Sidhani habari nzima ni kweli. Polisi wa Uingireza hawezi ku execute search Warrant ya Kitanzania na Rais wa Tanzania hawezi ku sign Search Warrant ya Kiingereza. Tumeambiwa "Dataz" zimesema Kikwete aliandika na ku sign Search Warrant. Stori imepinda!
Right! Unatofautiana na mwenzio, Mkuu mwenye "dataz." Tumeonyesha sheria ya hicho unachokisema hapo (pitia pitia matundiko ya nyuma kidogo). Tatizo la "dataz" ni kwamba zimesema Chenge alileta ubishi akaonyeshwa Search Warrant iliyoandikwa na ku sainiwa na Kikwete (na ni kichekesho kusema mtu anaandika na ku sign warrant yeye mwenyewe - inakuonyesha mtoa "dataz" alivyo pitwa na vitu kidogo - just to put it mildly. Unaanza ku doubt kama anajua anacho kisema. Kwa hiyo, ongea na mtoa "dataz" wako mrekebishane.
Hatujabisha hilo, ila wengine wakauliza, very trenchantly, nini ni newsy kuhusu Chenge kwenda London? Mkasema, ooooh, kaonekana na Pingu. Wait a minute now, Chenge sio target wa Investigation, how come akamatwe? Ndio ikaonekana maswali haya hayana dataz ila yana logic, na hatuendi na logic hapa JF (yet another kituko)! Kwani sisi ndio tumeleta "dataz" au tunaswalisha veracity ya hizo "dataz" alizo zileta Mkuu kuona kama kuna mantiki?
"Vijisenti" na Mafisadi wenzake watamalizwa, Tanzania - if at all - sio UK. Huko wao sio target wa wrongdoing. Vyanzo vya habari vyenu hatujavikataa, tumeviswalisha. Vyombo vingine vinasema, sio tu kwamba Chenge sio target, ila pia hajashitakiwa mtu bado, sasa atakamatwaje mtu?
Sasa hapa tunafanya stringent vetting kuliko MwanaHALISI na Tanzania Daima kwa sababu tumewaalika waandishi wa Bongo waje kujifunza Journalism hapa. Tuta maintain viwango vya juu kuliko Nyegezi na UDSM tulipo waomba wa drop out! Hapata geuka MwanaHALISI hapa kama mchangiaji mmoja alivyo onya.
BAE corruption investigation switches to Tanzania
· Focus on £28m radar deal with East African state
* The Guardian, April 12 2008.
* David Leigh and Rob Evans
Following the uproar over its halted Saudi investigation, the Serious Fraud Office is expected to decide whether to bring fresh corruption charges against arms manufacturer BAE within six weeks, over a second arms deal, this time with Tanzania.
A minister from the east African state has denied that more than $1m (£507,500) in his offshore accounts came from BAE.
Investigators involved in a three-year inquiry after the controversial deal to sell Tanzania a £28m radar system identified the money in Jersey accounts controlled by the poverty-striken country's infrastructure minister, Andrew Chenge.
Investigators say Chenge could be a valuable witness. The target of their investigation is not him but BAE. The arms company made the commission payments to a local agent in Tanzania to promote the £28m radar sale, through an elaborate chain of offshore companies and a Swiss bank.
The agent has now left the country and is wanted by Interpol.
...The Guardian subsequently disclosed that £1bn had been paid into accounts controlled by Prince Bandar during the deal. Bandar says the payments were not improper.
The Tanzania deal, although smaller in cash terms than the Saudi deals, is equally controversial: Tanzania is one of the world's poorest countries, and the UK government is paying more than £100m this year to help the heavily-indebted country's budget.
It was Blair again who forced the radar deal through the British cabinet, despite protests from the then international development secretary, Clare Short. She said the sale, for which Tanzania had to borrow yet more from a commercial bank, was corrupt and "stank".
A lengthy SFO investigation in the UK subsequently discovered that 31% of the deal's contract price had been diverted via Switzerland.
BAE transferred the money to a subsidiary, Red Diamond Trading, registered anonymously in the British Virgin Islands.
Red Diamond then moved the cash to a Swiss account in the name of a Panama company, Envers Trading Corporation. This entity had two Panamanian nominee directors. But it was secretly controlled by a Tanzanian middleman, Shailesh Vithlani, according to Dar es Salaam court papers.
Investigators are now checking whether Vithlani arranged to pass any money in turn to Tanzanian politicians and officials.
Sources said the bank in Jersey had promptly frozen transactions and filed a suspicious activity report when the Tanzanian inquiries began.
Vithlani, who is of Indian extraction but holds a British passport, is listed as wanted by Interpol.