Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Waislamu wanadanganya watu, eti Yesu ndio lssa bin Mariam, lakini hawa ni watu wawili tofauti kabisa.

Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe na lssa bin Mariam yeye alizaliwa chini ya mtende.

Watu hawa wana tofauti nyingi sana, nawaomba ndugu waislam waache kumlinganisha Yesu na lssa.
Halafu kwa nini wasibakie na Nabii Issa wao? Kwanini walazimishe kumfananisha na Yesu?

Mbona sisi tuna sema Yesu ni mwana wa Mungu, aliyezaliwa na Bikira Maria kwa nguvu ya Roho Mtakatifu. Eti kitabu kilichoandikwa miaka 600 mbele kinajaribu kudadisi Biblia??
 
Aisee kuvurugwa kubaya ukikuta kwenye Qurani Yesu kaitwa hata mwana wa Mungu kuwa ni sahihi nakuwa mkristo achana na kutajwa kuwa Mungu, niko pale pale mpaka sasa hauna andiko lolote unaloweza kusema mashahidi wa Yehova sio wakristo kisa hawajamkiri kuwa Yesu ni Mungu? unacho fanya ni imani za mitaani kusema zipo kwenye biblia
Mjibu Allah kwanza

Allah mwenyewe anatamka kwa kinywa chake akimsema Yesu ni nani

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
 
Hivi wewe una akili timamu kweli.? Quran iko wazi binadamu anae kula na kwenda chooni hawezi kuwa Mungu, kwanini mnapata tabu hivi wakati hata Yesu mwenyewe hajawai kusema usipo mkiri yeye kuwa Mungu wewe sio mkristo, acha kuhusisha Quran na vitu vya ajabu
Maandiko yapo wazi Allah anakiri Yesu ni nani

Pambana na Allah

Allah mwenyewe anatamka kwa kinywa chake akimsema Yesu ni nani

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
 
Hivi unajifanya huelewi au unajizima data!!! SWALI ni kweli unakubali kuwa Mungu anaweza kutuma watu wake waende wakawaue watu wengine kikatili na kuchukua mateka wanawake? acha kujizima data jibu swali uliza swali
Kwani Mungu wako hawezi kufanya hivyo.
Naomba jibu ndio au hapana.

Mi Mungu wangu anaweza chochote akiamua.
Mfano.
Moto wa kuwaangamiza watu wa Gomola na Sodoma Mungu wangu aliwatuma Malaika kuichoma hiyo miji na kutetekeza watu wote isipo kuwa Lutu na Binti zake wawili.

Sasa unijibu.
Nani alimtuma Muhammadi kuua na kubaka watu ?
 
Hapo Musa anaripoti alivyo ongea na Mungu wake na anamnukuu.
Kwakuwa aliambiwa hivyo na huyo Mungu wake.

Kutoka 17:14 Bwana akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena chini ya mbingu.

Kutoka 24:4 Basi Musa akayaandika maneno yote ya Bwana, akaondoka asubuhi na mapema, akajenga madhabahu chini ya mlima, na nguzo kumi na mbili, kwa hesabu ya kabila kumi na mbili za Israeli,

Sasa wewe niambia hayo maneno ya Aya nilizoweka hapo juu yaani.
2:255 na 9:30 anaongèa nani.?

Tumia maandiko sio kilomolomo tu.

Musa anaripoti kwako???😛


Ndivyo watu wanaripoti namna hivyo ??
 
Kwani Mungu wako hawezi kufanya hivyo.
Naomba jibu ndio au hapana.

Mi Mungu wangu anaweza chochote akiamua.
Mfano.
Moto wa kuwaangamiza watu wa Gomola na Sodoma Mungu wangu aliwatuma Malaika kuichoma hiyo miji na kutetekeza watu wote isipo kuwa Lutu na Binti zake wawili.

Sasa unijibu.
Nani alimtuma Muhammadi kuua na kubaka watu ?

Ndiyo umeleta ushahidi wa aya ya Biblia kuonyesha Yesu ni mungu?
 
Kwani Mungu wako hawezi kufanya hivyo.
Naomba jibu ndio au hapana.

Mi Mungu wangu anaweza chochote akiamua.
Mfano.
Moto wa kuwaangamiza watu wa Gomola na Sodoma Mungu wangu aliwatuma Malaika kuichoma hiyo miji na kutetekeza watu wote isipo kuwa Lutu na Binti zake wawili.

