Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,544
- 34,871
Una maana gani hapo?Sijui ni kuwa alikuwa anatuma meseji gani; Je ni positive gesture kuwa pamoja na utalii nchi hii iko mstari wa mbele kupambana na utalii? Je ni kutoa majibu juu ya tuhuma flani ambazo labda tunatuhumiwa nazo kama nchi