The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Ni kichekesho kufikiria kwamba Chenge anaweza kuja UK kipindi hiki kwa masuala ya kifamilia.

Kwanza kwa kuingia UK tu tayari angelikuwa target na vyombo mbalimbali vya dola (soma ile thread nyingine kuhusu yaliyowapata BAE kule USA).

Pili chini ya mfumo wa sasa wa UK, Chenge hawezi kupata visa ya UK kwasababu ya tuhuma za corruption zinazomkabili. Anaweza kupewa visa kama tu kuna jambo anawasaidia hawa jamaa au kuna sababu kubwa sana kama za kiafya. Hata kwenye case kama hiyo, uamuzi mpaka uje utolewe na home office na wala sio ubalozi.

Siamini kabisa Chenge anaweza kuja UK kutembea au kwa masuala ya kifamilia, kuna jambo kubwa zaidi ya hilo.

Watu mnatetea sheria za nchi, sawa, lakini yeye alipokuwa anachota mapesa ya wananchi mbona hakuangalia sheria za nchi? Mbona hakujali haki za watoto na wanawake watakaokufa kwa uchoyo wake?

Kwa mafisadi hata kama sheria za nchi zimevunjwa mimi sitajali kabisa. Inabidi wajue kwamba wakiendelea kutuibia, muda ikifika, nchi haitahangaika kuwatetea.
 
Ningependa tu kuunga mkono wale walioleta habari hizi humu. Nakubali pia kuna haja ya kuhoji "umakini na ukweli" wa habari zenyewe. Hii inasaidia members wote humu kujiridhisha kwamba habari hizo ni za kweli. Naona wengi mmechukulia hii kama criticism against hiyo habari. La hasha! Chukulieni hii kama changamoto. Watu wanapenda kupata undani na uhalali wa habari zenyewe, ndio maana wanapose arguments ili walioleta habari waweze kuchanganua na kufafanua zaidi.

Na kama kuna mtu mwenye habari tofauti, basi ni vizuri na yeye akatoa za kwake ili members waweze kuzijadili pia. Kumbukeni tu kwamba hii ni forum na sio kijiwe cha wanywa kahawa. Unaleta habari hapa ili watu watoe maoni yao, na maoni yanaweza kuwa against habari yenyewe.

Cheers!
 
Chenge amepekuliwa na wazungu kuanzia ofisini kwake mpaka nyumbani kwake, na amekutwa na shillingi billioni moja cash, safari ya UK ilikuwa siri je imatangazwa anywhere zaidi ya hapa JF?

!

Mkuu FMES

Mkuu wa kaya anajua hili?

Inakuwaje anakuwa na kiongozi anayeweza kuwa na kufuru za namna hii?

JK imefikia wakati afanye kazi kama inavyotakiwa tusisubiri mpaka wazungu. Inakuwaje kiongozi anayeongoza watu masikini duniani anakutwa na kiasi hicho nyumbani halafu viongozi, vyombo vya dola vyote kimya vinasubiri sijui waingereza wafanye uchunguzi?

Hivi hata hatuna sheria ktk hili? Hata Chenge kukamatwa na vyombo vyetu vya dola wakamuweka angalau central polisi kwa masaa kujua alikopata hizo pesa?

Mpaka sasa ukiangalia milolongo hii huna haja ya kujua kuwa watanzania wataendelea kuwa hoehae wakati viongozi wakinenepa tu.

Hivi ilikuwaje kama haya yote yanajulikana wamuachie chenge aende bariadi kudhiaki wapiga kura wake?

Mimi sihamini kwa viongozi wanaofanya mambo kwa siri, kiongozi ambaye kweli ni kiongozi hawezi kufanya kazi kwa kumfurahisha kila mtu. Inatakiwa afanye mambo kwa uwazi na kufuata sheria zilizopo.

Mimi sikubaliani na sijui JK anafanya kazi kwa chini chini hii ndio inatuletea matatizo. Kiongozi inatakiwa atangaze msimamo wake hadharani, tena kwa kujidai.

Tunatakiwa kutoa wito viongozi wote wachunguzwe
 
"Makofi tafadhari" ni sauti ya wanyoke kama itakuwa hivyo, ila hii ndiyo bongo, yaani mnataka kusema mafisadi wote wale kona kabla hicho kindubwenubwe hakijawafika?
 
Muungwana alikuwa wapi wakati wote huo na vyombo vya sheria katika nchi viko chini yake - hastahiki kupewa hongera kwani hajaonyesha makucha yake.

