Sijui ni kuwa alikuwa anatuma meseji gani; Je ni positive gesture kuwa pamoja na utalii nchi hii iko mstari wa mbele kupambana na utalii? Je ni kutoa majibu juu ya tuhuma flani ambazo labda tunatuhumiwa nazo kama nchi
Una maana gani hapo?
 
Najiuliza haya maswali
1. Kwanini tumeenda kwenye ghala ya pembe za ndovu je nao utalii japo mama kasema wameonyesha ili kukemea uharamia wa uuaji tembo, maana Kuna mzigo mule mpaka Peter mwenyewe kastuka yani kadata jinsi Mali iliyopo

2. Kwanini magufuri kwanini kuonyesha Dunia kuwa mzee alikuwa hambiliki Sasa mambo ni bull buull
1. Hilo la kwanza Sioni Shida sana kuonyesha

2. La Pili Ni kwamba Afrika Hatutoweza kujq Kujitegemea na akujivunia vya Kwetu maana Hata ukiangalia miundombinu mingi imeonyeshwa kwenye Royal tour ni ya Mwenda Zake

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
Nice film, ni mependa Accent politeness humbleness na soft voice ya Mama, na kua mkweli kwamba she was over shadowed na Magufuli kipindi yeye ni makamu wake most surprisingly kasema scientist(chemist)ku deny science, eti covid ina ondoka kwa maombi ya siku tatu, lakini wengi wana amini kafa kwa covid hilo sio siri tena.......hi documentary wa ki-ipromote on western media itaongeza idadi ya wtalii nchini.
 
Nice film, ni mependa Accent politeness humbleness na soft voice ya Mama, na kua mkweli kwamba she was over shadowed na Magufuli kipindi yeye ni makamu wake most surprisingly kasema scientist(chemist)ku deny science, eti covid ina ondoka kwa maombi ya siku tatu, lakini wengi wana amini kafa kwa covid hilo sio siri tena.......hi documentary wa ki-ipromote on western media itaongeza idadi ya wtalii nchini.
Nilichokiambulia kwenye hiyo filamu ni hadithi ya maisha ya mwigizaji, tangu utoto hadi kuwa Mkuu. Kama filamu ya kuonesha dunia hazina ya utalii, inapitwa x1000 na Chanel zinaonesha masuala ya utalii km SAFARI ya Kitanzania. Isitoshe maudhui yaliyomo ya kitalii yangeweza kufanywa na Wizara husika YEYE akachukua nafasi ya kuizindua tu, huko USA
 
Duh zile safari na mishe mishe zoye kii movie chenyewe ndo hiki kumbe asee
 
Mkuu mbona kwangu haionekani.?? Imeniandikia ni view document, nifanyie namna basi niipate...natanguliza shukrani
 
Pamoja na kutangaza utalii kuna mambo ya kufanya:
1. Kuhakikisha kuna institutional setup nzuri kwenye mnyororo mzima wa sekta ya utalii ili kuhakikisha kuna viwango na huduma za viwango vya juu kwa wageni zaidi ya sehemu zingine [competitors]
2. Kuhakikisha kuna muunganiko wa sekta ya utalii na sekta zingine zinazoajiri watu wengi kama kilimo na mifugo na kuhakikisha sekta hizi zinanufaika na utalii
3. Kuwa na wawekezaji wazawa wa kutosha katika katika mnyororo wa thamani wa sekta ya utalii ili kuhakikisha kinacholetwa na wataliii sehemu kubwa kinabaki ndani ya nchi [kupitia multiplier effect kitachochea sekta zingine]
4. Kuandaa wataalam wa kutosha wenye ujuzi na wanaozingatia miiko katika kuihudumia sekta hii ili kuhakikisha ubora na viwango vinazingatiwa kwa sababu tukio moja kwa mtalii linaweza kabisa kuharibu hiki chote kilichofanyika kwa muda mrefu na gharama kubwa....
5. Wasaidizi wa Rais wafahamu Mkuu wa Nchi amefanya sehemu yake na wao kila moja asimamie majukumu yake...
6. Wasani wa ndani na nje wanaotaka kufilm movie maporini basi wapewe DISCOUNT na wewe encouraged kutumia VIVUTIO VYETU kuandaa kazi zao la kisanii ili vivutio hivi viendelee kuwa live kwenye nyoyo za wengi...
kwan mkuu umetumwa? maana naona u unapapalika kama mabisi yale yanayokaangawa pale makumbusho stend
 
Ningekuwa ndo first gentleman lazima ningepata wivu at some point wakati nikiiangalia hii Royal Tour.

Otherwise naweza kusema Royal Tour hii imekaa poa.
 
Back
Top Bottom