Today is My Birthday

Today is My Birthday

Mkuu Boflo I would like to take this opportunity on your 21st Birthday to wish you good health, happiness, prosperity and love. Happy Birthday.
snowhite mie mzima kabisa namshukuru Muumba wetu, ukimuona dada yako FP mwambie BAK wa JF anamsalimia sana 🙂🙂



ngoja BAK aje atuweke wimbo wa hepi besitdai to yu wa STEVE WONDER!and i will sing along! BAK where are you????/
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday my luv Boflo.........japo nimechelewa.....nimeona nisikose kabisa.......
kamata na hii zawadi........

Sasa bibie Preta umemkaribisha Boflo kinywaji kwa malavi-davi na glasi tatu. Nakaribishwa hapo?

Mkuu Boflo hongera kwa kuongeza mwaka leo tarehe 13. Lakini, siku yenyewe ya kuzaliwa ilikuwa Ijumaa? Nimeipenda michango yako humu jamvini na inaelekea kama mtu aliezaliwa tarehe 13 ya Ijumaa.

Enjoy.
 
Sasa bibie Preta umemkaribisha Boflo kinywaji kwa malavi-davi na glasi tatu. Nakaribishwa hapo?

Mkuu Boflo hongera kwa kuongeza mwaka leo tarehe 13. Lakini, siku yenyewe ya kuzaliwa ilikuwa Ijumaa? Nimeipenda michango yako humu jamvini na inaelekea kama mtu aliezaliwa tarehe 13 ya Ijumaa.

Enjoy.
Yaaa ilikuwa Friday 13th
 
Mkuu Boflo I would like to take this opportunity on your 21st Birthday to wish you good health, happiness, prosperity and love. Happy Birthday.
snowhite mie mzima kabisa namshukuru Muumba wetu, ukimuona dada yako FP mwambie BAK wa JF anamsalimia sana 🙂🙂


Thanx sana BAK kwa nyimbo nzuri ya Stivie Wonder ...
shukrani kwa snowhite alie request for me...
kuna kitu nimegundua kua BAK unampenda sana sana @FP
wish u all de best
 
Last edited by a moderator:
Akiwa anapita na bus kwenda kwao Peramiho ni lazima apitie maskani Mfaranyaki. Huwa anakuja kuomba maji akiwa pamoja na Teja. Pia yeye na Teja wametengeneza CDs nyingi baada ya kunyonya vitu mbali mbali ninavyoweka hapa hapa.


Mkuu Boflo I would like to take this opportunity on your 21st Birthday to wish you good health, happiness, prosperity and love. Happy Birthday.
snowhite mie mzima kabisa namshukuru Muumba wetu, ukimuona dada yako FP mwambie BAK wa JF anamsalimia sana 🙂🙂

 
Last edited by a moderator:
Asanteni sana wana jf
baraka za bwana ziwe juu yenu
Nimependa sana wishes zenu
nashukuru kwa wote walionitumia zawadi za
digital cakes, drinks, etc
maisha yamebadilika sana siku hizi, mambo
yamerahisishwa sana, kila kitu digital
Thanks all of you!!
 
Asanteni sana wana jf
baraka za bwana ziwe juu yenu
Nimependa sana wishes zenu
nashukuru kwa wote walionitumia zawadi za
digital cakes, drinks, etc
maisha yamebadilika sana siku hizi, mambo
yamerahisishwa sana, kila kitu digital
Thanks all of you!!
Boflo go drunk you are home...
 
Last edited by a moderator:
Asanteni sana wana jf
baraka za bwana ziwe juu yenu
Nimependa sana wishes zenu
nashukuru kwa wote walionitumia zawadi za
digital cakes, drinks, etc
maisha yamebadilika sana siku hizi, mambo
yamerahisishwa sana, kila kitu digital
Thanks all of you!!

happy birthdate, stay blessed.
 
Zapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....

Happy birthday Boflo.

images


hahahahahaaaa........to the birthday boy (though avatar ni she)
cc Boflo jana nilikuja mitaa hiyo nikakwama pale kwenye mishkaki ya nundu......hope you enjoyed!
Zawadi yako naomba niile kwa niaba yako!
 
hahahahahaaaa........to the birthday boy (though avatar ni she)
cc Boflo jana nilikuja mitaa hiyo nikakwama pale kwenye mishkaki ya nundu......hope you enjoyed!
Zawadi yako naomba niile kwa niaba yako!
Hahaha. Ww mjanja Paloma
unaijua mishkaki ya nundu
 
...........

 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    52.9 KB · Views: 26

Similar Discussions

Back
Top Bottom