The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

...Mkuu lile joto nadhani linapanda kwa kasi inayohitajika sasa kama katumwa mjumbe ngoja tumtolee macho tuone anarudi na nini nahofia asije kupotelea huko huko iwapo atapatiwa kakipande ka kamnofu...Bwawa limeingia ruba hilo kila mtu kwa wakati wake!!!
 
Mukono yuko Finniland ? Nakubaliana an Chenge na wengine kwamba pesa nyingi si za rada .Pesa za rada ni kidogo sana pesa nyingi na asehemu kubwa ni za IPTL .
 
This thread is to temporarily close for moderation. Thank you !
 
The Man Sounds extremely rude..! there's no doubt bout that!
Watu wa aina yake huwa na over confidence ambazo hupelekea wao kujisahahu!
Over confidence iliyomsababisha akafikiri kuwa he can just do anything and no body can dare to ask me a question!
He also sounded very intimidating!
Sauti yake ilionyesha ukatili pia!
 
The Man Sounds extremely rude..! there's no doubt bout that!
Watu wa aina yake huwa na over confidence ambazo hupelekea wao kujisahahu!
Over confidence iliyomsababisha akafikiri kuwa he can just do anything and no body can dare to ask me a question!
He laso sounded very intimidating!
Sauti yake ilionyesha ukatili pia!

Now you're exaggerating....
 
Huu ni woga na kubabaika kwa kijinga. Kwanini mpaka mtu atuhumiwe ndio awaze kuwalipua wengine? Hata huo ni ufisadi na haiashirii ufanisi wowote kwa mlipuaji!

Mlipuaji wa namana hii is wrong to himself than it can b explained here!

Ulipuaji positive ni ule unaofanyika out of pure heart..kulipenda taifa na wananchi..etc! Si kwa visasi!! Kwa namna hii mlipuaji anaprove mapungufu yake yanayoashiria kuwa yeye mwenyewe pia hana future!

Pamoja na hayo ...let him do so kwa njia yoyote ile hilo benefit ipo!
 
Now you're exaggerating....
Nyani kwa uzoefu wangu wa kusikiliza mahojiano kati ya mwandishi na kiongozi then naweza kusema sauti yake ilionyesha ukatili flani hivi na ubabe!
Mkjj alijaribu kwa ujanja wa hali ya juu kutaka kum calm down ili at least atupe tu extra questions..lakini jamaa akamsigina mzee!
Mimi binafsi sijawahi kumsikia chenge akiongea ama kuhojiwa!Ila ni mara nyingi nimekuwa nikisikia kuwa ana sifa ya majibu ya mkato!
Sasa nimegundua si kuwa ni ya mkato tu..bali jamaa naye ni jeuri mzee!
Was it because of the rumours? might be!But what does mwanakijiji got to do with it?
I think he's smart but rude!Hakutaka jamaa aendelee kuuliuza swali la nyongeza!
Bali kugeuza issue ya ufisadi kuwa ya kumwombea safari njema kutoka ahera!
Okay bana atakuwa keshafika sasa!
Mwanakiji twanga atupe nyeti movie lianze huko KLH News sambamba na hapa jf!
 
Kwa watu kama Chenge ni bora wakafa tu kwani hawana utu hata kidogo wewe


Watu kama hawa huwa hawafi mapema, kwa sababu wakifa kutakuwa hakuna watu wanaomwomba Mungu, mungu anaona ni vizuri wakiishi ili watu wasimsahau waendelee kumkumbuka. Na historia inaonesha kuwa wema hawana maisha lakini majitu kama Bokassa, Bush, na wezi wakubwa wa pesa wanaendelea kudunda tu!
 
Nime sahau kidogo!! nilikua nina andika email fulani !! nika kumbuka nina wazo fulani ndipo nilipo rudi kwenye hii thread!!...

Chenge Hana Ujanja tuna paswa kumsaidia...Hawa mafisadi wanaweza hata kufa tukabaki tuna jilaumu...!!

Samahani nilikua nina wazo lime potea!!
 
