Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
R.I.P Bro,
Polen wafiwa,kazi ya mungu haina makosa.
Polen wafiwa,kazi ya mungu haina makosa.
mods cheki hilo jina ndo tutoe mi RIP kama kweli...
too sad,pole sana Mkuu!Wana jamii tumeondokewa na mwanajamii mwenzetu jana kwa ajali mwanza. Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .anafanyanya kazi T.r.a musoma lakini ana makazi mwanza . Nyumbani hasa ni Arusha kwa ngulelo. Sijajua alikuwa anatumia username gani lakini ni mwanachama wa jamii forum. Jina lake ni Godson mollel . Ni binamu yangu . R.i.p bro.
haya mambo ya silaha haya mmmhhh , yuko kibosile mmoja (anafahamika sana mjini name withheld) mambo haya haya yuko juu ya stage diamond jubilee alijitikisa sijui kivipi ikafyatuka kidogo immalize nyeti zake.Hizi silaha jamani sio mapambo wala kitu cha ubishoo ukinunua omba wataalam wakufundishe sio ku shoot lakini na utunzaji wake.vinginevyo achana na mambo ya kumiliki silaha,too riskyalisahau kulock ndo maana ikafetuka . Na alikuwa akiendesha gari kwa hyo ikapiga maeneo ya tumboni.
naomba jina lako halisi.........dah...
RIP broda......
itabidi mwaka huu niwapatie hata watu wawili ID yangu waijue......
Hali si hali
Marehemu atakuwa amekuelewa hatorudia tena.Hizi silaha jamani sio mapambo wala kitu cha ubishoo ukinunua omba wataalam wakufundishe sio ku shoot lakini na utunzaji wake.vinginevyo achana na mambo ya kumiliki silaha,too risky
Ndio unajinadi kwamba tujuwe umeolewa au!!?? sifa za kijinga.He watu mmetoka povu sijui kwanini mie mbona ID ya mume wangu siijui na anakuwa JF 24/7??
Mwacheni bana Pole Bucho ndo dunia ilivyo Alale salama Godson
dah...
RIP broda......
itabidi mwaka huu niwapatie hata watu wawili ID yangu waijue......
Hali si hali
Poleni sana, Shehena yenu ya JF t-shirts za kuvaa msibani mshaagiza?
Nikiwa kama Scotland Yard nina maswali 100 ya kumuhoji huyu mleta mada, ila swali 1 tu linamtosha kwa leo, hivi wewe mleta mada unafahamu bastola huwa inakaa wapi unapotoka nayo nyumbani? nitakuwa wa mwisho kuamini maelezo yako kwa sababu ya kwangu ninayo na najuwa kama ikitokea bahati mbaya nikasau kuweka usalama haiwezi kunipiga tumboni. Big NO.Wana jamii tumeondokewa na mwanajamii mwenzetu jana kwa ajali mwanza. Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .anafanyanya kazi T.r.a musoma lakini ana makazi mwanza . Nyumbani hasa ni Arusha kwa ngulelo. Sijajua alikuwa anatumia username gani lakini ni mwanachama wa jamii forum. Jina lake ni Godson mollel . Ni binamu yangu . R.i.p bro.