Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,465
- 92,854
Wewe acha kutuletea utoto hapa, yaani umjuwe member wa JF na ni ndugu yako halafu usijuwe username yake? so whats the meaning of this!Ni kijana mdogo sana ana miaka 32 tu . Mnaweza mkamcheki kwa facebook kupitia jina hilo hapo. Username yake hakutaka kuniambia ila ni mwanachama hai wa jf nina uhakika asilimia 100.
Non sense.