Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Zurri

mkamuita Issa ibn Mariam badala ya Issa Ibn Yusuf ambaye angalau ni baba mzazi.
Kitendo cha kumuita Bin Mariam hamuoni mnakubaliana na Yesu kuwa Yeye sio wa dunia hii wala chanzo chake sio mariam mariam ilikuwa kamamdaraja la kuwafikia wanadamu

Huoni hapo kuna jambo mnalificha nmalijua. Kuwa Yule hakuwa binadamu wa kawaida hivyo ni makosa kunmasibisha na Baba yake wa kuf
Mitale na Midimu kitu ambacho waislamu wengi wanakuficheni ni hizi aya sura Maidah 116-118:-
Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.

Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.

Ukiwaadhibu basi hao ni waja wako. Na ukiwasamehe basi Wewe ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
 
Mjumbe wa Allah alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao ,na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye
MPAKA inasikitisha dogo alikuwa anacheza kwenye bembea na watoto wenzake , midoli na wanasesere, mudi akakatisha ndoto ya mtoto mdogo ya kukua na kucheza na wenzie
Sasa hapo wapi imesema kuwa Mtume amemnajisi? Na lete maana ya kunajisi basi...

Vile vile kuna masuali nilikuuliza kwenye quote yangu, ningeomba unijibu.
 
Sasa hapo wapi imesema kuwa Mtume amemnajisi? Na lete maana ya kunajisi basi...

Vile vile kuna masuali nilikuuliza kwenye quote yangu, ningeomba unijibu.
Ukimuingilia mtoto mdogo ndio kunajisi
 
Ukimuingilia mtoto mdogo ndio kunajisi
Ikiwa ndiyo hivyo huyo mama wa huyo uliyemfanya mungu unafikiri alipata mimba akiwa na umri gani. Huyo aliyempa mimba atakuwa alimfanya nini ?? Nakuwachia hapo usijevunja kioo cha simu au computer kwa hasira
 
Ikiwa ndiyo hivyo huyo mama wa huyo uliyemfanya mungu unafikiri alipata mimba akiwa na umri gani. Huyo aliyempa mimba atakuwa alimfanya nini ?? Nakuwachia hapo usijevunja kioo cha simu au computer kwa hasira
Biblia hajasema umri wake ,, kwa mkristo hatuna hadith reference ni Bible only
 
Nani alikuambia wakristo hawana maandiko mengine??
Cha msingi yaweke APA , maana mm nimekuwekea ukaona mwenyewe ufirauni wa mudi , kuingilia mtoto ambae. Anacheza na midoli , TENA Watoto wenzake walikuwa wanaenda kumuita wacheze mudi anambania
 
Ukimuingilia mtoto mdogo ndio kunajisi
Okay kama hivo ndio tafsiri yako, sasa kama ni hivo, kuna yeyote wakati huo ambae alipinga ama aliona kuwa kitendo hicho ni kumnajis? By the way, hujaonesha mahala ambapo palisema kuwa alimuingilia.

Bado hujajibu masuali yangu, labda niyalete tena huenda hukuyaona maana posts ni nyingi;

Yussuf alikuwa na umri gani na Maria alikuwa na Umri gani wakati wakiwa pamoja?

Mungu wako alikuwa na umri gani na maria alikua na umri gani, wakati maria anamzaa Mungu wako?
 
Okay kama hivo ndio tafsiri yako, sasa kama ni hivo, kuna yeyote wakati huo ambae alipinga ama aliona kuwa kitendo hicho ni kumnajis? By the way, hujaonesha mahala ambapo palisema kuwa alimuingilia.

Bado hujajibu masuali yangu, labda niyalete tena huenda hukuyaona maana posts ni nyingi;

Yussuf alikuwa na umri gani na Maria alikuwa na Umri gani wakati wakiwa pamoja?

Mungu wako alikuwa na umri gani na maria alikua na umri gani, wakati maria anamzaa Mungu wako?
b. "(4913) 'A'ishah said : I used to play with dolls. Sometimes the Apostle of Allah (may peace be upon him) entered upon me when the girls were with me

Ila mudi ilitakiwa afungwe , yani alikuwa anakula dogo mpaka mbele ya Watoto wenzake ,
 
Mjumbe wa Allah alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao ,na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye
MPAKA inasikitisha dogo alikuwa anacheza kwenye bembea na watoto wenzake , midoli na wanasesere, mudi akakatisha ndoto ya mtoto mdogo ya kukua na kucheza na wenzie
b. "(4913) 'A'ishah said : I used to play with dolls. Sometimes the Apostle of Allah (may peace be upon him) entered upon me when the girls were with me

Ila mudi ilitakiwa afungwe , yani alikuwa anakula dogo mpaka mbele ya Watoto wenzake ,
Ipi kati ya hizo ni tafsiri sahih sasa? Wazee wa kubadilisha badilisha. Mwenzako alionesha mabadiliko ya dunia, aya inasema duara kwenye bibilia ya kihebrew ila tafsiri yake alopewa na wasabato ama wakatoliki kaambiwa pembe nne, sasa na wewe naona unataka kugeuza maana hapa. Hadithi zetu sio na bibilia yenu basi heri hadithi zetu unaweza kujua chain of narration.

