Sifa za kijinga, mibabab mizima,
huu upuzi nilikua nafanya na washkaji zangu tukiwa form 6 hadi chuo
Sifa za kijinga, mibabab mizima,
huu upuzi nilikua nafanya na washkaji zangu tukiwa form 6 hadi chuo
Usiwe na wasiwasi na IQ yangu, inshort ni ndogo sanaaaaaaaaaaaa na usiniquote mana sitakujibuNina wax wax na iq yako, maana huo toka niko mtoto nilikuwa najua kuwa huo ni upuuzi, sasa wewe mwenzangu ulifika hadi chuo lakini ukawa unafanya huo upuuzi!!!&
pesa yao kuwashwa uwashwe wewe, watanzania bana
Kwa makadirio kuna chupa kama 60 na zaidi. 2400*60=144,000 just one round! Zikiisha water analeta kama hizo.
Yeah-ndio zao hao,...na hasa wasukuma na wahaya,....sorry to say that,...,!
Kwahiyo unatetea huu ujinga?
Wajinga sana hawa watu...
Ukute majumbani kwao hawana hata vitanda au watoto wao wanasumbuka hawana vitabu vya shule...
Huu ulimbukeni si wa kuufungia macho...
tunajidharau sanaLakini hatuna vya ndani miss chagga, hivyo ni lazima tuagize nje....huoni Rombo hata wanaume wanaagiza toka nje😉
Usiwe na wasiwasi na IQ yangu, inshort ni ndogo sanaaaaaaaaaaaa na usiniquote mana sitakujibu
Asee, wachache saaana, chunguza walevi wa hii kitub(bia) wengi wanakuwa na maisha mazuri na watoto wao wanasoma vizuri tena shule nzuri na wanafanya kazi...chunguza kwanza mkuu kwa makiiiiini
Naona humu ndani watu wengi wamezoea maisha ya daily dukani kununua robo ya sukari, majani ya 50/=, maharage robo, nyama robo (na fridge lipo) kiberiti kimoja, nusu ya mchele, robo ya unga..mafuta kipimo kimoja nk..wakati pesa ipo ya kutosha na kesho watakula tena....hawa utadhani wanapenda watu wawaone daily wanafanya manunuzi
kama kitu sio perishable kwa nini usichukue stock ya kutosha ukaweka ndani??? kwanza hii ni nzuri kwa budget na inasave wakati wa miezi dume, if you know what I mean
Lakini kama nilivyotangulia kusema...haters huwa hawakosi lawama...kama hawa jamaa wangeagiza bia moja kila baada ya dakika mbili..kuna majirani zao hapo bar wangelalama jamaa wanajifanya wana speed kubwa ya ku-order kilaji!!!!!