Wewee mbona umechelewa...... this happened over 4 days ago, jitahidi sometimes ukipata muda uwe unasoma gazeti la huko kwenu la The Gurdian na the Times, achana na tabloids za News of the World na Daily Star!!!
Mtanzania,
Page 3 huwaga na picha nzuri tu ya kisura. Au wamebadilisha siku hizi?
kwi!kwi!kwi!
Mkuu Susuviri,
Na the likes, ninasema hivi hizi dataz hazina ubishi wala mikwaruzo, toka jana Media nzima ya bongo inanipigia magoti niwauzie, nimesema siuzii mtu kwa sababu ninaamini katika kuwaelemisha wananchi na pia siku zote kuweka heshima ya hii forum,
Kwa taarifa yako na wenzio, kama alivyosema Lunyungu, sijawahi ku-withdraw dataz na hazijawahi kuwa disputed na ukweli zaidi yake, lakini ni kweli kila ninapozitoa huwa kunakuwa na mashambulizi ya personal against me ambayo hayahusiani na the dataz, sababu huwa ni moja muhimu, nayo ni wivu na uwezo mdogo wa kufikiri kwa wahusika,
Nimesema mara nyingi sana na ninarudia kuwa think kabla hujaandika hapa, kwa mfano in the name of dataz, hapa JF ninawajua ndugu wa karibu na Chenge, angalau wawili ambao so far wametulia, meaning kwamba hata wao nimewasaidia maana walikuwa hawajui kuhusu hii ishu, I do not have to do this lakini ni vyema tukawasaidia wenye akili hapa, nilipoziweka hizi dataz Lunyungu ameenda kuzifuatilia na kuja na zake zaidi na kukubali ukweli wa dataz, mimi mtu yoyote akiweka dataz hapa kazi yangu ni kuzifuatilia na kuthibitisha kama nina-concern, na kumwambia ukweli wa ishu kwa kumuonyesha wapi amekosea na dataz zake, kwa mfano Chenge nimemuona jana yupo Dar, Rostam na Karamagi hawakusaifiri last week, ukweli ni one, two, and three, au kunyamaza kwa sababu kwenye maisha si kweli kwamba kama wewe hujui basi wengine wote hawajui,
Dataz ni dataz, I mean just dataz hatuna njia nyingine yoyote ya kuziweka, they are just dataz, kwa sababu tunapewa na watu ambao huwa wana-risk sana na kazi zao sasa ni wajibu wetu kutumia akili on how tunaziweka hapa, ndio maana nimesema kuwa ninajua hata jina la mahali huko London ambako hizi shughuli zinakofanyika,
na bado ninaendelea kuzikusanya more dataz, and more dataz yaaani ni just dataz tupu, asiyezitaka badili station tu lakini ninajua kuwa ni wengi wanaozitaka kwa sababu toka jana PM yangu imejaa mara mbili, halafu mind you PM yangu inachukua message 1000, sasa zote nimezi-print, mesage karibu 2500, leo nataka nijaribu kuzisoma, kwa wale wenye nia ya kuwa na ile DVD thing, ni kwamba nina vipande vinne, nimeangalaia viwili so far in full, bado vipande viwili vingine, kabla ya kuanza kuziweka zote nne in one master DVD, ili niweze kuzirudisha nilikoazimwa kwa muda, niliongea na Mkulu MMJ on what to do next ili kuiweka hapa, hilo halina ubishi itakuja when the time is right!
A Luta Na More Dataz Soon..........!
Nadhani sasa baada ya Chenge kutiwa nguvuni ni vyema kungojea kuona next move .Wambeya hapa wamenasa .Mimi nimezima sasa simu yangu baada ya kuwa kero .Wanataka kuuua ukweli lakini nimesema kesho nitakuwa ofisini tuonane huko leo napumzika .Ukweli umesimama na hata CCM na Ikulu kawaulize .They are all shocked kwamba habari hizo hazikulala na tunazo .ES
naujua unyonge wako mkuu lakini kwenye data no has disputed your data .Wamekuja hapa wambeya kibao akina GT na majungu lakini kila wasemalo mwisho ni fitina binafsi ama ku twist wakiwa kazini .
naomba tuwe focused sasa .Issue ni kukamatwa kwa Chenge na mali kibao za walafi kukamatwa .Sasa tumpe JK sifa ama hapana .Utaamua wewe .Mimi nampo kidogo kwa kuamua kutoa kibali cha Chenge kukamatwa na kumwambia Rostam na Karamagi kwenda kusema wanayo yajua .