MASWALI YANGU UTAYAJIBU AU YAMEKUSHINDA? 😀 Mazito!
 
b. "(4913) 'A'ishah said : I used to play with dolls. Sometimes the Apostle of Allah (may peace be upon him) entered upon me when the girls were with me

Ila mudi ilitakiwa afungwe , yani alikuwa anakula dogo mpaka mbele ya Watoto wenzake ,

Wa kufungwa ni huyu alompa mimba huyo mama wa mungu wako tena bila kumuowa. Au wewe ulikuwa best man wake?


Regarding the Marriage of Mary to Joseph, Catholic Encyclopaedia ( http://www.newadvent.org/cathen/08504a.htm), says:

"When forty years of age, Joseph married a woman called Melcha or Escha by some, Salome by others; they lived forty-nine years together and had six children, two daughters and four sons, the youngest of whom was James (the Less, "the Lord's brother"). A year after his wife's death, as the priests announced through Judea that they wished to find in the tribe of Juda a respectable man to espouse Mary, then twelve to fourteen years of age, Joseph, who was at the time ninety years old,went up to Jerusalem among the candidates; a miracle manifested the choice God had made of Joseph, and two years later the Annunciation took place."

Note: That article on Catholic Encyclopaedia obtains its information from early
Christian writing including apocryphal writings.

The Catholic Encyclopaedia goes on to conclude "...retained the belief that St. Joseph was an old man at the time of marriage with the Mother of God." If Christians do not find any difficulty in accepting "Mother of God" (according to Catholic Encyclopaedia), who was 12-14,
 
ilo la yesu mmemwita ninyi waswahili....kila nchi imempa jina lake sasa je walijua jina alilopewa na mama yake....uyo yusuph sio baba yake na wala hana baba sababu ametokana na kauli ya mungu ya kuwa nae akawa.....hivyo aliitwa
issa kama jina la kuzaliwa wala sio emanuel (hakuna jina la emanuel bara la asia/arab).....wala hakuna jesus kama wamuitavyo wazungu....jina lake halisi ni issa bin maryam (isa mwana wa mariamu).

LanguageName/variant
AfrikaansJesus
AlbanianJezusi
Arabic`Isà عيسى‎ (Islamic or classical arabic) / Yasū` يسوع‎ (Christian or latter Arabic)
Amharicኢየሱስ
AragoneseChesús
Aramaic/Syriacܝܫܘܥ (Isho)
ArbereshIsuthi
ArmenianՀիսուս (Eastern Armenian) Յիսուս (Western Armenian) (Hisus)
Azerbaijaniİsa
BelarusianІсус (Isus) (Orthodox) / Езус (Yezus) (Catholic)
Bengaliযীশু (Jeeshu/Zeeshu) (Christian) 'ঈসা ('Eesa) (General)
BretonJezuz
BulgarianИсус (Isus)
CatalanJesús
Chinesesimplified Chinese: 耶稣; traditional Chinese: 耶穌; pinyin: Yēsū
CopticⲒⲏⲥⲟⲩⲥ
CornishYesu
CroatianIsus
CzechJežíš
DutchJezus
EstonianJeesus
FilipinoJesús (Christian and secular) / Hesús or Hesukristo (religious)
FijianJisu
FinnishJeesus
FrenchJésus
GalicianXesús
GaroJisu
Georgianიესო (Ieso)
GhanaianYesu
GreekΙησούς (Iisús modern Greek pronunciation)
Haitian CreoleJezi
HausaYesu
HawaiianJesu
HebrewYeshua יֵשׁוּעַ‎
Hindustaniईसा / عيسى (īsā)
Hmong DawYexus
HungarianJézus
IcelandicJesús
IgboJisos
IndonesiaYesus (Christian) / Isa (Islamic)
IrishÍosa
ItalianGesù
Japaneseイエス (Iesu)/イエズス (Iezusu)(Catholic)/ゼス(zesu) ゼズス(zezusu)(Kirishitan)イイスス(Iisusu)(Eastern Orthodox)
JinghpawYesu
KazakhИса (Isa)
Khmerយេស៑ូវ (Yesu)
KisiiYeso
Korean예수 (Yesu)
KurdishÎsa
LatvianJēzus
LigurianGesû
LimburgishZjezus
LithuanianJėzus
LombardGesü
LugandaYesu
मराठी-Marathiयेशू - Yeshu
MalagasyJeso, Jesoa, Jesosy
Malayalamഈശോ (Isho), യേശു (Yeshu)
MirandeseJasus
MalteseĠesù
MongolianЕсүс
NeapolitanGiesù
NormanJésus
OccitanJèsus
PiedmonteseGesù
PolishJezus
PortugueseJesus
RomanianIsus (almost all) / Iisus (Eastern Orthodox)
RussianИисус (Iisus)
SardinianGesùs
SerbianIsus / Исус
SicilianGesù
Sinhalaජේසුස් වහන්සේ - Jesus Wahanse
Scottish GaelicÌosa
SlovakJežiš
SlovenianJezus
SpanishJesús
SwahiliYesu
Sylhetiযীশু (Zishu) (Christian) 'ঈছা ('Eesa) (General)
TajikИсо (Iso)
Tamilஇயேசு - Yesu
TeluguYesu
Thaiเยซู - "Yesu"
Turkishİsa
TurkmenIsa
UkrainianІсус (Isus)
Urduعیسیٰ
UzbekIso
VenetianJesu
VietnameseGiêsu, Dêsu
WelshIesu
YorubaJesu
ZuluuJesu

