AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,284
- 4,019
Tatizo Ya hili. "Kanisa la Roma" ni kwamba walichanganya Tamaduni/imani za kipa gani za Roma pale walichanganya na maandiko Matakatifu so mwishoni wakakuta mambo mengi ya kipagani yaliyoingia yanakinzana na Biblia Takatifu. So ikabidi watafute njia ya kuhalalisha hayo mambo. Ndio wakaja na kitu kinaitwa MAPOKEO aka MASIMULIZI sababu walijua hayo ni ngumu watu kubisha coz ni ngumu kuthibitisha pia. Ndo maana wamesimamia hapo....