Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Unaamini MAPOKEO zaidi kuliko BIBLIA TAKATIFU.
Umeona SIKUKUU ZA WATAKATIFU zimetajwa wapi katika BIBLIA TAKATIFU?
Wapi cheo cha PAPA kimetajwa kwenye BIBLIA TAKATIFU?
Aliyekwambia DHEHEBU lenyewe watu wengi duniani ni la KWELI ni nani?
Wingi wa DHEHEBU kuwa na WAFUASI WENGI si kigezo cha kuwa la KWELI, Wala si kigezo cha KUIONA MBINGU.
"Ingieni kwa kupitia mlango ulioMWEMBAMBA; maana MLANGO ni MPANA, na njia ni PANA iendayo upotevuni, nao ni WENGI WAINGIAO kwa MLANGO huo, na njia IMESONGA iendayo uzimani, nao WAIONAO ni WACHACHE". [Mathayo 7:13-14]
"Nanyi mtaifahamu hiyo KWELI; nayo KWELI itawaweka HURU" [YOHANA 8:32].
mgen
Umeona SIKUKUU ZA WATAKATIFU zimetajwa wapi katika BIBLIA TAKATIFU?
Wapi cheo cha PAPA kimetajwa kwenye BIBLIA TAKATIFU?
Aliyekwambia DHEHEBU lenyewe watu wengi duniani ni la KWELI ni nani?
Wingi wa DHEHEBU kuwa na WAFUASI WENGI si kigezo cha kuwa la KWELI, Wala si kigezo cha KUIONA MBINGU.
"Ingieni kwa kupitia mlango ulioMWEMBAMBA; maana MLANGO ni MPANA, na njia ni PANA iendayo upotevuni, nao ni WENGI WAINGIAO kwa MLANGO huo, na njia IMESONGA iendayo uzimani, nao WAIONAO ni WACHACHE". [Mathayo 7:13-14]
"Nanyi mtaifahamu hiyo KWELI; nayo KWELI itawaweka HURU" [YOHANA 8:32].
mgen