Tumeua Kidogo tu, Nonsense of the highest level

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,411
Alitaka wauawe wangapi ndipo aseme walitosha kuwa wengi.

Kwa mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu hawezi tamka maneno kama hayo, ni mnyama pekee asiye na utu au hayawani au wakala wa shetani ndiye anaweza kusema hivyo.

Ukiona mtu ana pongeza watu kuuawa kwa sababu yeyote ile hata humu JF jua yupo kwenye level hiyo.

Let's draw a conclusion kwamba CCM na viongozi wake wamefikia hatua ya unyama wanaweza kufanya chochote narudia tena chochote you can imagine (kuua kwao ni kawaida) na wasione aibu hata robo. Watanzania hatuna viongozi.
 
HBSbc7MbYAAV9dD.jpeg
 
Alitaka wauawe wangapi ndipo aseme walitosha kuwa wengi.

Kwa mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu hawezi tamka maneno kama hayo, ni mnyama pekee asiye na utu au hayawani au wakala wa shetani ndiye anaweza kusema hivyo.

Ukiona mtu ana pongeza watu kuuawa kwa sababu yeyote ile hata humu JF jua yupo kwenye level hiyo.

Let's draw a conclusion kwamba CCM na viongozi wake wamefikia hatua ya unyama wanaweza kufanya chochote narudia tena chochote you can imagine (kuua kwao ni kawaida) na wasione aibu hata robo. Watanzania hatuna viongozi.
Kwa mwaraabu, mweusi Hana thamani angalia Darfur
 
Alitaka wauawe wangapi ndipo aseme walitosha kuwa wengi.

Kwa mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu hawezi tamka maneno kama hayo, ni mnyama pekee asiye na utu au hayawani au wakala wa shetani ndiye anaweza kusema hivyo.

Ukiona mtu ana pongeza watu kuuawa kwa sababu yeyote ile hata humu JF jua yupo kwenye level hiyo.

Let's draw a conclusion kwamba CCM na viongozi wake wamefikia hatua ya unyama wanaweza kufanya chochote narudia tena chochote you can imagine (kuua kwao ni kawaida) na wasione aibu hata robo. Watanzania hatuna viongozi.
hiyo ni haki pekee anayostahili gaidi au mamaluki lofa gentleman,
aliesma hayo yupo sahihi :1Head:
 
Alitaka wauawe wangapi ndipo aseme walitosha kuwa wengi.

Kwa mtu mwenye akili timamu na hofu ya Mungu hawezi tamka maneno kama hayo, ni mnyama pekee asiye na utu au hayawani au wakala wa shetani ndiye anaweza kusema hivyo.

Ukiona mtu ana pongeza watu kuuawa kwa sababu yeyote ile hata humu JF jua yupo kwenye level hiyo.

Let's draw a conclusion kwamba CCM na viongozi wake wamefikia hatua ya unyama wanaweza kufanya chochote narudia tena chochote you can imagine (kuua kwao ni kawaida) na wasione aibu hata robo. Watanzania hatuna viongozi.
nani anahuzunika wezi kuuliwa?
 
Sawa, ila msije mkatoa vilio haki ya muuaji itakapowadia.
Gentleman,
imani potofu na ramli useless kama hizo zibaki kwenu washirikina malofa na ushirikina wenu nonsense kwa maendeleo ya taifa :pedroP:

kama vijana wazalendo tunasonga mbele chini ya Dr.Samia Suluhu Hassa na hakuna mamaluki lofa wa kuzuia hilo hata awe na mihemko zaidi ya nyumbu:pedroP:
 
Gentleman,
imani potofu na ramli useless kama hizo zibaki kwenu washirikina malofa na ushirikina wenu nonsense kwa maendeleo ya taifa :pedroP:

kama vijana wazalendo tunasonga mbele chini ya Dr.Samia Suluhu Hassa na hakuna mamaluki lofa wa kuzuia hilo hata awe na mihemko zaidi ya nyumbu:pedroP:
kama vijana wazalendo tunasonga mbele chini ya Dr.Samia Suluhu Hassa na hakuna mamaluki lofa wa kuzuia hilo hata awe na mihemko zaidi ya nyumbu
514414804_1294200358986519_5265000238995486377_n.jpg
 
Gentleman,
imani potofu na ramli useless kama hizo zibaki kwenu washirikina malofa na ushirikina wenu nonsense kwa maendeleo ya taifa :pedroP:

kama vijana wazalendo tunasonga mbele chini ya Dr.Samia Suluhu Hassa na hakuna mamaluki lofa wa kuzuia hilo hata awe na mihemko zaidi ya nyumbu:pedroP:
Kwani kuna mtu anasonga nyuma, kila mtu atacheka na kulia kwa wakati wake. Mbwa koko wa mama.
 
Back
Top Bottom