Pamoja na kashfa zote zinazoikumba Vatican? Acheni kuudhalilisha ukristo kwa kauli zenu Kama hizi..by the way njia pekee ya kukupeleka peponi ni kufanya yaliyo mema na kushika amri kuu za Mungu...Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.