Connection hapa ni kubwa Chenge si Rada pekee .Chenge amekiwa AG mwa kipindi kirefu namuda huo wote madhambi makubwa na mikataba kibao imewekwa .Hili pekee linaleta utata si UK pekee hata TZ kama kweli tuna utawala bora and unfortunately hatuna .
Habari nzima aliyoandika Mkulu ES ni kweli!!,Hamtopata jibu rahisi kwa baadhi ya maswali ya kiutendaji mnayouliza "eti nani alisaini search Warrant",hata Polisi Lance Koplo pale Central Police anaweza kusaini warrant ikiwa tu atapata Go ahead kutoka kwa Wakuu wake....
Ni kweli kwamba Mzee Chenge yupo London,na siku nzima ya Jana (Ijumaa) alikuwa tight kwa masuala ya ushahidi.Kesi hii ni kubwa,na kuna wengi wanahusika,Tutegemee aibu kubwa kwa baadhi ya Viongozi wakuu wa nchi.Kwa mara ya kwanza na Mheshimiwa JK ametajwa,nae alihusika kiaina alipokuwa Foreign Minister,naomba nisiulizwe kivipi,kama upo makini na unafuatilia issue hii utaelewa.Mama Maria kejo nae anaingia humu,(Tumpe pole kuna taarifa kuwa Jumatano amefiwa na kaka yake),nae atakwenda London baada ya shughuli za Msiba.Mzee Mwanyika nae moto upo Mgongoni mwake,kwa mujibu wa datas alitoa kauli za uongo alipoonana na watu wa SFO.
Wakubwa stay tuned mambo makubwa yanakuja mbele!!,Mzee wa vijisenti ataondoka na wengi,na ndio mtakumbuka kwa nini alijibu "Muulizeni Rais" mara baada ya kurudishwa kwenye Cabinet baada ya Cabinet kuvunjwa kutokana na Lowassa kujiuzulu.....Anajua kila uchafu wa hawa wakubwa,na sasa atayaanika yote wazi....Hala hala tu serikali isije ikavunjwa tena !!
Mzee ES waambie vijana,nini kinajiri huko,kwa sababu vyanzo vyako vya habari ni makini....
Habari nzima aliyoandika Mkulu ES ni kweli!!,Hamtopata jibu rahisi kwa baadhi ya maswali ya kiutendaji mnayouliza "eti nani alisaini search Warrant"
... hata Polisi Lance Koplo pale Central Police anaweza kusaini warrant ikiwa tu atapata Go ahead kutoka kwa Wakuu wake....
Ni kweli kwamba Mzee Chenge yupo London,na siku nzima ya Jana (Ijumaa) alikuwa tight kwa masuala ya ushahidi....
Kesi hii ni kubwa, na kuna wengi wanahusika,....Kwa mara ya kwanza Mheshimiwa JK ametajwa,....Mama Maria kejo ... Mzee Mwanyika ...Mzee wa vijisenti ataondoka na wengi...kwa sababu vyanzo vyako vya habari ni makini....
Hatujabisha hilo, ila wengine wakauliza, very penchantly, nini ni newsy kuhusu Chenge kwenda London? Mkasema, ooooh, kaonekana na Pingu. Wait a minute now, Chenge sio target wa Investigation, how come akamatwe? Ndio ikaonekana maswali haya hayana dataz ila yana logic, na hatuendi na logic hapa JF (yet another kituko)! Kwani sisi ndio tumeleta "dataz" au tunaswalisha veracity ya hizo "dataz" alizo zileta Mkuu kuona kama kuna mantiki?
Kuhani mkuu
Kama yeye sio target kwa nini wame-freeze pesa yake iliyo Jersey? Just asking?
Kuhani mkuu
Kama yeye sio target kwa nini wame-freeze pesa yake iliyo Jersey? Just asking?
Ninachojua mimi nchi nyingi zinatumia sheria ya mpokeaji na mtoaji rushwa kama wote waharifu.Hivyo basi soon itakapobainika kwamba "Visenti" Vilivyopo jearsy vimetokea BAE mheshimiwa ana kosa la kujibu.
Ukumbi huu mnanifurahisha. kila mtaalamu wa Sheria leo, lakini siku tukiambiwa tuchanguwe mambo ya muhimu yanapoanza kuharibiwa, kila mtu anasubiri aletewe kifungu cha sheria au katiba.