Sasa unijibu.
Nani alimtuma Muhammadi kuua na kubaka watu ?
Sijakuambia maswala ya yeye binafsi Mungu kama gharika, wewe na wenzako mlikuwa kila siku mnatoa AYA kuwa Quran imefundisha kuua watu wasio waislamu, baada ya kukupa maandiko akili imekaa sawa , SWALI langu jepesi umekubali kuwa Mungu wa biblia ameshatoa maelekezo kwa watu wanao muamini KUUA kikatili wale ambao sio waumini, vile vile na kuteka wanawake mateka ? jibu swali usilete habari ya yeye Mungu kufanya direct jibu swali uliza swali
 
Maandiko yapo wazi Allah anakiri Yesu ni nani

Pambana na Allah

Allah mwenyewe anatamka kwa kinywa chake akimsema Yesu ni nani

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Wapi Allah kasema Yesu ni Mungu? mbona unataka kuchekesha watu , umekosa andiko kwenye biblia toka asubuhi kuwa asie mkiri Yesu sio mkristo uje kukuta kwenye Quran , lete andiko hapa acha kuruka ruka
 
Mjibu Allah kwanza

Allah mwenyewe anatamka kwa kinywa chake akimsema Yesu ni nani

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Wapi Allah kamtaja Yesu? wewe jamaa umechanganyikiwa!!! niko na wewe mpaka utoe andiko asiye mkiri Yesu sio mkristo? allah ameshamaliza mnya mavi hawezi kuwa Mungu
 
Wapi Allah kasema Yesu ni Mungu? mbona unataka kuchekesha watu , umekosa andiko kwenye biblia toka asubuhi kuwa asie mkiri Yesu sio mkristo uje kukuta kwenye Quran , lete andiko hapa acha kuruka ruka
Allah mwenyewe anatamka kwa kinywa chake akimsema Yesu ni nani

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
 
Allah mwenyewe anatamka kwa kinywa chake akimsema Yesu ni nani

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Nimekuuliza swali wapi Allah kasema Yesu ni Mungu? endelea kuruka ruka mpaka sasa giza limezama hauna AYA yeyote kutoka kwa Yesu inayo thibitisha usipokiri uungu wa Yesu unavua ukristo bado unaendelea kuteseka kutafuta hiyo AYA, mpaka Mashahidi wa Yehova ni wakristo saaafi kabisa japo hawatambui uungu wa Yesu
 
Halafu kwa nini wasibakie na Nabii Issa wao? Kwanini walazimishe kumfananisha na Yesu?

Mbona sisi tuna sema Yesu ni mwana wa Mungu, aliyezaliwa na Bikira Maria kwa nguvu ya Roho Mtakatifu. Eti kitabu kilichoandikwa miaka 600 mbele kinajaribu kudadisi Biblia??
Haha hahah copy inajifananisha na original siku zote
 
Mafundisho haya ya Yesu Yameimarisha Imani yangu Kwa YESU!
Unabii Huu Umetimia na kuushuhudia Kwa Macho yangu!

Matthew 7:13-16
[13]Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.

[14]Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

[15] Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

[16] Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?

HALLELUJAH!
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Kwamba binadamu alikuwa tofauti na umri haukuanzia sifuri? Miaka 6 haijawahi badilika
Ndio maana nikakwambia kama unaweza kuthibitisha kwamba huo mtazamo umekuwa hivyo katika vipindi vyote vya maisha ya binaadamu basi thibitisha.

Umri wa kutambulika utu uzima na kuruhusiwa kuoa/kuolewa haujawahi kuwa mmoja kila sehemu na umekuwa ukibadilika.
 
Ni kweli alioa mtoto wa miaka 6, na alimuingilia baada ya kutimiza miaka 9 alipo balehe, kama ange muingilia kabla ya balehe hapo ndio ingekuwa tatizo , hata mama wa Yesu aliolewa lakini hakuingiliwa na mumewe mpaka anapata mimba na kumzaa Yesu kwahiyo sijaona tatizo hapo
Hujaona tatizo Yani miaka 9 kamuingilia na hujaona tatizo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huo mtazamo wa miaka 18-20 kuwa ndio kigezo cha kufikia utu uzima na binti kufaa kuolewa unaweza kuthibitisha kuwa mtazamo huo umekuwepo toka enzi hizo?
Kaka mke uliyenaye UMEMUOA akiwa na miaka MINGAPI?
 
Back
Top Bottom