Tulifunga Bar na ikawa Baaaaa

Tulifunga Bar na ikawa Baaaaa

Walichoniboa mavitambi yao yaani yanaoneka ni mavivu na mazembe.
 
Kama sio Wasukuma basi ni Wahaya,..na kidogo Wachagga wako na tabia za kishamba kama hizi,..ukibisha nenda pale Arusha-Matako bar utawakuta na hizo show-off zao.

makabila makubwa matatu yenye nguvu kuliko yote kipesa, keilimu, kiufahamu...nk.nk.nk..ungeongeza na Wanyakyusa...vipi nyie akina Matonya? of course huwezi kutandaza bia mezani kwa hela ya kuomba mtaani..pole sana ndugu
 
wahaya mkuu. Mtoto anaenda shule kaptula ina matobo nyuma wao wanateketeza makret ya bia.

you got your facts mixed pal...wahaya wenye pesa watoto wao wanapelekwa nje ya nchi...najaribu kujenga picha mtoto yupo Cleverland Junior High amevaa kaptula yenye matobo!!!!
 
Way back kama miaka mitatu nilikuwa mtaani nimekaa na jamaa kijiweni...kutokana na ratiba zangu ilibidi ninyanyuke wakati story zinaendelea, basi jamaa mmoja akaniuliza "Wapi tena Nemo?"

nikamjibu, "I say, kuna jamaa nategemea anitumie e-mail mida hii, sasa naenda kucheki kama imeingia" na nikasepa

basi huku nyuma iakwa story, baadhi ya jamaa wanacomplain.."huyu Nemo mshamba kweli, yaani anaona sifa eti kuwa home ana computer, computer yenyewe desktop...halafu siku hizi mambo ya e-mail sijui nini, sio ya kutishoa watu..ya kawaida sana"

"Ndo zao hawa jamaa, maringo na kujiona wajanja" wakadakia wengine baadhi

Basi mshikaji mmoja karecord maongezi yoote kaja kunisikilizishia home...mimi nilibaki na swali moja..Kati yangu na hao waliocomplain nani mshamba?

Likewise here:
Watu wamekaa mezani, wanatumia pesa yao, style wanayoamua kutumia ni kuweka bia zao zote mezani...nyie povu linawatoooka, complain kibaoooo...Wewe ukienda bar, agiza mojamoja...mwingine akienda bar muache aagize kwa mpigo..shida iko wapi?

Kati ya hao wanywaji na nyie mnaolalama nani mshamba....na nadhani wakati hao jamaa wamekaa hapo bar walikuwa na maongezi ya michongo ya ku-make money zaidi...hawakuwa wanajadili style za watu za kuishi na kutumia chao kama mnavyofanya hapa

Najua baadhi ya haters uwezo wa ku-afford haya matumizi nehi..the best you can do ni complain complain complain!!!!

si ajabu wangeagiza bia kila baada ya dakika tatu kuna watu wangelalama "hawa jamaa kila dakika waiter, waiter, waiter...wanataka kudraw attention za watu ili tuone walivyokuwa na speed ya ku-order" see?
 
Wajinga sana hawa watu...
Ukute majumbani kwao hawana hata vitanda au watoto wao wanasumbuka hawana vitabu vya shule...
Huu ulimbukeni si wa kuufungia macho...

Kwa makadirio kuna chupa kama 60 na zaidi. 2400*60=144,000 just one round! Zikiisha water analeta kama hizo.
 
Kama sio Wasukuma basi ni Wahaya,..na kidogo Wachagga wako na tabia za kishamba kama hizi,..ukibisha nenda pale Arusha-Matako bar utawakuta na hizo show-off zao.

karibuu arusha mkuu...
 
Nikikushika utaomba poo.......na naenda mwaga mboga.......utakula ugali mkavu nakwambia.......

