MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Rest In Peace Godson!
Sasa kijana mdogo kama yule anamiliki silaha.
Ama masharti ya kumiliki silaha siku hizi siyo ngumu!
Jamani kwani huwezijua kazi yake kwa undani wapendwa.
Rest In Peace Godson!
Sasa kijana mdogo kama yule anamiliki silaha.
Ama masharti ya kumiliki silaha siku hizi siyo ngumu!
aisee silaha hatari!!!!!!!!!!!!!!pole sana mkuu. R.I.P GM.Wana jamii tumeondokewa na mwanajamii mwenzetu jana kwa ajali mwanza. Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .anafanyanya kazi T.r.a musoma lakini ana makazi mwanza . Nyumbani hasa ni Arusha kwa ngulelo. Sijajua alikuwa anatumia username gani lakini ni mwanachama wa jamii forum. Jina lake ni Godson mollel . Ni binamu yangu . R.i.p bro.
Jamani kwani huwezijua kazi yake kwa undani wapendwa.
mtu kama wewe ndio hutakiwi hata kuchangia pumba kama hiiwewe acha kutuletea utoto hapa, yaani umjuwe member wa jf na ni ndugu yako halafu usijuwe username yake? So whats the meaning of this!
Non sense.
Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .
mtu kama wewe ndio hutakiwi hata kuchangia pumba kama hii
grow up
kwani sasa hata ukijua username itakusaidia nini na umeanza na kinyongo kimekujaa kama vile alikuwa adui au weye ndio unajua yoteeee duniani
eti unauliza swali, kwa kweli shame on you.