Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu
Tunamtakia kila la heri
 
Laana ya milele imwendee kila anaeshiriki kumnyanyasa Lissu,,uzao wake ukashuhudie mateso.

Lissu (nabii) alishasema " Njia tunayoiendea imejaa miiba waoga hawataiweza" akamaliza kwa kusema "Tutapitishwa kwenye bonde la uvuli wa mauti".

Lissu akifungua kinywa chake waovu hutetemeka na kukosa amani moyoni.
Njia pekee ya kudhibiti maneno yake makali kama mshale ni aidha kumuua au kumfunga maana wengi hawawezi kuingia nae kwenye mijadala inayohitaji kutumia akili lazima akugalagaze ,ana maarifa yasiyomithirika na anajua kuyawasilisha.

Anaujua ulimwengu ni ngumu kumpambanisha na wanasiasa wa bei Chee wanaotafuta nafasi kushibisha matumbo yao.

Katika Taifa hili kwa wakati huu hakuna mwanasiasa Kariba ya Lissu,, huwezi kumuweka mizani ya wanasiasa Malaya malaya!! Ndiyo maana wasaka tonge wote wamekimbia Chama kwenda kutafuta siasa nyepesi za kushibisha matumbo.

Lissu ni mtu wa principles asiye compromise.

Huko gerezani mtunzeni tu huku mkijua hana hatia siku yaja mtalaumiana.
 
Back
Top Bottom