Uuuuuwwwwiiii jaman mchungaj ILLOVO yuko wap njoo huku mtumishi kondoo wanapotea
 
makabila makubwa matatu yenye nguvu kuliko yote kipesa, keilimu, kiufahamu...nk.nk.nk..ungeongeza na Wanyakyusa...vipi nyie akina Matonya? of course huwezi kutandaza bia mezani kwa hela ya kuomba mtaani..pole sana ndugu

Ahahahaaaaaaaa-mimi ni mnyakyusa full,.....ila wanyaki hatuna ushamba kama huo,....get it folk..?
 
Way back kama miaka mitatu nilikuwa mtaani nimekaa na jamaa kijiweni...kutokana na ratiba zangu ilibidi ninyanyuke wakati story zinaendelea, basi jamaa mmoja akaniuliza "Wapi tena Nemo?"

nikamjibu, "I say, kuna jamaa nategemea anitumie e-mail mida hii, sasa naenda kucheki kama imeingia" na nikasepa

basi huku nyuma iakwa story, baadhi ya jamaa wanacomplain.."huyu Nemo mshamba kweli, yaani anaona sifa eti kuwa home ana computer, computer yenyewe desktop...halafu siku hizi mambo ya e-mail sijui nini, sio ya kutishoa watu..ya kawaida sana"

"Ndo zao hawa jamaa, maringo na kujiona wajanja" wakadakia wengine baadhi

Basi mshikaji mmoja karecord maongezi yoote kaja kunisikilizishia home...mimi nilibaki na swali moja..Kati yangu na hao waliocomplain nani mshamba?

Likewise here:
Watu wamekaa mezani, wanatumia pesa yao, style wanayoamua kutumia ni kuweka bia zao zote mezani...nyie povu linawatoooka, complain kibaoooo...Wewe ukienda bar, agiza mojamoja...mwingine akienda bar muache aagize kwa mpigo..shida iko wapi?

Kati ya hao wanywaji na nyie mnaolalama nani mshamba....na nadhani wakati hao jamaa wamekaa hapo bar walikuwa na maongezi ya michongo ya ku-make money zaidi...hawakuwa wanajadili style za watu za kuishi na kutumia chao kama mnavyofanya hapa

Najua baadhi ya haters uwezo wa ku-afford haya matumizi nehi..the best you can do ni complain complain complain!!!!

si ajabu wangeagiza bia kila baada ya dakika tatu kuna watu wangelalama "hawa jamaa kila dakika waiter, waiter, waiter...wanataka kudraw attention za watu ili tuone walivyokuwa na speed ya ku-order" see?

Hao waliokusema kuhusu mail ni jambo lingine,...ila kubali tu hao jamaa zako ni mafala na washamba,,.....hakuna mwenye chuki na mtu asiye mfahamu hapa-ila hiyo life style ya kujaza mibia mezani ni ya kikuda.,..hautaki unaacha...!
 
Mbona kuna watu wengine wana-order wanawake 4+ na kuwaweka "mezani" (kindoa) kwa wakati mmoja na wanaonekana wako sawa??? Kwa nini wasiagize mmoja mmoja kwa wakati???
 
Hao waliokusema kuhusu mail ni jambo lingine,...ila kubali tu hao jamaa zako ni mafala na washamba,,.....hakuna mwenye chuki na mtu asiye mfahamu hapa-ila hiyo life style ya kujaza mibia mezani ni ya kikuda.,..hautaki unaacha...!

kuna jamaa wana magari idadi kama ya bia hizo...kwa wakati mmoja
 
Hao waliokusema kuhusu mail ni jambo lingine,...ila kubali tu hao jamaa zako ni mafala na washamba,,.....hakuna mwenye chuki na mtu asiye mfahamu hapa-ila hiyo life style ya kujaza mibia mezani ni ya kikuda.,..hautaki unaacha...!

Binafsi bia yangu huwa naigida sebuleni kwangu..na novel mkononi, au movie kwa screen, au JF kwa computer...but I have nothing against mtu anayezitandaza mezani..live and let live mkuu
 
kuna jamaa wana magari idadi kama ya bia hizo...kwa wakati mmoja

Nao pia ni ulimbukeni,..kuwa na kitu(depreciable) cha thaman ambacho haikitumii ni uboya na udunya pia,...i.e wakati una ndugu hata ada hawana.
 
Back
Top Bottom