Tumeondokewa na mwana jf mwingine.

Tumeondokewa na mwana jf mwingine.

Nadhani hii Tanzia ilikuwa inahusika zaidi Facebook na sio hapa, siwezi kuhudhunika kwa lolote kwa mtu ambaye simjui wala siijui username yake ili nijue michango yake kwamba nitammis kwa lipi?
 
alisahau kulock ndo maana ikafetuka . Na alikuwa akiendesha gari kwa hyo ikapiga maeneo ya tumboni.

Duh! Bucho poleni sana, hizi self defence nazo kumbe wakati mwingine sio inshuu eeee?? Poleni sana Mkuu,
RIP G.
 
Hata kama sikujui Rest In Peace brother, japo hawatovaa magwanda kwenye mazishi yako lakini wana JF wanatanguliza sala zao kwa mwenyezi ili akuandalie makazi ya milele.
 
hii khabari ninaitilia shaka sana kwa sababu yaani binamu yako usijue hata jina lake ndani ya JF?

very fishy? Sasa tutajuaje wasema ukweli au umejitungia tu......

Kafute mchango wako huo wa mawazo mgando,
Nina ndugu zangu wengi ni wanachama wa JF lakini sijui wanatumia majina gani.
 
Haya Preta! PM email yako kwangu fasta na mimi nikutumie ya kwangu maana kujificha huku wkt mwingine sio dili.
 
Ngulelo maeneo gani na msiba utakuwa wapi? Kwa sisi tulio jirani na maeneo hayo,tunaomba utaratibu,plse!
R.I.P Mollel!
 
Tu mavumbi na mavumbini tutarudi!! Pumzika kwa amani mpendwa wetu Godson..... Mwenyezi Mungu akuangazie mwanga wa milele.... Amina!!
 
Nadhani hii Tanzia ilikuwa inahusika zaidi Facebook na sio hapa, siwezi kuhudhunika kwa lolote kwa mtu ambaye simjui wala siijui username yake ili nijue michango yake kwamba nitammis kwa lipi?
Matola acha ukorofi, kama hujaguswa wala huoni huruma acha walioguswa watoe pole zao.
 
Ngulelo maeneo gani na msiba utakuwa wapi? Kwa sisi tulio jirani na maeneo hayo,tunaomba utaratibu,plse!
R.I.P Mollel!

ukifika stand ya ngulelelo ni upande wa kulia kama unatokea mjini kuna njia inashuka kutokea barabarani ukifika maeneo hayo ulizia utaletwa maana anafahamika sana.
 
Kijana mdogo bastola ya nini? au ya kujilinda na hizo kodi zetu?? anyway R.I.P Mollel
 
Back
Top Bottom