Kiufupii tuu, huyo yesu,jesus, issa wa marium hawa wote ni imaginary characters made by roman Catholic for the aim of brainwashing and hiding the truth from ancients Africans...kwa kifupi tuu iko hivi kristo maana yake mkombozi, unapsema yesu christo maana yake yesu mkombozi, na unaposema jesus christ maana yake ni uyo uyo yesu mkomboz, lakn unalotumia neno Christ kiwakilish cha sifa unakuwa hujamtaja uyo yesu,,unachotakiwa kujua ni kwamba walikuwepo akina christ weeng sana kabla ya miaka 2000 ya jesus wa kizungu,, kuna krisshna uyu nae ni christ toka ktk nchi za india zenye kuabudu uhindu, uyu nae kulngana na mafundisho yao alizaliwa bila baba, alikuwa halm-man half god nae alikuwa mkombozi wa jamii hiyo, kumbuka apa ni miaka zaid ya 3000 kabla ya kuzaliwa uyo yesu, pia kuna zeus uyu nae ndio wale wale alizaliwa bioa baba nae alikuwa christ yaan mkombo, kuna weengi sana akina christ,pia Afrika japo hapa pachungu aliwahi kuwako Christo aliekuja kuikomboa afrika zidi ya udharimu wa shetan na ushetan wa mtu mweuoe kwa zaidi ya miaka6000 na huyu ndie alikuwa krist wakwanza kabla ya ao woote kuja,huyu alikuwa na wafuasi weengi san, alitenda meengi sana, huyu kwa utambulisho wake aliitwa(jokisabe ama kudumane mula), huyu alifanyiwa hujuma na kuuwawa na wazungu kwasabbu alikuwa akitoa mambo yaliyowauzi,.. na kipind cha new era ndipo akaja christo uyo wa kizungu mbaemuabudu wengine mnamuita issa, chakujiuliza kwann huyu christ wa miaka 2000 alikopi sifa za makristo wa miaka mingi kabla yake??,je uyo aliemtuma hakuwa na njia mbadara zaid ya kuwakopi krist waliopita??...na hao christ wote walikop sifa toka kwa christ uyo aliekuja Afrika,,,sasa bas baada ya ukristo kuanza awo waroma ndio waliunda bible, na ndio waliunda jina la christ feki ili kuarbu uhusika wa kristo wa kiafrika, kuanzia jina na mahala pake pa kuish ikiwepo na historia yake ilibadilishwa kwa kuchukua jina la pepo mmoja alieanguka na shetan ndipo akapewa uo uhusika,,ivyo bas jesus chris,yesu christo ni kopi ya christo kudumane ambye nae ni half man son of Superior power,,huyo christ jesus nae ni mwana wa lusifa, ni pepo lenye nguvu ambalo linacheo kikubwa, ndilo hucontrol dini zote, aina zote za mafundisho ya kidini,, yaan limepewa mamlaka na. Babayake shetan kufanya mambo na kukopi Uungu wa Mungu wa kwel kwa kufanya miujiza,kuponya,kutoa pepo,kubariki,kuponya magonjwa na hata kuwa hadaa watu ndoton kwa kuwapeleka mbingu feki,na yotehaya ufanyika ili kuwahadaa watu na kuwadanganya wasijue nn kipo nyumba ya pazia,,jua kuwa the name of jesus have the power to cure all spiritual problems through the superstition from Satan, jesus is the son of lusifa, jesus is a demon, the blood of jesus is the satanic sacrifice using to lies the world......SHETAN ALIPOSEMA ATAPANDA ZAID YA NYOTA ZA MBINGU NA KUJIFANANISHA NA MUNGU mulizan atapandeje?? Huu ni wakat mbaya na mbovu kulko nyakat zoote zilizowahi kuwako,maana watu wanaabudu wasichokijua bila kujua kuwa hawajui,,chaajabu zaid hata wachungaj hawahoji maana wanajua nn kipo nyuma yake, yeyote anaethubutu kuhoji hupuuzwa ama kufunguliwa mashitaka na kanisa kuwa anasambaza uongo,,shetan ana nguvu kubwa asikudanganye mtu na mafundisho uchwara....christo anaeabudiwa nyakat hizi ni feki, iw uyo issa bin marium ama uyo uyo yesu, hawa wotee ni mapepo tuu......Ukwel mchungu sana maana unaumaa....facts zipo nying sana