Mkuu unajua VITA vya kisasa vina tekinologia ya kila namna,ukabonyeza kwa pupa na jazba na Mwenziyo akabonyeza upande wa pili basi Nyote Mnakufa kwa mlipuko wa Nyuklia,sasa Muungwana hataki lawama ndo-maana anapigana vile vita vya Kizamani vile,kuwa Steringi huwa hauwawii!!hatobonyezea nyumbani hata kidogo!!watashangaa vitu vinawadondokea tu,vinakotoka hawajui.
 
Muungawana anajua fika kuwa tuko determined hapa!
Signatures zinaanza kukusanywa muda si mrefu kama asipofanya jambo kuhusiana na hizi dhahma!
 
Chenge amepekuliwa na wazungu kuanzia ofisini kwake mpaka nyumbani kwake, na amekutwa na shillingi billioni moja cash, safari ya UK ilikuwa siri je imatangazwa anywhere zaidi ya hapa JF?

Je Chenge yupo UK au hayupo, Chenge alionyeshwa kibali kilichosainiwa na rais kabla hajaenda India, na alipotaka uthibitisho akapewa kuwa kimetoka kwa rais, akasachiwa baada ya kuachiwa akakimbilia Kwa Mkono, Butiama ndio kwa mara ya kwanza mkono anawafahamisha wakulu wengine kuwa Chenge, amesachiwa na anauhitaji msaada wake lakini hawezi kumsaidia, I can go on and on ila siwezi kwa sababu ya kumridhisha mtu mmoja mwenye majina mia humu, wewe huna dataz na utaendela kusubiri za wengine tu hapa JF na kubaki na logic zako za chooni,

sisi tunasonga mbele, na tutakapozipata zaidi tutaziomwaga, mkuu tumekuambia kuwa umaarufu hapa huletwa na hoja na dataz, sio logic maana kila member anazo hapa, ila hoja na dataz sio kila mtu anazo hapa, kuna wengi hapa kama Lunyungu wameenda kuzitafuta zaidi sisi tumewapa lead tu, ila kuna the zero wa logic ndio kazi kujifanya kujua kumbe hujui nothing, ila ni ujuha tu anytime write, ni pure nonesense!

I stand for kila nilichosema, unless useme ukweli tofauti, logic hata mtoto wangu anazo, ila hoja na dataz hana, kama na wewe ulivyo huna, dawa ni kukaa pembeni upewe dataz hapa tunazo all the time, from day one tulipoingia hapa na tunaendele, hazikusaidiii wewe lakini kuna wengi zinawasaidia, sasa kaaa pembeni!

dataz bila logic...duh!! Hii kali!!
Wewe ukipata dataz unamwaga tu...hamna haja ya logic.
Inafurahisha kuona unakubali kwamba GT ana logic (though wewe hiyo haina umuhimu).

Kuna kazee fulani ambacho kalikosa URAHISI basi hako kanasifika kwa kulikisha dataz...
 
According to the dataz, .....and let me say this, we have more dataz than ever before, I mean never before....!

1. The dataz ni kwamba Jana Chenge, alionekana akiwa escorted na makachero wa UK, pia akiwepo mtu mmoja toka uwt yetu bongo, somewhere in London Chenge, alikuwa amevaa pingu.......!

2. The more dataz ni kwamba siku ya kwanza Chenge, alipofikishwa huko kwenye mahojiano I mean huko London, pia kuna wakulu wawili wengine toka
Bongo, yaani Rostam na Karamagi nao pia walilletwa hapo kwenye mahojaiano, lakini wao hawakuwa na pingu, .......haya yote yalifanyika last weeek!

3. Na finally, pia we have the name of the place mahojiano haya yanapofanyikia hapo London, when the time is right tutasema, bado upepo hauko sawa!

Tuna the more dataz za mstaafu wa idara na jinsi anavyohusika na hii saga, na jinsi alivyoigawa idara na kumuacha the current absolutely with no power, pia tuna very ugly dataz kuhusiana na muafaka, more dataz on Lowassa, more dataz on rais mtarajiwa anayetayarishwa on a very serious deal kushika nafasi ya muungwana 2015.........and more dataz ......more dataz ninasema more dataz......and dataz....and nothing but dataz!

Oooh I love JF! Maana hizi habari unazipata hapa JF kwa mara ya kwanza!



Mkuu Wangu GT,

Heshima mbele, hilo halina tatizo nipe muda kidogo tu mkuu DVD itawekwa hapa, uwanja mtukufu wa JF!
 
