Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,520
- 830,065
Rais wa Burkinafaso Bwana Ibrahim Traore ameamua kuwaongezea mshahara walimu na madaktari nchini kwake Burkina Faso huku akiwa ameshusha mishahara ya wabunge wa nchini humo.
Maoni ya mdau:
Yaani kaangalia kaona wabunge wanachukua pesa za bure bila kufanya kazi, hizo pesa bora nikawaongezee walimu na madaktari.
Kila Mwafrika anahitaji hiki kitu nchini kwake kwani ni kweli wabunge wanakula mapesa mengi bure kabisa halafu kuna watu wanahangaikia afya zetu, wanawahangaikia watoto wetu wanapokea mishahara kiduchu kutofautisha na watu wanaopigwa viyoyozi bungeni.
Maoni ya mdau:
Yaani kaangalia kaona wabunge wanachukua pesa za bure bila kufanya kazi, hizo pesa bora nikawaongezee walimu na madaktari.
Kila Mwafrika anahitaji hiki kitu nchini kwake kwani ni kweli wabunge wanakula mapesa mengi bure kabisa halafu kuna watu wanahangaikia afya zetu, wanawahangaikia watoto wetu wanapokea mishahara kiduchu kutofautisha na watu wanaopigwa viyoyozi bungeni.