Na kama viapo haviamishiki makatibu wakuu wote waje wale viapo upya mbele ya mama samihaAsante sana TLS.
Mmetupa mwongozo murua.
Hii ndio tunataka kuona inafanyika Tanzania. Wataalamu wa fani husika wawe mstari wa mbele na huru kutoa maoni, mapendekezo na ushauri kulingana na jambo husika linalotatiza nchi.
Kwa kifupi kabisa, kisheria kwa sasa hatuna waziri mkuu, hatuna baraza la mawaziri.
You are absolutely right! Ndani ya siku 100 tutajua yote maana yuko chini ya chama cha majizi ya kura, hivyo wanaweza kumvuruga na kumgeuza kuwa ni rais wa chama badala ya nchi.Anaonekana ni msikivu kwa vitendo, ngoja tuendelee kumfuatilia maana anaonesha mwanga mpya wa matumaini mapya kuachana na uvunjifu wa katiba
Ukijibiwa nijulishe mkuu!Tanganyika Law Society muongozo wenu unanipa ukakasi Sana... Inamaanisha baada ya kifo Cha rais serikali yote inakoma?
Basi Makamu wa raisi aliendesha kikao Cha LEO Kimakosa maana aliendesha na Baraza ambalo limekwisha vunjika.
Nionavyo Mimi katiba yetu iliacha ombwe juu ya hii issue, ndio maana nchi nyingine wanaitisha uchaguzi ili kuunda serikali mpya.
Ninavyo sema hivi ninaona mbele yangu shida nyingi za kisheria, matharani uteuzi wa wabunge. Je wabunge walio ingia bungeni kwa tiketi ya raisi watatenguliwa ili Mama Samia akidhi takwa la kisheria la kuwa na nafasi 10?
TLs inaonaje hili ni awamu ya tano au awamu ya 6 ?
Karibuni kwa mtifuano
Mkuu, me sio mtaalamu wa masuala ya sheria ndiyo maana niliyemjibu nimetumia "kwa mujibu wa TLS" maana yake jibu langu linakuwa valid if and only if TLS wako sahihi.Kile kikao alichofanya leo akaomba karamu nyekundu kilikuwa chanini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said!!!!!Rais mwenyewe leo amekubali kuingia kwenye kikao cha baraza la mawaziri, na Rais huyo huyo mwanzo alitangaza siku 14 za maombolezo badala ya 21 zinazotambulika kisheria.
Hata wasaidizi wake nao wanaonekana bado wamelala, hawajui kama tupo kwenye utawala mwingine.
Well said comrade.Well, hiyo katiba inasema waziwazi kuwa endapo Rais aliyepo madarakani anaacha kuwa Rais kwa sababu yoyote ile, ikiwemo kifo, basi baraza la mawaziri nalo linavunjika?
Manake kama haisemi waziwazi, inaacha mwanya wa kutafsirika ki namna mbalimbali.
Mambo kama hayo inapaswa yatamkwe waziwazi na katiba pasipo kuacha mwanya au mianya ya tafsiri.
Ushauri ni mzuri. Sitegemei kuona tena ukaidi kwenye jambo muhimu kama hili. Akikosea mwanzoni atakuwa ameshajijengea tabia ya kuendeleza ubabe. BTW siyo ''Samiha''.Nikweli kwa mujibu wa sheria kiapo hakiamishiki kutoka kwa MAGU kwenda kwa SAMIHA
See!Well said comrade.
Ndio maana tunahitaji katiba mpya yenye clear-cut explanations haswa kwenye mambo nyeti kama haya
Japo baadae alirudi kumtajaHongereni TLS.
Nahisi ndio maana mh Rais alisita kidogo kumtaja majaliwa kama waziri mkuu wa Tz wakati anatoa heshima zake kwa viongozi wengine kabla ya hotuba yake kwa wananchi.
Wamevunja katiba waziwazi wapi?Sasa kikao cha leo kilikuwa cha nin? Mbona wanavunja katiba wazi wazi? Kigogo anasemaje? Sasa itakuwaje? MATAGA hawaamini kilichotokea.
Kutokuwa makini ni utamaduni wetu watanzania. Kuanzia kuandika mpaka kufanya kazi. Sijui tumefikaje hapa. Watu ni wazembe wa kupiliza. Unajua nini? ukishindwa kuzingatia mambo madogo madogo (basics) makubwa pia huwezi. Makosa kwenye maisha yapo lakini yakizidi mno inakuwa ni uzembe.Tanganyika Law Society wanasheria wa Ikulu Kama Ni wanachama wenu ninaomba wawe makini Sana kipindi hiki. Kitendo Cha kutangaza siku 14 za maombolezo kwa Tangazo la swali inaonesha muheshimiwa hakuandaliwa kabisa kisheria.
Aidha leo mama anapewa kalamu nyeusi, Ni tukio baya kisheria na kiusalama kwamba rais anatumia kalamu yoyote tuu mradi iwe eneo la tukio. Najua mnamaombolezo Ila tafadhari Jambo hili hatukulizoea na linaenda kutengeneza presedent lifanyike kwa umakini mkubwa mno!