Mmepindisha Jina na Sifa za Yesu Makusudi wakati ukweli mnaujua fika kwa lengo maalum.
Historia ipo Israeli ya kuishi, kusurubiwa, kufa na kufufuka kwa ndugu yao Yesu Kristo.
Anakuja Mtume wa Kiarabu kukanusha historia halisi ya Yesu na kumpa sifa zingine?
Huyu Yesu ambaye hakufa, hakusurubiwa na hakufufuka mbona hajawahi tokea huko kwao Israeli ?
Mmefanya hivyo ili kumridhisha nani?
Huyo aliye ficha historia halisi ya Yesu alitaka kumpotosha nani na ni kwanini ?
Mtume ni Mpinga Kristo namba moja.