofauti na hapo pesa ni tamu sana ndugu.
 
Acha ujinga. Matokeo ya kesitanzania tunakwenda kulipa mabiini ya pesa wakti uchumi wetu unapumulia gesi
Jiulize hizo kesi zimesababishwa na nini? Jibu ni simpo, kujimwambafai.

Wacha ujinga wewe kuiongelea kesi bila kuongelea chanzo cha kesi. Uwaalike watu waje kuwekeza kwako, halafu aje mwengine, ajimwabafai, wakuwachie tu na uwekeaji wa Kimataifa unalindwa Kimataifa?


Ndiyo hili tunasema kila siku. Hakuna cha mkataba unaotazamwa hapo zinatazamwa sheria za uwekezaji za Kimataifa, ni lazima ziwalinde wote, mwekezaji na mwekezwaji.
 
Back
Top Bottom