Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,278
- 37,073
halafu uropokaji na ndoa za jinsia moja zimemchafua zaidi aise gentleman 🐒Nchi hii ni chawa tu anaestahili asiwe na mdomo, mmeyataka na yatawapata
halafu uropokaji na ndoa za jinsia moja zimemchafua zaidi aise gentleman 🐒Nchi hii ni chawa tu anaestahili asiwe na mdomo, mmeyataka na yatawapata
Wewe chadema tu bishahalafu uropokaji na ndoa za jinsia moja zimemchafua zaidi aise gentleman 🐒
Ccm wamewafunga wapinzani wao huku wakizunguka nchi nzima kuwasema....Hii sio sawaMichawa ni mijitu ya kipumbavu sana katika nchi hii. Inasikitisha Tundu Lissu kawekwa kizuizini bila sababu ya msingi lakini yenyewe inafurahia. Haya mambo yana mwisho mbaya kwa madikteta na machawa wao.
100%Kwa profile yake ni wazi TL ana elements zote za uzalendo na wala hahitaji kujivalisha maskafu na tai za bendela za taifa kuprove hili.
Waliomfahamu tangu shule za awali uwezo wake kitaaluma ulikuwa juu lakini zaidi alitenda kulingana na anchokiamini. Hiyo ni kwa shule ya msingi, Iliboru, Galanosee, JKT na hata chuo kikuu.
Ukienda katika kuitumikia jamii hasa nafasi yake ya ubunge, hapo tunamrejea Ruge Mutahaba kuwa teknolojia na Mungu havidanganyi kwani maktaba ziko wazi kumsikiliza alichosimamia na kukiamini.
Pia kwa utumishi wake katika jamii ni wazi kama zingelikuwepo kashfa zinazohusiana na maisha yake basi zingelikuwa zimewekwa wazi, labda kwa kupitia uzi huu atokee mtu wa kutuwekea wazi ujinga aliowai kushiriki kama kweli upo.
Kwa maana hiyo atakayejitia kuzima nyota yake anatakiwa awe makini maana anaweza kuzimika yeye.
Sawa, Iko siku huyo Samia atapitia njia hiyohiyo....ANAHANGAIKA NA MZIGO WA MAVITABU AMBAYO HAYASIADII KITU NA ATAENDELEA KUSOTA SANA JELA MBWA HUYU
Haya maisha tunatofautiana uelewa lakini kikubwa sote tunahitaji kujifunza.ANAHANGAIKA NA MZIGO WA MAVITABU AMBAYO HAYASIADII KITU NA ATAENDELEA KUSOTA SANA JELA MBWA HUYU
Mtoa maagizo mwenyewe sasa!Uzi wa hovyo sana huu. Mods futeni
Hofu imewajaa baada ya kufanya uovu!Kizee kinagombea tena na tena mugabe promax
Kama hujui vitu usiwe unaropoka! Unalijua panki wewe!? Kamtafute rais wa North Korea, ukimpata uje naye hapa. Mpumbv mmoja!Eti anataka U-Rais, Rais gani ananyoa panki
Sana mkuu. Acha akafie madarakaniHofu imewajaa baada ya kufanya uovu!
Hiki ni chuma haswa💥‼️UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️🔥
@TunduALissu ni kiboko yao madhulmat! Walijua wamemfunga mdomo na watamnyanysa ila alitumia fursa mahakamani na wanasheria wake na alipaza sauti kuhusu uminywaji wa haki zake gerezani sasa madhulmat wamepiga U-Turn 🤣 Yamewashuka shuu!
1. Sasa anaweza kukutana na mawakili faragha ana kwa ana japo katika maofisi yao.
2. Anafanya mazoezi katika uwanja mkubwa wa mpira.
3. Anapata huduma za kiroho. Juzi padre George Mathias Syai alimtembelea japo room kwake lakini amepata huduma ya kiroho.
Na bado mapambano ndo kwanza yameanza! 🔥
Dawa ya madhulmat ni kudai haki 👊🏽 piga tu
Na anasema:
"I demanded it, I got it"
"You don't demand it, you don't get it"
Long live TAL
Simba wa nyikani 🦁
#NoReformsNoElectionView attachment 3381744
Mm nimewaambia CCM na ninawaambia tena na tena kwamba TUNDU ANTIPAS LISSU ni hazina ya Taifa mumsikilize aisaidie nchi hii.Chawa sio washauri wa TAIFA hili.Taifa na viongozi wetu wawe serious na mambo ya msingi.Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.
Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika
Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu
Weka ile ripoti ya dhalimu magu chini ya kina professor rubbish uone kama kuna mahali walimtaja Lisu. Walitajwa akina Chenge, Maswi nk. Hata hivyo wakati Lisu anapigania mikataba mibovu ya madini, Magufuli alikuwa kimya na majizi menzake ya ccm akilinda cheo. Alianza kujifanya mzalendo baada ya kuwa rais. Lisu hakusubiri kuwa rais ndio ajifanye mzalendo.Tundu Lissu alisaliti taifa na kuwasaidia Acacia, ataishi kwa mateso hivyo hivyo hapa duniani
Itakuwa poaHapo juu naomba uweke historia yake toka anazaliwa mpaka anaanza harakati za kutetea watu
Ingependeza Sana
Nakumbuka ile yupo JKT alivyowaogopesha na kuwatisha kwa kule kujiamini kwake!!
Lissu ni hazina kwa Taifa;!!
SahihiMm nimewaambia CCM na ninawaambia tena na tena kwamba TUNDU ANTIPAS LISSU ni hazina ya Taifa mumsikilize aisaidie nchi hii.Chawa sio washauri wa TAIFA hili.Taifa na viongozi wetu wawe serious na mambo ya msingi.