Lakini si tuyliambiwa kuwa Chenge ni shahidi tu kwenye huu uchunguzi wa SFO? Sasa kwa nini shahidi anatiwa pingu?
 
1.
dataz bila logic...duh!! Hii kali!!
Wewe ukipata dataz unamwaga tu...hamna haja ya logic.

Kama vile mtu anapotumia majina 40, ndani ya hii forum wakati mimi ninatumia jina moja tu, sasa eti tunaweza kuwa na a decent debate na huyu majina 40? au decent debate on logic

2.
Inafurahisha kuona unakubali kwamba GT ana logic (though wewe hiyo haina umuhimu).

GT huwa ana hoja, dataz na facts, na sikumtaja kabisa kwenye hili, ndio tatizo la majina 40, huwezi kukumbuka yote na maneno uliyosema kwenye majina mengine, ndio maana sasa unafikiri nilimtaja GT, kumbe nilimsema mtu mwingine kabisaa, what a shame na majina 40!

3.
Kuna kazee fulani ambacho kalikosa URAHISI basi hako kanasifika kwa kulikisha dataz...

Masikini ya Mungu, maneno yako mwenyewe yanajiosema kuwa hata ubadili majina 40, bado ni juha tu, sasa kama kazee kanalikisha dataz then what is the beef for, maana sasa si zitakuwa ni za ukweli au? Halafu huwa kapo wapi hako kazee kwamba kila dataz za serikali kanakuwa nazo?
 
Lakini si tuyliambiwa kuwa Chenge ni shahidi tu kwenye huu uchunguzi wa SFO? Sasa kwa nini shahidi anatiwa pingu?

yanayosema na hata matendo huwa yanabadilika .JK alisema hakamatwi mtu wala kuchunguzwa lakini leo Mramba yuko katika microscope na sasa anagoja kutinga Mahakamani.DPP kesha sema moto chini sasa watu wanangoja time .Kuna ambalo haliwezi kubadilika kweli ?

wanao muomba ES DVD ni unafiki huu .Data za ES hajawahi ku withdraw zikisha kuja hapa .Lakini wao tunatumia kuda sana kuomba data zao wazi verify na huo ni uzishi .

Ni kweli nina habari za ndani kwamba upepo ni mbaya na Chenge yuko chini ya uangalizi wa Mwingireza .Habari zaidi zinase Karamagi na Rostam wamechanganyikiwa maana pamoja na kwamba wao hawa husiani na hili lakini kuna connection ambayo Lowasa will be next kutueleza mkataba wa City water na ujanja wao kutupeleka Mahakamani na wao wamegawana pesa .It is coming guys .Hizo ndiyo data na shortly Ikulu itatoa tamko ila kwa sasa wanatafuta the right way and timing .Ndiyo maana hadi sasa hujasikia mtu anasema anatokea ahera kuja Tanzania ama bariadi kwenda Dar .

Thanks ES nimekubali .
 
FMES

Kazi mzee wewe ni kuweka dataz tu, waliopewa pesa ya peremende itawatokea puani. JF ipo hapa na kila kukicha wanaingia members wengine wakali zaidi kumkoma huyu nyani Giladi hadi kifahamike nini kinaendelea.
 
...Seems jamiiforums is nothing like Jamboforums...dumbing down by the minute...Kudos to all jumping on this bandwagon..its not about daring to talk openly no more , more like we dare kulopoka openly...oh do i miss the old JF!!
 
Mkuu Lunyungu, kipi ambacho kimemuweka Chenge pabaya? Nafanya reference kwenye ile article ya Guardian ambayo ilimtaja Chenge kama shahidi muhimu. Shahidi anawezaje kuwa katika hali mbaya, au ameshageuzwa na yeye kuwa mtuhumiwa?
 
Mkuu Lunyungu, kipi ambacho kimemuweka Chenge pabaya? Nafanya reference kwenye ile article ya Guardian ambayo ilimtaja Chenge kama shahidi muhimu. Shahidi anawezaje kuwa katika hali mbaya, au ameshageuzwa na yeye kuwa mtuhumiwa?

Ujaona warning kwamba logic is for kids...hapa ni kumwaga matapishi tuu...
 
Mkuu Lunyungu, kipi ambacho kimemuweka Chenge pabaya? Nafanya reference kwenye ile article ya Guardian ambayo ilimtaja Chenge kama shahidi muhimu. Shahidi anawezaje kuwa katika hali mbaya, au ameshageuzwa na yeye kuwa mtuhumiwa?

Hila Mkuu,

Chenge ni shahidi je ulisha ona shahidi anasachiwa?
 
Back
Top Bottom