...kwa staili hii yakuibuka kwa siri za ufisadi, kwa ushauri wangu tu! wale wote waliokwenye first 11 ya Dr. Slaa, bora waanze kuachia taratibuu..kwani sasa hivi kweli Siasa na Biashara ni hatari...waweza umbulika!
Ndiyo maana Mwl.JK alipiga vita viona mbele ..TV, Kompyuta n.k ilivisiwafumbue macho wenyenchi hii.
Ugumu wakuongoza wenye utandawazi ndiyo huu wanaanza kuuona.
Yasipozungumwa Bungeni watu watayapata hewani/ kwenye utandawazi...sasa sijui! Ile first 11 yetu bado wangapi kweli?
Ndiyo maana Mwl.JK alipiga vita viona mbele ..TV, Kompyuta n.k ilivisiwafumbue macho wenyenchi hii.
Ugumu wakuongoza wenye utandawazi ndiyo huu wanaanza kuuona.
Yasipozungumwa Bungeni watu watayapata hewani/ kwenye utandawazi...sasa sijui! Ile first 11 yetu bado wangapi kweli?