yote hapo juu ni majina ya kupewa isipokuwa analolitambua mungu kuwa aliitwa issa na hayo mengine yatbaki kuwa ni aka........sifa kuu ya jina ni kutokubadilika ya kama naitwa salania basi nitaitwa ivyo popote kwa lugha zote.
 
ilo la yesu mmemwita ninyi waswahili....kila nchi imempa jina lake sasa je walijua jina alilopewa na mama yake....uyo yusuph sio baba yake na wala hana baba sababu ametokana na kauli ya mungu ya kuwa nae akawa.....hivyo aliitwa
issa kama jina la kuzaliwa wala sio emanuel (hakuna jina la emanuel bara la asia/arab).....wala hakuna jesus kama wamuitavyo wazungu....jina lake halisi ni issa bin maryam (isa mwana wa mariamu).

LanguageName/variant
AfrikaansJesus
AlbanianJezusi
Arabic`Isà عيسى‎ (Islamic or classical arabic) / Yasū` يسوع‎ (Christian or latter Arabic)
Amharicኢየሱስ
AragoneseChesús
Aramaic/Syriacܝܫܘܥ (Isho)
ArbereshIsuthi
ArmenianՀիսուս (Eastern Armenian) Յիսուս (Western Armenian) (Hisus)
Azerbaijaniİsa
BelarusianІсус (Isus) (Orthodox) / Езус (Yezus) (Catholic)
Bengaliযীশু (Jeeshu/Zeeshu) (Christian) 'ঈসা ('Eesa) (General)
BretonJezuz
BulgarianИсус (Isus)
CatalanJesús
Chinesesimplified Chinese: 耶稣; traditional Chinese: 耶穌; pinyin: Yēsū
CopticⲒⲏⲥⲟⲩⲥ
CornishYesu
CroatianIsus
CzechJežíš
DutchJezus
EstonianJeesus
FilipinoJesús (Christian and secular) / Hesús or Hesukristo (religious)
FijianJisu
FinnishJeesus
FrenchJésus
GalicianXesús
GaroJisu
Georgianიესო (Ieso)
GhanaianYesu
GreekΙησούς (Iisús modern Greek pronunciation)
Haitian CreoleJezi
HausaYesu
HawaiianJesu
HebrewYeshua יֵשׁוּעַ‎
Hindustaniईसा / عيسى (īsā)
Hmong DawYexus
HungarianJézus
IcelandicJesús
IgboJisos
IndonesiaYesus (Christian) / Isa (Islamic)
IrishÍosa
ItalianGesù
Japaneseイエス (Iesu)/イエズス (Iezusu)(Catholic)/ゼス(zesu) ゼズス(zezusu)(Kirishitan)イイスス(Iisusu)(Eastern Orthodox)
JinghpawYesu
KazakhИса (Isa)
Khmerយេស៑ូវ (Yesu)
KisiiYeso
Korean예수 (Yesu)
KurdishÎsa
LatvianJēzus
LigurianGesû
LimburgishZjezus
LithuanianJėzus
LombardGesü
LugandaYesu
मराठी-Marathiयेशू - Yeshu
MalagasyJeso, Jesoa, Jesosy
Malayalamഈശോ (Isho), യേശു (Yeshu)
MirandeseJasus
MalteseĠesù
MongolianЕсүс
NeapolitanGiesù
NormanJésus
OccitanJèsus
PiedmonteseGesù
PolishJezus
PortugueseJesus
RomanianIsus (almost all) / Iisus (Eastern Orthodox)
RussianИисус (Iisus)
SardinianGesùs
SerbianIsus / Исус
SicilianGesù
Sinhalaජේසුස් වහන්සේ - Jesus Wahanse
Scottish GaelicÌosa
SlovakJežiš
SlovenianJezus
SpanishJesús
SwahiliYesu
Sylhetiযীশু (Zishu) (Christian) 'ঈছা ('Eesa) (General)
TajikИсо (Iso)
Tamilஇயேசு - Yesu
TeluguYesu
Thaiเยซู - "Yesu"
Turkishİsa
TurkmenIsa
UkrainianІсус (Isus)
Urduعیسیٰ
UzbekIso
VenetianJesu
VietnameseGiêsu, Dêsu
WelshIesu
YorubaJesu
ZuluuJesu

