Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
Mie bado ngumu aseeee...
tujuane basi mimi na wewe.......only us....
Mie bado ngumu aseeee...
Si uniambie mimi jina lako halisi?
Ukiwapa watu wa mbali watakuhujumu!...huh!
Ngoja nijihakikishe kama ni yeye huyu Bwana nilishawahi kufanya naye kazi Barclays Bank kabla hajatoka na kwenda kufanya kazi TRA ngoja nipige simu kadhaa nitaujua ukweli.
Ngoja nijihakikishe kama ni yeye huyu Bwana nilishawahi kufanya naye kazi Barclays Bank kabla hajatoka na kwenda kufanya kazi TRA ngoja nipige simu kadhaa nitaujua ukweli.
naomba jina lako halisi.........
naomba jina lako halisi.........
Wana jamii tumeondokewa na mwanajamii mwenzetu jana kwa ajali mwanza. Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .anafanyanya kazi T.r.a musoma lakini ana makazi mwanza . Nyumbani hasa ni Arusha kwa ngulelo. Sijajua alikuwa anatumia username gani lakini ni mwanachama wa jamii forum. Jina lake ni Godson mollel . Ni binamu yangu . R.i.p bro.
mods cheki hilo jina ndo tutoe mi RIP kama kweli...