KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 91
kakindomaster;
Kwi kwi kwi... si tayari hili linafanyiwa kazi... at least mutafute mwingine fisadi mwingine huyu yuko kwenye mikono salama as far as wananchi is concern... hili linafanyiwa kazi... twende mbele...
Kwa mawazo yangu Bill. 1 kwa uchumi wa nchi ni hela ndogo sana... tutafute tuchape kazi tulete mawazo mengine tujenge nchi....
Mkuu
Tulisema Chenge ametaamia mayai, Nafikiri kama mkuu Lunyungu alivyotupasha safari moja uanzisha nyingine hapa ndipo safari imeanza hakuna haja ya kutoka kwenye hili.
Unajua hii issue mwisho wake yale mayai yaliyokuwa yametaamiwa yataonekana.
Vijisenti anajua mengi sana au kwa kifupi ndiye kiini cha matatizo yote ya Nchi. Huyu ndiye alikuwa mshauri mkuu wa mikataba yote ya kihuni Tanzania. Usishangae wengine wakapata presha gafla.
Bado najiuliza Karamagi na RA wanatafuta nini huko je tupeleke hata member wetu mmoja aweze kujua wanatoa ushahidi gani? Mimi nahisi ushahidi hapa utakuwa ni suala lingine lilihumiza Mtanzania.