Tulifunga Bar na ikawa Baaaaa

Tulifunga Bar na ikawa Baaaaa

Mbona kuna watu wengine wana-order wanawake 4+ na kuwaweka "mezani" (kindoa) kwa wakati mmoja na wanaonekana wako sawa??? Kwa nini wasiagize mmoja mmoja kwa wakati???

Hapa umenichekesha-na inafikirisha pia mkuu
 
Wajinga sana hawa watu...
Ukute majumbani kwao hawana hata vitanda au watoto wao wanasumbuka hawana vitabu vya shule...
Huu ulimbukeni si wa kuufungia macho...

pesa yao kuwashwa uwashwe wewe, watanzania bana
 
alafu wana ubaguzi sijaona gender balance hapoo
 
Ahahahaaaaaaaa-mimi ni mnyakyusa full,.....ila wanyaki hatuna ushamba kama huo,....get it folk..?

wewe wasema, lakini kuna binadamu wengi sana Tanzania hii wanaamini wanyakyusa hususani wa Kyela wanaongoza kwa ushamba, maringo, majivuno na majigambo.. amini nakuambia.

Kama mimi mwenyewe ningekuwa na mentality ya Kugeneralize watu ningeamini kwa mifano michache ifuatayo:

1. Maeneo ya Mabibo Sahara kuna Mke wa mjumbe wa shina (Mzee Mwakajila) aitwaye Mama Chris, wote ni wanyaki...ambaye mwanae alichukua kijimkopo flani bank na kama kawaida yetu Wa-tz..yakaanza matanuzi na mbwembwe..basi yule mama alianza tabia ya kunawa bia mikononi!!! kisa eti imekaa muda mrefu kwenye glass..imeexpire!!!!!!!

akiagiza chips hataki kunawa maji yoyoyote zaidi ya mineral-water, tena Kilimanjaro...sio uhai wala rwenzori wala maji poa!!!!! tabia ilikoma pale huyo mwanae alipopata ajali na kufariki, bank wakaanza kutishia kuchukua nyumba iliyowekwa kama security.

2. Nyumba ya tatu kutoka kwa huyo mzee kuna kigorofa chekundu ambacho mmiliki wake amafariki muda sio mrefu alikuwa anaitwa Mbuya (eneo linajulikana kama Kighorofani kwa Mbuya) naye ni mtu wa Mbeya na maisha yake yalikuwa full kiburi, kutoshirikiana na watu na mixer majivuno

Uliwahi kutokea msiba jirani basi magari yakajaa mpaka uwanjani kwa huyo late Mbuya..sasa ule mtaa una njia moja inayoingia na kwenda kutokea barabara ya Ubungo Maziwa kwa upande mmoja na Darajani External kwa upande mwingine
....alichofanya Mbuya baada ya kukuta magari kwenye parking yake hakuongea na mtu..alimpigia simu jamaa yake akaja na gari jingine..lile la kwake akaziba upande mmoja wa mtaa na lile la rafiki yake likaziba upande mwingine,,then mbuya akapanda kighorofani kwake akalala kwenye balcony..kimbembe wakati watu wanataka kutoka na kupeleka maiti makaburini..jamaa alikataa katakata kata kutoa magari huku akitukana watu kuwa hawajasoma, ni masikini na misiba yao ya kijinga haiwezi kumkosesha yeye uhuru nyumbani kwake!!!!!

3. Upande wa pili wa kwa marehemu Mbuya kuna mzee mmoja anaitwa Mwaikambo, another Mbeya type...huyu formula yake ni kuwa haongei na mtu..ataongeaje na watu wa daraja la chini, ambao hawakusoma na ambao hawana hela? Ukitokea msiba yeye anakwenda pale, akiwa wima anasign daftari la mchango anadondosha kama kilo moja anasepa!!!!!

aliwahi kumtia kilema housegirl, kisa kanunua nyanya gengeni ..aliona anaweza kuwaletea magonjwa ya ajabu kutokana na nyanya za gengeni!!!!!

