Mitale na Midimu kitu ambacho waislamu wengi wanakuficheni ni hizi aya sura Maidah 116-118:-Zurri
mkamuita Issa ibn Mariam badala ya Issa Ibn Yusuf ambaye angalau ni baba mzazi.
Kitendo cha kumuita Bin Mariam hamuoni mnakubaliana na Yesu kuwa Yeye sio wa dunia hii wala chanzo chake sio mariam mariam ilikuwa kamamdaraja la kuwafikia wanadamu
Huoni hapo kuna jambo mnalificha nmalijua. Kuwa Yule hakuwa binadamu wa kawaida hivyo ni makosa kunmasibisha na Baba yake wa kuf
Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.
Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.
Ukiwaadhibu basi hao ni waja wako. Na ukiwasamehe basi Wewe ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.