pascal mayala

  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala: Nilitangaza Maalim Seif Ameshinda Urais Zanzibar, Tukapata Matatizo'

    Mwandishi wa habari mkongwe Pascal Mayalla amesema kuwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, ambao ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi nchini, alitangaza kuwa Maalim Seif Sharif Hamad ameshinda urais wa Zanzibar. Amesema baada ya taarifa hiyo, kituo chao cha DTV kilikumbwa na...
  2. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Wakili Pascal Mayala kwanini matokeo ya Raisi hayawezi kupingwa popote?

    Habari ya hasubuhi. Sio kwa nia mbaya ni vile watanzania wengi hatujui sheria na katiba kwa hyo ningependa kufahamu hasa majibu kutoka kwa huyu mwandishi wa habari na wakili wa kujitegemea. Kuna mambo mengi nahitaji ufafanuzi wa kisheria mfano Suala la Matokeo ya raisi kutopingwa popote...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast

    07 May 2026 Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast https://m.youtube.com/watch?v=uyaX4VGvwDM
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Kama tungekuwa na media makini, waandishi wangechunguza nani alitoa amri ya kupiga watu risasi za moto Oktoba 29

    Akitoa maoni yake na uchambuzi wa baadhi ya mambo yaliopo kwenye Vyombo vya Habari nchi na uhuru wake Pascal Mayalla amesema Waandishi wa Habari na Vyombo vya Habari hawatimizi wajibu wao kikamilifu kwa uogo tu na sio kwa vikwazo vya kisheria. “Sheria yetu ya habari bado ni nzuri, japokuwa ina...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Media zetu ni waoga kutangaza mambo ambayo wanahisi serikali haitafurahia, mfano yaliyotokea Oktoba 29

    “Tunajiita tuna uhuru wa habari, lakini tuna tatizo linaloitwa ‘media oga’, yaani media zetu ni waoga. Ni waoga kutangaza jambo wanapohisi kwamba serikali haitafurahia. Kwa maana hiyo, karibu media zote za mainstream, ukiondoa media za online, zimekuwa zikijisitiri. Labda mtandao pekee ambao...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala: Mamlaka zetu azijifunzi kutafsiri Katiba kwenye Uhuru wa Maoni, ukitoa maoni yasiomfurahisha kiongozi basi itakuwa ni makosa

    Mazungumzo kati ya mwandishi wa DW Kiswahili, Sudi Mnette alipokutana na mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Pascal Mayala ambaye anaelezea sakata lililomkabili siku chache zilizopita. Soma Pia: JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu...
  7. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala: Tuna changamoto kubwa ya tafsiri ya sheria nchini. Tumefanya chaguzi kwa Katiba batili

    Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
  8. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Poleni sana mzee wangu pascal mayala.

    Mwandishi Paschal Mayala amepewa masaa 24 kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI kinachorushwa na Jambo Television kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Nchemba alichukizwa na kitendo cha waombolezaji waliokuwa kwenye ibada ya mazishi ya...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba aliwaonea wivu Viongozi Wakuu Wastaafu kwenye msiba wa Kadinali Pengo baada ya kushangiliwa

    Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa? --- Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye kipindi cha JAMBO ASUBUHI...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mjadala unaendelea hatma kesi ya Lissu Mahakama kutoa maamuzi, kutopewa chakula, Kamwaga na Pascal Mayala wanazungumza...

    https://www.youtube.com/live/yY-Fra_HBiY
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Laiti Kama ni Mimi ni Kiongozi wa Nchi ningewafukuza kazi Viongozi Wakuu wahusika Wa idara ya Maji na kumuondoa Waziri Wa Nishati

    Tuna Mito, Maziwa lakini Maji safi hatuna lohhh Majangaa kweli nchi yetu. Ni jambo la Aibu tangu tupate uhuru ni zaidi ya miaka 60 bado Wananchi wanahangaika kupata maji safi? Wakati idara na Wizara inauohusika Viongozi wake wapo maofisini wanaupiga mwingi. Maji hayo kiafya hayafai kabisa...
  12. P

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia sikiliza neno la bwana kuhusu Urais 2025

    ...
  13. blogger

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Paschal Mayalla pole sana kwa yaliyokukuta baada ya Swali lile

    Kaka kwanza kabisa nikupongeze na kukupa pole vyote kwa pamoja. Kumbe kuna kipindi ulipitia moto wa tanuri. Aisee. Lakini wala hukutuambia hapa jamiiforums. Sasa hukuona umuhimu wa kuomba msaada ili urejeshewe kampuni yako!? Kumbe uliajiri na vijana.. 15. Je saizi wako wapi!? Hufikirii kumuona...
  14. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Jee Hili Limewahi kutekelezwa

    Ibara ya 46(2) – Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 (kama ilivyofanyiwa marekebisho) Maelezo ya ziada: Mchakato huu unalenga kuhakikisha kuwa Rais ambaye hawezi tena kutekeleza majukumu kwa sababu ya maradhi (ikiwemo ya akili) anaondolewa kwa njia ya kikatiba. Ni lazima Baraza...
  15. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Pascal Mayala: Mateso ya kumuuliza swali Magufuli. "Niliumizwa, Kampuni yangu ilitolewa Sabasaba, Mikataba ikavunjwa. Sijapona hadi leo"

    Mwandishi nguli, Paschal Mayala akielezea aliyopitia baada ya kumuuliza swali Rais Magufuli lenye sehemu mbili, swali hilo lilihoji mamlaka aliyotumia Rais Magufuli ya kukataza mihimili mingine ya Serikali kusafiri na kukataza mikutano ya kisiasa ilhali mikusanyiko na uhuru wa kutoa maoni...
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Pascal Mayala: Waliohamia CHAUMMA, hakuna aliyewahi kuwa na jimbo, pia pasipokuwa na mabadiliko kuelekea uchaguzi CHADEMA kwisha habari yao

    Akifanya mahojiano na Bongo FM Pascal Mayalla nimekusikia ukisema waliohamia CHAUMMA, hakuna aliyewahi kuwa na jimbo, bila malegend waliowahi kuwa wabunge chama hicho hakitoboi. Pia nimekusikia ukisema pasipokuwa na mabadiliko kuelekea uchaguzi CHADEMA kwisha habari yao, kwamba itakuwa ndiyo...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Member Mkongwe ni Pascal Mayala

    Kwa sasa hivi Member Mkongwe ni Pascal Mayala amejiunga 2008 nikiwa namiaka 7
  18. TheMaster

    JamiiForums Tanzania Ni upi utabiri wa kinabii wa Pascal Mayala kuhusu CHADEMA?

    Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa makala za mwandishi nguli wa mtandao wetu wa jamii forum hususani Jukwaa la Siasa kwa muda mrefu sana. Huyu si mwengine ni Guru la uandishi na ufatiliaji wa mambo ya kisiasa Bw PASCAL MAYALLA Na hata hivyo naweza sema ni moja ya waandishi nguli zaidi Tanzania...
  19. JOHNGERVAS

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

    Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao. Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa...
  20. Lambardi

    JamiiForums Tanzania Iundwe tume Huru suala la mafuta ya petroli

    Wanabodi kama alivyopendekeza Mbunge. Naomba kusisitiza suala kuundwa tume huru tujue madudu yapoje na upigaji kwenye mnyororo mzima wa mafuta ya petrol. Kumtoa Mjinja bado hakusaidii wameiba sana. NAtoil ni balaa na laana kubwa.
Back
Top Bottom