usijali Kaunga tuko pamojaJamani Boflo is there anything inaweza kufanyika ili mambo yarudi vizuri? Lets go PM for this.
BTW hongera on your BD, wakati unasherekea jana, nami nimepata mjukuu wa kiume from my niece ndio maana sikuweza kuingia jamvini na kukupa hongera zako.
google friday 13 th kisha nipe feedback
hahahaha, ngoja nakutumia details via PM, usijali. the times of anonymity are over, I want to merge my accounts and post my facebook/twitter na mengine on my home page. 🙂 #ProudToBeMeThanx Mwali....nataka kukuadd whatsapp, viber au tango utanikubalia?? Usikatae kama
Ulivoninyima kunipa genuine fb account
copy na kwangu pleasehahahaha, ngoja nakutumia details via PM, usijali. the times of anonymity are over, I want to merge my accounts and post my facebook/twitter na mengine on my home page. 🙂 #ProudToBeMe
Mi nikisikia watu wanaitana PM akili yote inanisimama, si unajua Kaunga?Jamani Boflo is there anything inaweza kufanyika ili mambo yarudi vizuri? Lets go PM for this.
BTW hongera on your BD, wakati unasherekea jana, nami nimepata mjukuu wa kiume from my niece ndio maana sikuweza kuingia jamvini na kukupa hongera zako.
mhhh, bahati mbaya mie nipo huku sikonge. Ntajitahidi jioni nipate gongo na nyama pori kwa kusherehekea sikukuu yako.
Kila la kheri boflo.
![]()
hahahahahaaaa........to the birthday boy (though avatar ni she)
cc Boflo jana nilikuja mitaa hiyo nikakwama pale kwenye mishkaki ya nundu......hope you enjoyed!
Zawadi yako naomba niile kwa niaba yako!
Hata mimi nimeligundua hilo Boflo......
Asante sana kwa best wishes.....
Hope you had a great day
Ulijuaje rafiki?Akiwa anapita na bus kwenda kwao Peramiho ni lazima apitie maskani Mfaranyaki. Huwa anakuja kuomba maji akiwa pamoja na Teja. Pia yeye na Teja wametengeneza CDs nyingi baada ya kunyonya vitu mbali mbali ninavyoweka hapa hapa.
ha ha haaaa nimetabasamuje sasa!!!!!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2: :A S-heart-2: :A S-heart-2:
kaka, how?
ha ha haaaa nimetabasamuje sasa!!!!!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
Ulijuaje rafiki?
Pay back time, burudika na huu hapa