Tulifunga Bar na ikawa Baaaaa

Tulifunga Bar na ikawa Baaaaa

Huyo aliyevaa shati jekundu ni ndugu yangu anaitwa Frank.
 
shida ni ipo,..nayo ni kuwa kila kitu na enzi zake-huu ushamba wa kujaza mibia kwenye meza ulishapitwa na wakati mkuu,...wananikera saaaaaana -wanatujazia mi-inzi tu bar hao.
ok
ila shida niionayo ni kwamba hata wakipata mwanamke
''uwezo huwa batili.''
 
na ilikuwa kipindi kile wakati bia zilikuwa adimu.
 
Kama sio Wasukuma basi ni Wahaya,..na kidogo Wachagga wako na tabia za kishamba kama hizi,..ukibisha nenda pale Arusha-Matako bar utawakuta na hizo show-off zao.

Nikikushika utaomba poo.......na naenda mwaga mboga.......utakula ugali mkavu nakwambia.......
 
hawa Jamaa wako ROMBO na wake zao walikuwepokwenye kulalamika hawakunwi. Bugieni tu ugimbi sie tunakata ticket za wikiendi ROMBOOOOOO!! tena tunaingilia toka Kenya halafu tunabadirisha na lugha, tukikutana na wake zao tuna command tu kuja hapa mama Moshiro umeshatekenywa wewe, utasikia aisee bado
 
Hii tabia upo sana Tarime kule mtu akikupa ofa ni beer kuanzia tano hadi kreti au utasikia panga kreti saize yake alafu leta bili kwangu
 
Acheni wanywe jamani, Mama Mkuya atapata wapi fedha za kumsafirisha Kikwete?

01_bajeti.jpg
 
Mi nilidhani wameyapanga makreti kumbe ni hivo vichupa 28 tu
 
Kama sio Wasukuma basi ni Wahaya,..na kidogo Wachagga wako na tabia za kishamba kama hizi,..ukibisha nenda pale Arusha-Matako bar utawakuta na hizo show-off zao.


Matako bar bado ipo katka ubora wake mkuu au ishachuja?
 
Ukute nyumbani hawajaacha hata menyu inayoeleweka.....mke anaambiwa fanya maarifa.....
 
Hapi wangepanga Heineken au windhoek ningewaelewa, hayo mabia ya TBL hata laki moja haifiki hapo!???
 
Haha hohehahe utawajua tu siku wakizipata. Yani hapo wamekunywa wee wakaomba chupa zisitolewe hata empty ili wapige nazo picha haha.
 
Back
Top Bottom