yote hapo juu ni majina ya kupewa isipokuwa analolitambua mungu kuwa aliitwa issa na hayo mengine yatbaki kuwa ni aka........sifa kuu ya jina ni kutokubadilika ya kama naitwa salania basi nitaitwa ivyo popote kwa lugha zote.

Ila issa na Yesu ni majina mawili tofauti na hayashabihiani. Unajaribu kuweka katika lugha nyinginyingi ila kunatofauti wa issa wa kuruan na Yesu wa biblia. Issa wa quruani hatumjui sisi tunamjua Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye Hai.
 
Ila issa na Yesu ni majina mawili tofauti na hayashabihiani. Unajaribu kuweka katika lugha nyinginyingi ila kunatofauti wa issa wa kuruan na Yesu wa biblia. Issa wa quruani hatumjui sisi tunamjua Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye Hai.
yesu wa biblia nani kakuambia mwana wa mariam anaitwa yesu.....swali ni ili.....mariam alimuita jina gani mwanae namaanisha birth name sio mlilomuita waswahili
 
Wa kufungwa ni huyu alompa mimba huyo mama wa mungu wako tena bila kumuowa. Au wewe ulikuwa best man wake?


Regarding the Marriage of Mary to Joseph, Catholic Encyclopaedia ( http://www.newadvent.org/cathen/08504a.htm), says:

"When forty years of age, Joseph married a woman called Melcha or Escha by some, Salome by others; they lived forty-nine years together and had six children, two daughters and four sons, the youngest of whom was James (the Less, "the Lord's brother"). A year after his wife's death, as the priests announced through Judea that they wished to find in the tribe of Juda a respectable man to espouse Mary, then twelve to fourteen years of age, Joseph, who was at the time ninety years old,went up to Jerusalem among the candidates; a miracle manifested the choice God had made of Joseph, and two years later the Annunciation took place."

Note: That article on Catholic Encyclopaedia obtains its information from early
Christian writing including apocryphal writings.

The Catholic Encyclopaedia goes on to conclude "...retained the belief that St. Joseph was an old man at the time of marriage with the Mother of God." If Christians do not find any difficulty in accepting "Mother of God" (according to Catholic Encyclopaedia), who was 12-14,

Leta quote ya bible
 
Kwanza afadhali kuwa umekubali kuwa wanafunzi wa Yesu ndio walioandika Injili na sio kwamba Injili hio ilitoka kwa Mungu kwa sababu Luke anasema kuwa kama vile walivoandika wengine basi na yeye kaamua kuandika injil.

Narudia tena, nioneshe mahala niliposema kuwa Yesu kaandika Injili, naona huleti hio sehemu 😀 Kwisha habari yenu
mkuu nimeaga lakn naona kama unaforce kunirudisha.
Nimeeleza hadi vidole vinauma.
Waislam ndio wanasema Yesu kaandika Injili, sio wakristo wala Yesu hakuwahi kuandika injili.
Pia nimetoa mstari kuwa Walioandika waliandika kwa Kuongozwa na roho.
Nikakupa mfano hata Maneno ya Torati ni Ya Mungu aliyompa Musa akayaandika.
Yeremia maneno ya Mungu aliyompa Yeremia ila Muandishi ni Barak.
Injili Kaileta Yesu, Ikaandikwa na wanafunzi wake. Na kukusaidia zaidi sio injili tu kila maandishi ya Bibilia Yanaelezea Yesu na Injili Kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo. Haya alisema Yesu mwenyewe.


Mkuu yaani labda nikuoe mifano kama Yesu.
Nisawa uniambie Gazeti la Tanzania Daima linaandikwa na shigongo. Mimi nikuambie hapana shigongo anaandika kiu.
Wewe unibane swali, kwa sababu unabisha naomba unithibitishie Shigongo kaandika Tanzania daima.

😀😀😀😀😀😀😀😛
ukielewa nunua juice ya muwa kunywa. unanifurahisha sana mkuu wangu. hahahaha
 
Back
Top Bottom