How could the same lawyer quoted in the UK press three weeks ago as vigorously maintaining Chenge's innocence against "any impropriety, with regard to the BAE deal or anything else", now all of a sudden turn around only a week down the line, and insinuate to the effect that his client might be guilty as charged all the same, but that he won't go down laying on his Harvard-educated ass? How credible is that really?
 
jamani mlioko US hebu tupatieni appearance na reputation ya wakili wa chenge ili tujaribu kuestmate anamlipa bei gani
 
he's obviously not cheap... they dont come cheap in the States... at least not the good ones. Kama Chenge who is a good lawyer himself anamtumia then the man must indeed be good. there is not doubt about that and further more.... anaweza kuwa old class mate or friend of a friend... nontheless hawezi kuwa cheap. Lakini yeye kutishia kulipua mabomu ni aimed at scaring the TZ admnistration kuizima ishu ya Chenge based on the fact that Chenge hajala pekeyake na wasipo poteza ishu.. He'll bring down the government. Kikwete's administration could not survive another massive scandal on the Richmond scale or worse maana hii nadhani CCM wametumia hela za hazina kupitia deep green etc kufund election... Chairman of the AU... Darling of the West.. recipient of PEPFAR, HIPIC, GBS... atakuwa ameharibu sana kwa maboss zake ulaya.. hawatatoa hela tena.. SO Chenge is playing the "NISEME?" card which is smart on his part lakini ndio hivyo... sasa sijui kama serikali itafanya chochote
Most probably watasubiri wananchi wasahau then the man atapeta kama kawa.. au kesi kama yakina Kiula which will take 10 years plus appeal etc.. end of the day mkulima loses.. Thats what it is.. watoto wa Chenge wataendelea kusoma Waterford na UK private schools.. yule wakike anamalizia masters sasa so its all good..and about the BILLIONS 4get it.
 
Thats what it is.. watoto wa Chenge wataendelea kusoma Waterford na UK private schools.. yule wakike anamalizia masters sasa so its all good..and about the BILLIONS 4get it.

sasa mkuu taratibu maana nina appointment nae next week,,,usiniharibie nataka na mie nivionje vijisent bwana
 
The Man Sounds extremely rude..! there's no doubt bout that!
Watu wa aina yake huwa na over confidence ambazo hupelekea wao kujisahahu!
Over confidence iliyomsababisha akafikiri kuwa he can just do anything and no body can dare to ask me a question!
He laso sounded very intimidating!
Sauti yake ilionyesha ukatili pia!

Kamanda, Chenge kapokea simu kauliza inapigwa na nani, katoa kwa ufupi taarifa yake kuwa ni mzima, kawasalimu watz wote wa marekani...

Huo ukatili wake upo wapi? au ulikuwa unataka nini zaidi...?
 
Kamanda, Chenge kapokea simu kauliza inapigwa na nani, katoa kwa ufupi taarifa yake kuwa ni mzima, kawasalimu watz wote wa marekani...

Huo ukatili wake upo wapi? au ulikuwa unataka nini zaidi...?
Unaniuliza nilikuwa ninataka nini kwenye mahojiano na Chenge!
Are you serious?
Maswali ya kuulizwa Chenge ni mengi sana na kama unamwakilisha then kaa tayari kuyajibu!
Naelewa madhumuni ya simu ya Mwanakijiji ni kutuonyesha kuwa Chenge ni mzima!
Kitu ambacho ofcourse kilishawekwa wazi!
Ukatili ni pale alipoanza kusema yuko ahera na sasa anakuja Tanzania!
Seriously?
Kwanza hizi rumours za Kunywa sumu ama kujipiga risasi zimetokea wapi?
Tunataka tusikie anasemaje kuhusu uhujumu wa uchumi wa taifa letu na uharamia wa kifisadi!
 
Well,, I find him to be a bit rude, kwa nini asiongee kawaida tu mtu kuzushiwa ndo awe 'mkali' kiasi icho? eti 'natoka ahera narudi tanzania'...


He is not rude amechocha na ujinga wa baadhi ya watu hasa wanaovumisha maneno ya kuyaita Breaking news
 
Back
Top Bottom