Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
Leo nisiku yangu ya kuzaliwa tarehe 13 inahusishwa na shetani
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha hata kufika hapa...
Nawakaribisha wana JF wote watakao weza kufika nyumbani Kibasila str karibu na Shaban Robert School mpate japo cake na pombe
Love u all
salamu zimefika rafiki, shukrani sana
hayo ma ????? sijui ndo ulitaka kusemaje rafiki? lol!​Thanks rafiki ��
Aaah Agakhan university iko distance kdg labda uniambie hall lao ambalo ndio Diamond jubilee
Mbona nimekaa nje ya Geti masaa sita napiga simu yako umezimwa
Huu mualiko ulikuwa feki
Happy belated bday Boflo
View attachment 93672View attachment 93673
Aisee Safari umeniuliza maswali muhimu sana....Hivi Boflo ulizaliwaje? Nyumbani au hospitali? Kwa kawaida au kwa operesheni?....manake mambo yako siyo ya kawaida kabisa
Aisee Safari umeniuliza maswali muhimu sana....
ninajua kuwa nimezaliwa friday 13th siku ya shetan
kwenye birth certificate inaonyesha nimezaliwa
Where born: DR K.K.Khan maternity
sijajua ndio wapi, na pia sijui kama usiku au mchana, ninataka pia kujua time haikuandikwa
Kumuuliza mama siwezi, cause siongei naye sasa hv ni more than 5 yrs Kaunga anajua
Aisee Safari umeniuliza maswali muhimu sana....
ninajua kuwa nimezaliwa friday 13th siku ya shetan
kwenye birth certificate inaonyesha nimezaliwa
Where born: DR K.K.Khan maternity
sijajua ndio wapi, na pia sijui kama usiku au mchana, ninataka pia kujua time haikuandikwa
Kumuuliza mama siwezi, cause siongei naye sasa hv ni more than 5 yrs Kaunga anajua