Nimekutajia majina ili ukiweza fanya uchunguzi au kama kuna mtu anayajua maeneo hayo ata-support haya maelezo

Hao ni wanyaki watatu ndani ya mtaa mmoja..is it right kusema wanyaki ndivyo mlivyo????????????????/
 
pesa yao kuwashwa uwashwe wewe, watanzania bana

wabongo wazoee, ndivyo walivyo..hakuna hata mmoja anayeweza kukupa mbinu ya kutafuta hela..ila kila mmoja ni mwalimu wa matumizi ya hela...

mimi ninadhani kutafula hela kunatangulia kabla ya kuitumia, so mtu akiitafuta muache aitumie anavyojua..cha msingi asimuumize mwenzake (sio maumivu haya wanayojilazimisha watu na comments zao)
 
Kujenga "heshima bar" na kuuza nyumba ili uhamie Guest House.
 
wabongo wazoee, ndivyo walivyo..hakuna hata mmoja anayeweza kukupa mbinu ya kutafuta hela..ila kila mmoja ni mwalimu wa matumizi ya hela...

mimi ninadhani kutafula hela kunatangulia kabla ya kuitumia, so mtu akiitafuta muache aitumie anavyojua..cha msingi asimuumize mwenzake (sio maumivu haya wanayojilazimisha watu na comments zao)
yani kweli kabisa utafute mweneyewe matumizi wakupangie
 
halafu utalalamika dola dola inapanda.. tunasafari ndefu sana

Ni ndefu km ile ya Mussa kutoka Misri kwenda nchi ya ahadi (Canaan)

Unajua km dollar haijapanda bali currency yetu ndio inashuka dhidi ya hela zote za dunia, mfano leo US$1=2290, GBP€1=3000, Ksh1=24, EURO£1=2500.....hapo utasema dollar inapanda au hela yako inashuka thamani???
 
Ni ndefu km ile ya Mussa kutoka Misri kwenda nchi ya ahadi (Canaan)

Unajua km dollar haijapanda bali currency yetu ndio inashuka dhidi ya hela zote za dunia, mfano leo US$1=2290, GBP€1=3000, Ksh1=24, EURO£1=2500.....hapo utasema dollar inapanda au hela yako inashuka thamani???
uwezi kuongelea kupanda bila kushuka.. moja ya sababu ni kutukuza vya nje kuliko vya ndani
 
uwezi kuongelea kupanda bila kushuka.. moja ya sababu ni kutukuza vya nje kuliko vya ndani

Lakini hatuna vya ndani miss chagga, hivyo ni lazima tuagize nje....huoni Rombo hata wanaume wanaagiza toka nje😉
 
Last edited by a moderator:
attachment.php


Who the cap fit let them wear it (c) Bob Robert Nesta Marley Berhane Sellasie = Who the Cap Fit alias Man To Man
 
uwezi kuongelea kupanda bila kushuka.. moja ya sababu ni kutukuza vya nje kuliko vya ndani

huwezi kumhukumu mtu kwa kupenda quality...sababu ni kukosa wazalishaji wa viwango nchini mwetu...mbona "Tanica" na "AFRICAFE" zinabamba katika matumizi ya kahawa na hazina mpinzani toka nje?
 
Acheni watu wanywe pombe..kuishi ni mara moja tu duniani.

hatuishi ili tule tu, hata na kunywa pia
 
Mbona kuna watu wengine wana-order wanawake 4+ na kuwaweka "mezani" (kindoa) kwa wakati mmoja na wanaonekana wako sawa??? Kwa nini wasiagize mmoja mmoja kwa wakati???

Mkuu nimezielewa sana hizo comment zako mbili, wengi wanao complain hawawezi ku afford that is a big problem.
 
Kila mtu.ana utaratibu wake wa kunywa,wengine wanakunywa moja moja mpaka wanAmaliza kreti hao hawana tofauti na hawa.Wacha watumie jasho lao,wametafuta kwa shida msiwapangie matumizi
 
Back
Top Bottom