Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,333
- 7,486
VOA online LIVE, sasa anaongea Pro, LumumbaChannel gani mkuu??
VOA online LIVE, sasa anaongea Pro, LumumbaChannel gani mkuu??
Channel gn
Kila mtu ana roho na moyo wake usilazimishe mtu aishi utakavyoKama maumivu Ni hoja basi Mandela asingesamehe sikuzote
Sina habari naye, wewe unajua alipo?Mbowe yuko wapi?
Wewe mwenyewe hapo umekwishajitambulisha kwamba huwezi kukubaliana naye kwa lolote, hata kama angetoka machozi ya damu kumlilia uliyemwabudu.Unafiki tu baada ya kusemwa saana.
Lisu nilikua na mkubali Sana lakini Ana vichuki Fulani na mtu wa visasi Sana . Nafikiri kiongozi hafai labda kiuhanarakati na pengine angejiunga na vikindu vya waasi msituni tu maana wanaaminigi ktk kuua na kulipiza kisasi tu.
Angepata credit na kuonyesha ukomavu wake kipindi cha msiba lakini ndo alikua Ana kenua meno yote 32
Umempimaje.Lumumba ana akili nyingi sana kulinganisha na Lissu
Anabwabwaja nini mkuu.ebu tutafsirie sisi tusiojua yai?Lumumba anabwabwaja tu!
NimewasikilizaUmempimaje.
Mkuu mahojiano yalikuwa live facebook, kifupi Lisu hanaga jipya ni yale yale nadhani unayajuaTupeni link wadau..m
Lisu ni debe tupu, imebidi mpaka pr. Lumumba aseme shida ya Lisu ni ana hasira sana na Magufuli ndio maana hawezagi kuona lolote zuri la MaguUkiona nyumbxxxxx wametulia, ujue Lissu kashapigwa za uso huko .
Ahaa kumbe ni yaleyale,Lisu hanaga jipya.Mkuu mahojiano yalikuwa live facebook, kifupi Lisu hanaga jipya ni yale yale nadhani unayajua