D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,901
- 1,063
Na kama viapo haviamishiki makatibu wakuu wote waje wale viapo upya mbele ya mama samihaAsante sana TLS.
Mmetupa mwongozo murua.
Hii ndio tunataka kuona inafanyika Tanzania. Wataalamu wa fani husika wawe mstari wa mbele na huru kutoa maoni, mapendekezo na ushauri kulingana na jambo husika linalotatiza nchi.
Kwa kifupi kabisa, kisheria kwa sasa hatuna waziri mkuu, hatuna baraza la mawaziri.