Inawezekana kabisa FMES kapotosha kwa kutumia neno search warrant/arrest warrant ambayo inatufanya uanze kuwa Lamwai au Muckaddam, lakini ni obvious kuwa kulikuwa na communication of some sort ambayo inawezekana ilipelekwa Ikulu hata kabla ya Chenge kuachia ngazi ambapo Rais alipewa taarifa na akaafiki watgakachofanya SFO.
Inawezekana hii "search/arrest warrant" ilishaidhinishwa na JK hata kabla ya safari ya China au magazeti kututamkia kuwa Chenge ana vijisenti vyake.
Kumbukeni SFO wangeweza kwenda kwa IGP, lakini kwa kuwa Mwajiri wa Chenge alikuwa ni JK, hivyo protocal ilikuwa ni kumtonya JK kwa faili zima na kumwambia kitakachofanyika.
Sasa inaelekea nasi tumekuwa kama Chenge na kubwatuka hili haliwezekani, sasa ni lazima tuonyeshwe hiyo barua au kibali kilichotoka Ikulu kwenda kwa SFO kuwapa baraka za uchunguzi wao?
We are now trying to play with technicalities, but where were the technicalities when our country was being raped?
What I need to hear is what is GVTZ doing about this. Is it waiting for the British kufanya vitu vyao au GVTZ is in such a shock and embarrasment kuwa vichwa vingi vitapitiwa na upanga?
Kwa kifupi JK alikuwa anajua kuwa mmoja wa mawaziri wake anatakiwa kupekuliwa, whether alisaini au hakutosaini hayo ni mengine... Niko interested na kujua Chenge alipekuliwa lini, was it before JK hajavunja baraza la mawaziri au baada?
Icadon, hayo sio mengine, ndio yaliyo letwa hapa, na kuswalishwa. Ukisema hayo hauko interested nayo nakuelewa 100%. Lakini wengi wameshuku, na mimi nimebisha, Waingereza ku execute Warrant ya Kitanzania au Kikwete ku saini Warrant ya Kiingereza. Na kwamba Chenge kakamatwa London wakati mashitaka bado hayajaletwa na wala yeye sio target, na habanwi na Sheria yao.
Ahsante.
Mtu wako, the illustrious, the one and only, great old Field Marshall E(something?) Systems, kuanzia jana kidogo kawekwa kiti moto juu ya kiti umeme hapa!
Usikonde Mkuu.
Tunajaribu kuwa na mfumo wa kuthibithisha na kuchambua "dataz," tusije tukalazimika kuomba wakina Aziz na Chenge misamaha hapo baadae.
Unajua Bongo hamna true Media, kwa mawazo yangu, kwa hiyo hapa JF tuna raw Press yetu wenyewe (na kwa kweli sitakiwi kukuambia wewe haya; wewe ni vete na mmoja wa Statesman wa JF Nation). Lakini japo Press yetu ni rough and raw, tunataka iwe na viwango vinavyo zidi MwanaHALISI na Tanzania Daima. Ni hicho tu.
Mkuu Es ahsante kwa point nyingi ulizoweka lakini kuna walakini kidogo!!!
Issue ya Chenge kwenda London haina uhusiano wowote na SFO. Narudia, Chenge yuko London kwa mambo binafsi na SFO walishamalizana naye.
SFO hawajaribu kuisaidia TZ in any way or shape, the investigation is against BAE only. The link to TZ ends with Vithlani and it is true Vithlani had some wire transfers to mzee wa Visenti na ndio sababu ya SFO kumkomalia. Now to prove that the said money was BAE money is where Chenge atatupiga goli sababu SFO hawatakuwa na maelezo kuhusu hela za Chenge wao watawabana BAE na corruption.
Now ni aibu kwa sisi watanzania na viongozi wetu kusema eti tunasubiri uchunguzi wa SFO?? This is insane!! SFO hawachunguzi kwa kina ni viongozi gani wa TZ walipewa rushwa, wao wanachunguza kama BAE walimpa rushwa Vithlani na yeye akawapa viongozi wa TZ. Wakiprove hilo, then wanawabana BAE.
Now link ya Vithlani to TZ leaders hilo swala lilitakiwa libebwe na Usalama, DCI, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, DPP na kamati za bunge.
Hapa tunachezewa shere!!
Ni hayo tu wakuu.
Ujaona warning kwamba logic is for kids...hapa ni kumwaga matapishi tuu...